shinjimagere
3.3K posts


💬 | Tupo raundi ya pili sasa, lakini hakuna mchezaji hata mmoja aliyezifumania nyavu mara tatu (Hat-trick) ndani ya dakika 90. Kuna mambo ya kujiuliza hapa, ligi yetu ni bora na ngumu au wachezaji wetu wana viwango vya kawaida mbele ya lango? Nadhani hili la pili ndio ambalo linapaswa kuzingatiwa sana. Sidhani kama ligi yetu ni ngumu sana kama tunavyojidai. Hapana. Viwango vya wachezaji wetu mbele ya lango ni vya kawaida sana.”
— Legend, Edo Kumwembe

Indonesia

@BracuszCadabra @TriciaAbou Improvements are consequences of rational decisions(opinions)
English

Acha kuugua pepo punda mzee
Mzungu Mweusi@Bamdogo__
David Alaba or John Stones. @ManUtd do something!
Filipino

@nyaamtingi @SportsarenatzTz Akiweza itaongeza ubora wa players na ligi yetu?
Polski

S24U ndo simu hapo
Real Nigger@MrDepalitto9
S24 ultra Pixel 9 pro xl au 15 pro max Wewe unaondoka na ipi..?
Filipino

@11Dnvr Ni kawaida kwa mabingwa wa dunia, wanatupa burudani mara kwa mara 🔥
Filipino

@tommytraveler21 @gabyconscious Mwanakondoo,mkombozi,kaa tayari,mathetics
Indonesia

@gabyconscious Roma mkali akiimba government issues tu... Pengine anapwaya... Kama naongopa alete ushahidi tofauti
Filipino

Huskizi Halleluyah ya Rostam mkuu huskizagi mahit?
Mpwa_OG 🇩🇪@tommytraveler21
Jioni ya Leo naitumia kusikiliza hii tracklist 1. Dizasta Vina TUKUSA chamber 3 IV 2. Nikki mbishi Tukusa 3 VI 3. Nash MC Tukusa 3 4. Young killer Usimuudhi Mwendawazimu 5. Toxic- NAONGEA NAE 6. Fredrick - King Kong 7. Gnako SAWA 8. Toxic Ki-Gen Z Join me the Tuongee MZIKI
Indonesia


















