DAKI
3.8K posts

DAKI
@AudaxR
Free mind! Critical thinker! Social scientist. BELIEVER OF INCLUSIVITY, DIALOGUE & EVIDENCE IN DECISION-MAKING. VIEWS ARE MINE. RTs AREN'T ENDORSEMENT




@AudaxR Siasa safi...zile siasa za vyama za kushindana mambo ya hovyo ndo tuzikatae kwenye kila kitu...Siasa safi inahitajika kwenye kila sekta...







Tunazidi kuongeza gharama! Hilo la ‘nepotism’ ni pana sana hadi sekta binafsi. Mbunge anaweza kuwekewa sharti la kikanuni/sheria (sifa na idadi) kuajiri watu hao. Nakubaliana nawe kwenye tafiti na resources mobilization maana tuna wabunge wengi wasiojua majimbo yao (fursa zote zilizopo).

Pamoja na maslahi toshelevu, wabunge wengi wanashindwa kuajiri PA’s hata kwa USD 400 badala yake wanaajiri makatibu wa kuhudhuria matukio ya kijamii majimboni na kuwa-tip wapiga picha. Katibu mahsusi wa Mbunge anapaswa kumuandaa hasa maeneo (sekta) ya kuchangia na hoja mbalimbali za kitaifa. Thinking!








