Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili katika Viwanja vya Kilimani Wilayani Chato, ambapo anaungana na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumuaga Bi. Suzana Magufuli ambaye ni Mama wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Dogo ana goli 11 za ligi,
Lakini nimeangalia zote kwa utulivu sijaona goli lililotumia maarifa makubwa kiasi kumuita mchezaji hatari
Huyu ni GEORGE MPOLE wa msimu juzi
Yani Trump kawagusa kidogo tu wauaji wa Oktoba 29, leo wamefuta kesi ya Mgawanyo wa mali za Chadema na sitashangaa mwezi ujao wakifuta kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu maana sasa hivi wamebanwa kwenye kona hawana pa kutokea.
Wanahaha kujinasua ila uzuri tuliwaonya tangu siku ya kwanza lakini walishupaza shingo sasa kinawaramba.😂😂😂😂
@earadiofm Huu ni uchambuzi matokeo!
No game analysis at all;
Dodoma jiji anashinda mechi kutokana na makosa makubwa yaliyofanywa na safu ya ulinzi ya Yanga na si ubora wao.
Dodoma hakuwa bora kwenye possession; walikuwa nyuma kwa mipira iliyokufa n.k
#TANZANIA:NAPE:NAKERWA NA WATU KUHAMA VYAMA, MAANA YAKE HATUNA MSIMAMO
“Mimi nakerwa na watu kuhama vyama, kwa sababu yaani leo mimi kama naamini… kwa sababu siasa ni itikadi na itikadi ni imani hii hama hama maana yake hatuna misimamio, labda kuna jambo kubwa sana ambalo haliwezekaniki”-Nape Nauye, mbunge wa Mtama akizungumza kupitia M&S PODCAST
@RevocatusMagum1 Unapowafananusha watu hawa wawili ni wazi unakuwa umejielekeza vibaya tangu mwanzo.
Kuanzia umri wao haufanani,
Miaka ya kucheza haiendani,
Uzoefu katika ligi hii ya hapa pia bado hawana mzania Sawa.
Kuanza kuwalinganisha ni upunguani
🚨AMEANDIKA EDO KUMWEMBE, Mchambuzi WASAFI FM
"Chama huwezi kumfananisha na kiungo yoyote mshambuliaji. Hakuna namna ambayo unaweza kumuweka Okello katika daraja la Chama. Ufananio wa mchezaji sio shida sana kiwanjani. Shadrack Nsajigwa amefanana na Cafu maana wote ni walinzi wa kulia na wanapanda. Okello hawezi kumfikia Chama sasa hadi kihistoria. Kwanza Chama ameacha alama."
@mzagazi@YoungAfricansSC Mwamnyeto hajawah kuwa katika ubora ...Mara zote anatoa maboko ni vile tu wanaopata hizo nafasi huwa hawazitumii hivyo mashabiki wanamnyamazia
“Kumekuwa na majaribio na vitisho kutoka kwa watawala kunizuia nisiongee. Kuna wakati niliambiwa nizime simu yangu, nisiitumie mpaka (wao) watakapo niambia. Nikawauliza, kwa sheria gani? Kuna wakati nilikaribishwa mahali fulani, nikapigiwa simu na watawala, wakasemam mzee usiendee kwenye huo mkutano. Kwanini? Hauna manufaa. Nikawauliza, nani anaamua hayo manufaa? Nikakataa. Wakawafuata watu walio karibu na mimi ili wanishawishi nisiende, nikakataa pia. Mnakumbuka nilifanya mahojiano hapa na Jamhuri? Wakatoa summary, wakasema watachapisha mahojiano yote, neno kwa neno. Baadae Jamhuri wakanieleza wamezuiwa wasitoe yale mahojiano. Kuna viongozi wanaogopa kuzungumza na mimi, wanatuma ujumbe kupitia mbali huko. Marafiki zangu wanaogopa wakisema nitatekwa au kupewa sumu. Nawaeleza mimi ni mali ya Mungu, ndiye atakayeamua lini ananihitaji.”
— Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Tanzania.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mzee Yusuph Makamba katika makazi yakeTegeta Dar es Salaam Mei 10, 2026.
Donald and Melania Trump shared a heartwarming moment visiting Karoline Leavitt and her newborn daughter—an elegant celebration awash in pastel pink, brimming with love, fresh flowers, baby gifts, and touching family joy.
In a moment filled with warmth and delight, the baby slept soundly in Melania's arms. 🥰