Africanist and developist
1.9K posts

Africanist and developist
@viewist
Human resource Officer, child of peasant and communist believer
Katılım Aralık 2019
4.8K Takip Edilen4.1K Takipçiler

Kama uchaguzi mkuu mwaka huu utakuwa huru na haki Tundu lissu anaweza akiifanya CHADEMA ishinde viti vingi vya ubunge kuliko CCM.
Take note!!!
People's power@Tundulissu

Indonesia

@Sativa255 Brooh SATIVA adui wa lissu ndani ya chama
Indonesia

Leo MH.LISSU ameenda kurudisha Fomu yake ya kugombea ngazi ya MWENYEKITI wa CHADEMA Taifa.
Cha kushangaza wengi ni mtoko wake wa kuvalia BULLET PROOF, anafanya hivi kujihami dhidi ya watu wabaya walioshindwa mara ya kwanza kumuua.
Uking’atwa na Nyoka hata jani likikugusa lazima ushtuke. Licha ya umaarufu wake wa kisiasa ndani na nje ya Nchi, ila bado WALIOJULIKANA kuwa ni USALAMA wa taifa wanataka kumdhuru tena.
Kugombea kwake nafasi ya juu ya chama kikuu cha upinzani taifa ni wazi ataenda kushugulika na Serikali dhidi ya haya mambo ya kijinga hasa ya UTEKAJI na ukiukwaji mkubwa wa HAKI za binadamu.
Misimamo yake ambayo amekuwa nayo tangu akiwa mbunge, hiki ni kivutio kikubwa kwa wananchi wengi wanaopenda HAKI. Huu ndio muda ambao tunaamini HAKI itaenda kupiganiwa kweli kweli kama chama KIKUU CHA UPINZANI.
Huyu hapendwi na CCM kwasababu ya kuww na misimamo ambayo inapewa nguvu na wananchi hasa wanyonge. Mtu wa hivyo anaogopwa sana na CCM. Sifa hizi anazo TAL.
Wapiga kura watakao mfanya TAL awe mwenyekiti na kuja kushugulika na WAKOLONI WEUSI ni wajumbe wa mkutano mkuu CHADEMA.
Sisi wananchi tunamuombea Kura ya ndio TAL tunaomba mtuletee yeye kwenye haya mapambano dhidi ya WAKOLONI WEUSI.✌🏾
REPOST 400 🔥🔥🙇🏾♂️


Indonesia















