WAVE MEDIA

42.4K posts

WAVE MEDIA banner
WAVE MEDIA

WAVE MEDIA

@wavemediatv

Ruvuma, Tanzania Katılım Ağustos 2011
8.3K Takip Edilen7.4K Takipçiler
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
kujadiliwa bungeni ndiyo bajeti ya mwisho ya Serikali katika kipindi cha miaka mitano. Mnamo Juni 27, 2025, Rais Samia atalivunja Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama hatua mojawapo muhimu ya kuelekea katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
19
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akifuatilia uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali leo, Juni 12, 2025, akiwa katika makazi yake, Ikulu ya Chamwino, mkoani Dodoma. Ikumbukwe kuwa bajeti inayowasilishwa leo kwa ajili ya
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
1
0
0
42
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Gawio tulilolipokea leo ni kielelezo cha juhudi, uwajibikaji na uadilifu wetu katika kusimamia rasilimali za umma na ni mrejesho kwa mageuzi na maboresho ambayo tumeanza kuyafanyia kazi katika mashirika ya umma, yameanza kuleta matokeo" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
11
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Kote duniani, mashirika ya umma yamekuwa ni nguzo muhimu katika kuchochea maendeleo, na kwa baadhi ya nchi ndio yanayotoa mchango mkubwa katika pato la taifa." Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Filipino
0
0
0
11
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
kwa uwezo wao wa kifedha ili tupunguze mzigo kwa hazina wa deni la taifa" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
Indonesia
0
0
0
6
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Mageuzi yaliyofanyika katika mashirika na taasisi za umma ni hatua, tulipo leo sio tulipotoka juzi na jana kwa kiasi kikubwa sana. Mageuzi yameyapa sura nyingine mashirika na angalau sasa mwanga unaonekana. Lengo letu ni kuyafanya mashirika yakope
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
1
0
0
11
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Mwaka jana nilipokea gawio shilingi bilioni 611, mwaka wa fedha ulikuwa haujaisha. Makusanyo yaliendelea hadi kufikia Juni 30, 2024 kiasi kilichokusanywa kilifikia bilioni 767. Na leo nimepokea gawio shilingi trilioni 1.028 sawa na ongezeko la bilioni 261"Mhe. Rais @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
8
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Kwa hakika tumepiga hatua kubwa katika kuongeza mchango katika mashirika ya umma, hata hivyo pamoja na mafanikio hayo tunaweza kufanya vizuri katika kufikia matarajio ya serikali juu ya mchango na taasisi katika Mfuko Mkuu wa Serikali wa mapato yasiyo ya kikodi"Rais @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
6
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Lengo letu ni kuona mashirika yanachangia angalau asilimia 10 ya mapato yasiyo ya kikodi. Nina imani hili tunaliweza na inawezekana" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
6
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Serikali inathamini mchango wa sekta binafsi na tutaendelea kushirikiana nayo kwa mapana ya nchi yetu. Ni lazima tukubali kuwa, sekta binafsi ni kiungo muhimu katika safari ya mageuzi ya taasisi za umma na safari ya maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
3
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Twendeni tukatumie TEHAMA ili kuongeza uwazi, ufanisi na tija katika kutekeleza majukumu yetu na kutoa huduma. Mifumo iliyopo ihuishwe ili kuwa na mlingano mzuri wa taarifa na kuongeza tija kwa taasisi zetu" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Suomi
0
0
0
2
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Serikali imeongeza idadi ya kuwa na shida katika kampuni nne za madini na hadi sasa mwaka 2020 hadi kufikia kampuni 12, kote humo tuna hisa. Ni hatua muhimu katika kuhakikisha Watanzania wananufaika na rasilimali madini ambayo ipo nchini kwetu" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
7
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Zile zama za taasisi kuendelea kuchuma serikalini bila zenyewe kurudisha faida zimepitwa na wakati na hazipo tena. Kila Shirika lijitahidi kuzalisha ili litoe faida" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
11
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Gawio sio fadhila bali ni haki ya umma kupitia uwekezaji mkubwa uliofanywa katika mashirika ambayo kwa sasa thamani yake imefikia shilingi trilioni 86.29. Hiyi ndio thamani ambayo serikali imewekeza katika mashirika na taasisi zizalishe kwaajili ya kurudisha kwa umma" Rais Samia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
8
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Hatua ya kutunga sheria mpya ya uwekezaji wa umma ikikikamilika itaimarisha usimamizi wa rasilimali zilizowekezwa. Shauku yangu na ya Watanzania ni kuona mashirika na taasisi za umma zinawajibika kwa kuleta faida na tija kwa maendeleo ya taifa letu" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
8
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Gawio la Serikali kutoka Mashirika ya Umma na Taasisi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
5
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Mashirika 8 kati ya 13 yaliyokuwa yakipata hasara mfululizo, yawetoka kwenye lindi la hasara na sasa yanapata faida. Nawapongeza wote kwa mabadiliko haya chanya na yenye kutia moyo" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
3
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Tathimini, ufuatiliaji na maboresho husika ya kiutendaji katika mashirika na taasisi za umma niliyosisitiza mwaka jana, yamefanyika na kuwezesha mashirika 11 ya kipaumbele kati ya 13 yaliyokuwa a mtaji hasi na kuingia kwenye mtaji chanya na wengine wametoa gawio" Rais Samia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
8
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Leo hii tumepokea zaidi ya shilingi Trilioni moja, ni fedha nyingi, zinakwenda kutufaa katika mambo mengi na pia zinakwenda kupunguza ule utegemezi tuliokuwa nao nyuma. Tukienda hivi kila mwaka tutapunguza gap la utegemezi na tunaelekea kujitegemea" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
Indonesia
0
0
0
17
WAVE MEDIA
WAVE MEDIA@wavemediatv·
"Tukio hili (la kupokea gawio na michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma) linaakisi dhamira yetu thabiti ya kuhakikisha kuwa uwekezaji wa umma unaendelea kuleta matokeo chanya na yenye tija katika maendeleo ya kiuchumi kwa Taifa letu" Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia
WAVE MEDIA tweet media
Indonesia
0
0
0
11