B L E S S
4.4K posts

B L E S S
@ChrislifeJr
FANYA MAMBO YAKO. MENGINE ACHANA NAYO.

Huyu manzi kama kafanya hili tangazo kwa sababu ni model au ambasador wa hii kampuni ambayo naamn hili tangazo halipwi even 10mil,. huyu hawezi kufanya nini kwa ajili ya pesa?!.. nasema kila siku, kuna uzenge mwingi sana na ushoga in the name of fashion💔🚮.






Yan kabla ya mwaka 1961 kuna mwamba alishakuwa na PHD tayali.. Wakati huo wachaga lundo wana master. Hizo bachelor kama utitili. Wakati huo sisi pale Nyasa tuna Mwanaume wakauitwa Oscar Kambona kaenda kuoa Uchagani na kufunga ndoa mambele 😅🙌 Tusiache kujifunza kwa walio Tangulia ila kwa Wachaga ni kujiumiza kamwe hatuwezi kufanana nao.


Tukumbushane 😅 Men are selfish creatures! And i hope every lady learns to be just that.. thats the only way with these lads.. Selfishness!! 😅


Ronaldo dragged the CB out of position and created a huge gap in the defense, only for Bruno to pass it backwards. Even the referee was prepared to sprint forward.. how does the referee has more football IQ than you? 😭😭





