Tindo Nyundo retweetou

HABARI MBAYA
Msaidizi wa Mhe. Lissu @daviddjumbe ametekwa usiku huu na maofisa wa Usalama wa Taifa ambao walikuwa na silaha za moto.
Jumbe ametekwa akiwa nje ya geti la nyumbani kwake , maeneo ya Bunju Dar es salaam.
Wananchi waliokuwa wanakimbiza gari iliyomteka, wameiona ikiingia kwenye nyumba za Usalama wa Taifa zilizo maeneo ya Mbweni.
#FreeDavidJumbe

Indonesia





































