Symon Goodluck

344 posts

Symon Goodluck banner
Symon Goodluck

Symon Goodluck

@GoodluckSymon

4rever young

เข้าร่วม Şubat 2023
270 กำลังติดตาม47 ผู้ติดตาม
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@MankindUwezo Yaani afu cha kujiuliza hakuna kiongozi yoyote au mwanaharakati aliyepata madhara ya Oktoba 29 daaaah, hawa jamaa ni walaghai sana aisee
Indonesia
1
0
0
52
Dr Kwala Liwengo
Dr Kwala Liwengo@MankindUwezo·
Mama Samia ana huruma sana. Ningekuwa mimi mpaka sasa wangekuwa wanatumia usafiri wa boda na bajaji na mafuta yalivyopanda hivi wangenyooka. Usafiri mnautumia ninyi harafu mnadanganywa na kunguni wa chadema kuuchoma kwa maslahi ya matumbo yao??
Dr Kwala Liwengo tweet media
Indonesia
28
6
13
2.1K
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@ChademaTZ2 Afu hawa CHADEMA wasije kuwa na Agenda za siri za kutuuza kwa mabeberu hawa kwanini hivi vitaasisi vinajitokeza sahivi huku Nchi ikiwa shwari, afu hichi Kitaasisi kinafanya kazi kwa misingi ipi usije ukawa ni mkakati wa kututoa kwenye hali yetu ya amani iliyopo
Indonesia
0
0
0
42
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Mapema leo, uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ulikutana na ujumbe wa African Women Leaders Network uliokuwa ukiongozwa na aliyekuwa Rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, akiwa ameambatana na aliyekuwa Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde. Ziara ya ujumbe huo nchini Tanzania inalenga kukutana na makundi mbalimbali, ikiwemo vyama vya siasa na asasi za kiraia, kwa lengo la kukusanya na kufuatilia taarifa kuhusu matukio yaliyotokea kabla na baada ya tarehe 29 Oktoba 2025. Kwa upande wa CHADEMA, ujumbe uliongozwa na Makamu Mwenyekiti Bara, Mhe John Heche, akifuatana na Katibu Mkuu, Mhe John Mnyika; Naibu Katibu Mkuu Bara, Mhe Amani Golugwa; Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Wakili Ali Ibrahimu; pamoja na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mama Suzan Lyimo. Katika kikao hicho, CHADEMA iliwasilisha msimamo wake rasmi kama ulivyoazimiwa na Kamati Kuu ya chama , na kueleza kwa kina matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu na vitendo vya ukatili vinavyodaiwa kutokea kabla, wakati na baada ya tarehe 29 Oktoba 2025. Chama kinasisitiza umuhimu wa uchunguzi huru na wa haki, uwajibikaji kwa wote waliohusika, pamoja na kulindwa kwa misingi ya demokrasia, haki na utawala wa sheria nchini.
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
Indonesia
19
128
590
14.2K
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@swahilitimes Safiii sana ni chombo kilichokuwa kinachapisha taarifa ambazo hazibalance pande mbili safiiiiiiii TCRA
Filipino
2
0
2
3.9K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kusitisha kwa siku 90 leseni ya maudhui mtandaoni iliyotolewa kwa kituo cha Jambo Online TV, kwa kukiuka sheria na taaluma ya uandishi wa Habari. TCRA imesema chombo hicho kilichapisha maudhui yaliyopotosha umma kuhusu hali ya matukio mbalimbali yanayoendelea nchini.
Swahili Times tweet media
Indonesia
85
38
462
47.7K
Symon Goodluck รีทวีตแล้ว
mimilicious🌹🍒
mimilicious🌹🍒@amina_hafidh·
Huyu dada yukogo smart sana kwenye masuala ya uchambuzi wa siasa 🔥🔥 Anaongea fact tupu🔥🔥
Indonesia
41
29
96
8.3K
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Ukimaliza kumwagia ndani kwenye kondomu usitupe ovyo kimbia toilet kaimwage shahawa zako zote uioshe ndio uitupe utakuja kunishukuru sana
Malkia Nyuki 👑 tweet media
Indonesia
15
7
118
17.9K
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@Sativa255 Ukikosa ajenda unajikuta unakusanya kila kitu.......hii video ilikuwa ya mwaka 2023 na ilitokea mkoani Kagera kipindi hicho RC akiwa CHALAMILA akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera na tayari alishachukuliwa hatua.
Indonesia
0
0
1
38
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Huyu Mwalimu KIBAKA hasira ya kulipwa Mshahara wa laki tatu kwa mwezi anamalizia kwa watoto wetu na hawa Waalimu ndio wanalipwaga 20K kuiba Uchaguzi, Tafadhali tusaidiane kupata taarifa zake pamoja na hao wanaoshangilia.
Indonesia
74
97
601
40.3K
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@Ntobi_ @godbless_lema Chama kishapoteana hiki ona kwa sasa kinaongozwa na Mwenyekiti Kivuli Maria Sarungi kapandikiza chuki baina ya wanachama hadi hatuelewani tena kama zamani......siku zote wastaafu ni mhimili wa Chama lakini sisi tumewatenga wazoefu wote daaaah hamna Chama hapa, wamebaki wapigaji t
Indonesia
1
0
1
697
NTOBI
NTOBI@Ntobi_·
Mangi @godbless_lema, unakumbuka nilivyokuambia kuhusu huyu dogo? Ulikuwa unajaa povu bure. Mungu amethibitisha kile nilichokueleza. Wakati mwingine punguza wenge kidogo, bro! 😀😄
NTOBI tweet media
Indonesia
27
10
357
65.8K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
HUU NI UJAMBAZI. Hii Ni Sera nzuri lakini ni gharama kubwa sana. Barani Afrca Nchi kama Ghana Wananchi hulipa sehemu ndogo ya ada ya Bima Tsh 10,000 kwa mwaka. Rwanda Wananchi ulipa Tsh 14,000 kwa Mwaka. Inakuwaje Tanzania tulio na utajiri wa rasiliMali ikiwemo na URANIUM—tuchangie Tsh 150,000? Hawa VIBAKA Hawana huruma kabisa na watanzania.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
90
83
915
74.1K
HER
HER@heroinelincoln·
Tunamshukuru Sana Rais Samia Kwa kutekeleza na kufanikisha ahadi Yake Kwa watanzania
Indonesia
1
14
17
458
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@HildaNewton21 CHADEMA sio familia.....mpangaji wa ratiba ni familia .....kama unaona ni dili basi ufiwe wewe ili upange ratiba yako Dada
Indonesia
0
0
2
33
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
HUJUMA MSIBA WA MUASISI WA CHADEMA MZEE EDWIN MTEI. Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kwamba Mhe. Mbowe anatumia nafasi yake ya uanafamilia kuihujumu CHADEMA kwenye msiba wa muasisi wetu wa Chama Mzee Edwin Mtei. Sasa iko hivi, imepangwa ratiba ya msiba siku ya Mazishi ambapo CHADEMA itapewa nafasi ya kutoa salam za rambirambi saa tatu asubuhi wakati ratiba rasmi ya msiba itaanza saa tano asubuhi. Mhe. Mbowe na watu wake wanafanya haya yote kwasababu wamepanga kumualika Nduli Idd Amin Mama ili aje kutumia msiba wa Mzee Mtei kujisafisha baada ya kuuwa Watanganyika zaidi ya elfu 10 siku ya Oktoba 29. Yani huyu Nduli Idd Amin Mama ukiachia mbali kwamba ameuwa maelfu ya Watanganyika na kuwazika kwenye makaburi ya halaiki, yeye ndo amembambika kesi ya uhaini Mhe. Lissu ambae ni Mwenyekiti wa Chadema ambayo iliasisisiwa Mzee Mtei, akaona haitoshi akaifungia CHADEMA isifanye Siasa, CHADEMA ambayo muasisi wake ndo huyu huyu Mzee Mtei ambae Idd Amin Mama anataka awe mgeni rasmi kwenye mazishi yake, jambo ambalo naamini hata Mzee Mtei huko aliko hawezi kuunga mkono huu ujinga. Jambo moja ambalo Mhe. Mbowe na watu wake wanapaswa kujua ni kwamba kwenye huu msiba CHADEMA sisi sio wavamizi, huu msiba unatuhusu asilimia mia moja hivyo hatuwezi kukubaliana na hujumu za aina yoyote. Mzee Mtei alianzisha hiki Chama, hajawai kukisaliti wala kukiumiza Chama chetu bali alikipigania kwa nguvu zake zote mpaka kimefika hapa kilipofika leo, ambapo CHADEMA imekuwa Tumaini la Watanzania. Ametangulia mbele za Haki akiwa na ushujaa wake so lazima tumzike kwa hadhi na heshima zote. Hatuwezi kukubali mtu ambae mikono yake inaninuka damu za Watanganyika aliowauwa kikatili aje kunajisi msiba wa Muasisi wetu wa Chama.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
80
126
918
61.3K
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@joeselasini Huu ni uongo, kama ni kweli kwa nini taarifa haijaeleza tukio hilo limefannyika eneo gani
Filipino
0
0
1
67
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Hawa ndio polisi wanaoajiriwa kipaumbele kikiwa kadi za CCM. Basi wapimwe akili kabla ya kuonyesha kadi zao maana kumkamata mwananchi kwa kuomba maji ni ukichaa. Hivi mamlaka zinaona haya? Polisi mnaiteteaje CCM kwa jambo wazi na la lazima kama hili?
Indonesia
25
117
471
22.8K
MOST WANTED JR
MOST WANTED JR@UchafuziM·
Yupo Kenya 🇰🇪 hatafika Tanzania 🇹🇿 kwasababu sio sehemu Salama.Hata huyo Anorld Swaziniger tuliohaidiwa na yule mgombea na sasa ni waziri hatafika Tanzania kwasababu sio sehemu salama.@SuluhuSamia ameifikisha nchi ya Tanzania sehemu MBAYA sana.
MOST WANTED JR tweet mediaMOST WANTED JR tweet mediaMOST WANTED JR tweet media
Indonesia
13
22
162
14.4K
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@rose_mayemba Hahahaaaaa yaani mnahangaika kinoma hadi haieleweki mahitaji yenu ya msingi ni yapi
Indonesia
0
0
0
66
Rose Mayemba
Rose Mayemba@rose_mayemba·
Hongera @samia_suluhu_hassan kwa kushinda tuzo ya kuwa mtu Dhalimu na Katili Mwaka 2025. Hongereni watanzania kwa kupiga kura kwa kishindo kuhakikisha huyu Mwanamke Muuaji anashinda tuzo hii. HISTORIA IMEANDIKWA.
Rose Mayemba tweet media
Filipino
13
74
322
5.3K
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@Ntobi_ Ukanda na Ukabila unakusumbua Mzee, Agenda kama hizi sio za kuungwa mkono kama Taifa ambalo kwa muda mrefu tumekuwa na umoja na hakuna nafasi ya ukabila na Ukanda
Indonesia
0
0
1
34
NTOBI
NTOBI@Ntobi_·
Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya Tanganyika, Baraza la Mawaziri halina hata Waziri mmoja kutoka Kanda ya Ziwa—mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Geita, Tabora na Simiyu. Cha kushangaza zaidi, mkoa mmoja wa Dodoma una Mawaziri wanne. Hii ni dhihirisho la wazi la kutengwa kwa Wasukuma na wakazi wa Kanda ya Ziwa katika uamuzi wa masuala nyeti ya Taifa, licha ya kanda hii kuwa kubwa kwa idadi ya watu, eneo na mchango wake wa kiuchumi. Nahene —ndoho tabu!
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 07 Januari, 2026.

Indonesia
208
46
448
98.8K
Symon Goodluck
Symon Goodluck@GoodluckSymon·
@ikulumawasliano Tanzania ni Nchi kubwa sana duniani kote....tusiyumbishwe na wahuni wachache akina Mange
Filipino
1
0
0
1.2K
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Tuzo ambayo Hifadhi ya Serengeti imeshinda kuwa Hifadhi bora Duniani (World’s Leading National Park, Ikulu ndogo ya Tunguu Zanzibar tarehe 05 Januari, 2026. Tuzo hiyo imetolewa na Taasisi ya World Travel Awards (WTA) yenye Makao Makuu yake Jijini London, Uingereza.
ikulu_Tanzania tweet media
Filipino
61
47
198
36.5K
Youssef Yamani ⭐️⭐️
Youssef Yamani ⭐️⭐️@Youssefyamani·
@jemedarisaid @CAF_Online two reds at least and penatly for morocco way clear, who is getting robbed ? be serious, the player from tanzania clearly was diving in that action and it's a very small contact on a dead ball
Youssef Yamani ⭐️⭐️ tweet mediaYoussef Yamani ⭐️⭐️ tweet mediaYoussef Yamani ⭐️⭐️ tweet media
English
13
1
58
4.7K
Bin Kazumari
Bin Kazumari@jemedarisaid·
Day light Robbery! @CAF_Online you robbed us Tanzanians, if you wanted Morocco to win the trophy after 49 yrs, you could just handle it to em without wasting time and resources for other nations, MATAKO YENU.
Bin Kazumari tweet media
English
240
275
1.9K
65K