NIMR Mbeya

839 posts

NIMR Mbeya banner
NIMR Mbeya

NIMR Mbeya

@NIMRMbeya

NIMR Mbeya conducts medical research on HIV/AIDS, Tuberculosis (TB), Ebola, Malaria and other relevant tropical diseases while evaluating clinical trials etc.

Mbeya, Tanzania เข้าร่วม Kasım 2017
400 กำลังติดตาม2.7K ผู้ติดตาม
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
Ifakara Health Institute
Ifakara Health Institute@ifakarahealth·
CHILD HEALTH: Transforming healthcare quality with digital solutions The ePOCT+, a digital health tool, is making a significant impact in improving the assessment of sick children. 💡🔍 In a trial conducted in Tanzania from 2021 to 2022, scientists @Ifakarahealth, @NIMRMbeya, @SwissTPH, and @unil observed a 15% improvement in symptom checks ✅and a 50% boost in the appropriate use of antibiotics 💊 using ePCOT+. While progress has been made by digital health tools, more work is needed to further improve healthcare delivery for children. 👶🏾🏥 >> ihi.or.tz/blog/news/chil… >> #IFAKARANews #DigitalHealth #ePOCTPlus #HealthcareInnovation
Ifakara Health Institute tweet media
English
0
1
6
557
NIMR Mbeya
NIMR Mbeya@NIMRMbeya·
NIMR-Mbeya at The Union World Conference on Lung Health 2024 👏 Laboratory Scientist, Mr. Lwitiho Sudi @LsudiSudi presenting on "Assessing the activation profile of M. tuberculosis specific T-cells as a surrogate marker for in vivo disease activity in TB household contacts"
NIMR Mbeya tweet media
English
0
5
9
847
NIMR Mbeya
NIMR Mbeya@NIMRMbeya·
NIMR-Mbeya at the #IPVC2024👏 Research Scientist, Dr. Wilbert Mbuya @Wilylarry, presenting on "Dissecting the impact of HIV on HPV-specific immunity, viral persistence & molecular signatures of cervical dysplasia"; findings from the 2H study that enrolled participants from Mbeya
Tanzania Immunology Society@immunology_tz

Our very own Dr. Wilbert Mbuya @Wilylarry from @NIMRMbeya, Tanzania on the impact of HIV on HPV-specific immunity, persistence & molecular signatures of cervical dysplasia at 36TH INTERNATIONAL PAPILLOMAVIRUS CONFERENCE (IPVC2024). #IPVC2024 #Immunologytz #papillomavirus

English
0
8
9
1K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
ZXX
0
3
10
1.3K
NIMR Mbeya
NIMR Mbeya@NIMRMbeya·
🎉👏 Congratulation to our very own Dr. Marco Missanga for receiving the best abstract award - Communicable diseases track at the UDOM Scientific Conference on Health 2024 He presented findings from the AMP trial on efficacy of VRC01 broadly neutralizing monoclonal antibodies
NIMR Mbeya tweet mediaNIMR Mbeya tweet media
English
4
4
35
1.5K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
Medical Association of Tanzania (MAT)
We are excited to announce that abstracts submission for the upcoming MAT Scientific Conference is officially opened. Deadline: 15th August 2024. MAT will sponsor public transport & registration fee to researchers will accepted abstracts. #MATScientificConference2024
Medical Association of Tanzania (MAT) tweet media
English
3
13
32
2.1K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
𝗦𝗲𝗸𝘁𝗮 𝘆𝗮 𝗔𝗳𝘆𝗮 𝗞𝘂𝘄𝗲𝗸𝗲𝘇𝗮 𝗭𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗞𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗧𝗮𝗳𝗶𝘁𝗶 𝘇𝗮 𝗞𝗶𝘀𝗮𝘆𝗮𝗻𝘀𝗶 Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema sekta ya afya itaendelea kuwekeza zaidi katika tafiti za kisayansi lengo likiwa aidha kuwezesha kutunga na kufanya mabadiliko ya sera mbalimbali zinazohusu masuala ya afya kwa kuwa tafiti za kisayansi zinaiwezesha Serikali kufanya maamuzi yenye uthibisho wa kisayansi. Aidha Mhe. Mwalimu amesema Serikali imetenga Fedha kiasi cha shilingi Bilioni 3.5 kwajili ya kuiwezesha NIMR kufanya tafiti mbalimbali zitakazosaidia kuboresha huduma za afya nchini. Mhe. Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati akifunga Kongamano Kuu la Mwaka la Kisayansi la 32 lilokusanya watafiti 516 kutoka nchi mbalimbali katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Sambamba na hayo Mhe. Mwalimu amewasisitiza watafiti kufanya tafiti ili kupata shahidi za kisayansi zitakazosaidia kufanya maamuzi ya utoaji wa huduma za afya akitolea mfano wa utafiti wa chanjo ya HPV kwa ajili ya kuwakinga wasichana kupata virusi vya saratani ya mlango wa kizazi. Aidha Mhe. Mwalimu amewataka watafiti kuja na mawazo mapya ya kufanya tafiti katika magonjwa yasiyoambikizwa, magonjwa yanayoambikizwa, afya ya uzazi, mama na mtoto, mifumo ya kuimarisha afya na kufanya tafiti zinazoendana na mahitaji ya sasa ya nchi. Naye Mkurugenzi Mkuu wa NIMR Prof. Said Aboud amesema kuwa Kongamano hilo ambalo limewakutanisha watafiti kutoka nchi mbalimbali litasaidia kuwawezesha watafiti wa NIMR kupata mbinu mpya na bora za kufanya utafiti. Hata hivyo Prof. Aboud amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kuiwezesha NIMR kufanya na kusimamia tafiti za afya nchini. Awali Kongamano hilo la siku 3 lilifunguliwa na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Doto Biteko ambaye alimwakilisha Makamu wa Rais Dkt. Philp Mpango.
NIMR Tanzania tweet media
Indonesia
3
4
20
1.2K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
𝗡𝗔𝗜𝗕𝗨 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗔𝗙𝗨𝗡𝗚𝗨𝗔 𝗞𝗢𝗡𝗚𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗞𝗨𝗨 𝗟𝗔 𝗞𝗜𝗦𝗔𝗬𝗔𝗡𝗦𝗜 𝗟𝗔 𝟯𝟮 𝗟𝗔 𝗡𝗜𝗠𝗥 Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua Kongamano Kuu la Mwaka la Kisayansi la 32 katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam ambalo limewakutanisha watafiti 516 kutoka nchi mbalimbali. Dk. Biteko amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango ambapo amesema kuwa Serikali inatambua umuhimu na mchango wa tafiti za kisayansi katika nyanja za kijamii, kiuchumi na kisayansi zinazochangia kuchochea maendeleo ya nchi. ‘‘Serikali inayoongozwa na Rais Samia inaamini katika tafiti za kisayansi na inaamini pia kuwa hakuna maendeleo bila utafiti na hivyo ili kupata mafanikio ni lazima tufanye utafiti’’, amesema Dk. Biteko. Amesisitiza ‘‘Kama mnavyofahamu kupata maendeleo ya mahali popote ili matokeo yaonekane lazima kuwe na utafiti wa kisayansi na uweze kuwa na matumizi mazuri ya rasilimali kwa hivyo maendeleo yoyote bila utafiti yatakuwa ni maendeleo ya kubahatisha, na kama ni ya kubahatisha kutakuwa na kukosea kwingi matokeo yake kutakuwa na matumizi ya rasilimali nyingi zaidi kabla ya kupata jibu sahihi jambo ambalo lingeepukika, hivyo wataalamu hawa wako hapa kujadili tafiti mbalimbali katika sekta ya afya mfano chanjo’’. Aidha, Dk. Biteko amesema kuwa Serikali imeendelea kutoa kipaumbele kwa sekta ya afya na itaendelea kuunga mkono tafiti za kisayansi huku akiziasa taasisi za utafiti kushirikiana katika tafiti kwa lengo la kutatua changamoto mbalimbali ili kuchangia maendeleo ya nchi. Sambamba na hilo, Dkt. Biteko amesema Serikali imewekeza vya kutosha kwenye utafiti katika sekta ya afya ili kuwa na ugunduzi wa ndani ya nchi “Pamoja na kwamba tunahitaji watu kutoka nje lakini na sisi wenyewe tunaweza kuwa na wagunduzi wetu wa ndani na tumeshaanza, unaweza kuona zipo dawa tunazalisha wenyewe na hata chanjo, ni lazima tuwe na tafititi zinazotusaidia wenyewe”. Amesema Dkt. Biteko Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Afya, Dk. Godwin Molel amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Afya imeanza kutoa kipaumbele katika masuala ya utafiti kwa lengo la kuwajengea uwezo watafiti wa ndani ya nchi ili kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazohitaji utafiti wa kisayansi mara zitakapotokea. Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi ya NIMR ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Kinga kutoka Wizara ya Afya, Dkt. Ntuli Kapologwe amesema kuwa Taasisi hiyo imekuwa na ushawishi mkubwa ndani na nje ya nchi kupitia tafiti zake mbalimbali inazofanya akitolea mfano utafiti wa matumizi ya dozi moja ya chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi uliofanywa na NIMR mkoani Mwanza. Akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. John Chalamila, Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amesem kuwa tafiti zinazofanywa na NIMR ni ulinzi tosha kwa mwanadamu, hivyo kuona mkutano mkubwa wa kisayansi unafanyika katika jiji la Dar es Salaam ni ishara njema ya kujali afya na ulinzi kwa watu wa Dar es Salaam na Watanzania kwa ujumla. Pia amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika Tafiti za Afya ya Mwanadamu. Naye, Mkurugenz Mkuu wa (NIMR), Prof. Said Aboud amesema kuwa NIMR imekuwa ikiendesha makongamano kwa kushirikiana na wadau ambayo yamekuwa na mchango mkubwa katika kuboresha sera za afya pamoja na kufanya maamuzi yanayosaidia kuboresha huduma za afya nchini. Aidha Prof. Aboud amesema katika kongamano hilo watafiti wataketi kwa siku tatu, watawasilisha maada mbalimbali na kufanya majadiliano na mwisho wa siku watakuja na mapendekezo ambayo yatawasilishwa Serikalini kwa ajili ya kuboresha zaidi huduma za afya. Awali, Dk. Biteko ametembelea mabanda ya maonyesho ya utafiti ikiwemo vifaa vya maabara vya kupima magonjwa mbalimbali kama kifua kikuu, malaria na tafiti za dawa za tiba asili.
NIMR Tanzania tweet media
Indonesia
0
2
11
851
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
𝗡𝗜𝗠𝗥 𝗥𝗲𝘀𝗲𝗮𝗿𝗰𝗵 𝗦𝗰𝗶𝗲𝗻𝘁𝗶𝘀𝘁 𝗔𝗽𝗽𝗼𝗶𝗻𝘁𝗲𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗦𝗰𝗶𝗲𝗻𝘁𝗶𝗳𝗶𝗰 𝗔𝗱𝘃𝗶𝘀𝗼𝗿𝘆 𝗕𝗼𝗮𝗿𝗱 (𝗦𝗔𝗕) 𝗼𝗳 𝘁𝗵𝗲 𝗙𝗔𝗦𝗧-𝗧𝗕 𝗜𝗻𝗶𝘁𝗶𝗮𝘁𝗶𝘃𝗲 𝗦𝘂𝗽𝗽𝗼𝗿𝘁𝗲𝗱 𝗯𝘆 𝘁𝗵𝗲 𝗨𝗦𝗔 𝗡𝗜𝗛/𝗡𝗜𝗔𝗜𝗗 𝗮𝗻𝗱 𝗖𝗼𝗼𝗿𝗱𝗶𝗻𝗮𝘁𝗲𝗱 𝗯𝘆 𝗖𝗥𝗗𝗙 𝗚𝗹𝗼𝗯𝗮𝗹 Huge congratulations to the NIMR Director of Research Coordination and Promotion, Dr Nyanda E. Ntinginya @NNtinginya for being appointed alongside other high profile global experts in TB research and public health to contribute to the Scientific Advisory Board of the FAST-TB Initiative. FAST-TB (Facilitating Accelerated Science and Translation for TB Regimen Development) is a new initiative launched by the US National Institute of Allergy and Infectious Diseases (NIH/NIAID) in partnership with @CRDFGlobal, which aims to accelerate the development and clinical translation of novel TB regimens by fostering efficient communication, coordination, and collaboration among stakeholders worldwide. fasttb.org/member-type/sc…
NIMR Tanzania tweet media
English
12
16
93
4.6K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
𝗡𝗜𝗠𝗥 𝗥𝗲𝘀𝗲𝗮𝗿𝗰𝗵 𝗦𝗰𝗶𝗲𝗻𝘁𝗶𝘀𝘁 𝗔𝗽𝗽𝗼𝗶𝗻𝘁𝗲𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗦𝗰𝗶𝗲𝗻𝘁𝗶𝗳𝗶𝗰 𝗔𝗱𝘃𝗶𝘀𝗼𝗿𝘆 𝗕𝗼𝗮𝗿𝗱 (𝗦𝗔𝗕) 𝗼𝗳 𝘁𝗵𝗲 𝗙𝗔𝗦𝗧-𝗧𝗕 𝗜𝗻𝗶𝘁𝗶𝗮𝘁𝗶𝘃𝗲 𝗦𝘂𝗽𝗽𝗼𝗿𝘁𝗲𝗱 𝗯𝘆 𝘁𝗵𝗲 𝗨𝗦𝗔 𝗡𝗜𝗛/𝗡𝗜𝗔𝗜𝗗 𝗮𝗻𝗱 𝗖𝗼𝗼𝗿𝗱𝗶𝗻𝗮𝘁𝗲𝗱 𝗯𝘆 𝗖𝗥𝗗𝗙 𝗚𝗹𝗼𝗯𝗮𝗹 Huge congratulations to the NIMR Director of Research Coordination and Promotion, Dr Nyanda E. Ntinginya @NNtinginya for being appointed alongside other high profile global experts in TB research and public health to contribute to the Scientific Advisory Board of the FAST-TB Initiative. FAST-TB (Facilitating Accelerated Science and Translation for TB Regimen Development) is a new initiative launched by the US National Institute of Allergy and Infectious Diseases (NIH/NIAID) in partnership with @CRDFGlobal, which aims to accelerate the development and clinical translation of novel TB regimens by fostering efficient communication, coordination, and collaboration among stakeholders worldwide. fasttb.org/member-type/sc…
NIMR Tanzania tweet media
English
2
6
37
2.1K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
NIMR Tanzania tweet media
ZXX
1
5
41
2.4K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
ZXX
0
1
6
619
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
NIMR Tanzania tweet media
ZXX
1
5
37
1.5K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
NIMR Tanzania tweet media
ZXX
0
5
26
1.4K
NIMR Mbeya รีทวีตแล้ว
NIMR Tanzania
NIMR Tanzania@NIMR_Tanzania·
ZXX
0
4
17
1.2K