
@MankindUwezo Yaani afu cha kujiuliza hakuna kiongozi yoyote au mwanaharakati aliyepata madhara ya Oktoba 29 daaaah, hawa jamaa ni walaghai sana aisee
Indonesia
Symon Goodluck
344 posts

















TAARIFA KWA UMMA
























Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 07 Januari, 2026.








