𝐉𝐫 

19.6K posts

𝐉𝐫  banner
𝐉𝐫 

𝐉𝐫 

@imaaJr01

Influencer

เข้าร่วม Mayıs 2024
1.3K กำลังติดตาม4.1K ผู้ติดตาม
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
SHINE✨
SHINE✨@BrownScorpio__·
Men are really So Important. The older I get, the more I recognize the value of masculine structure. Men fix things, bring stability, bring logic when emotions are high, protect us, help map out a solid game plan when we’re lost. They bring a type of balance and support that just hits different. Good and intentional men don’t always get the credit they deserve❤️. May God bless all the Good men out there.🙌
English
443
4.5K
16.2K
395.5K
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
SMX 🇺🇸
SMX 🇺🇸@iam_smx·
One Man, Elon Musk paid $44 billion for Twitter, walked in carrying a sink, and fired 75% of the staff within a week, yet the company kept running He renamed it 𝕏, rewrote its content rules, and reinstated 65,000 banned accounts in 30 days No one had a plan It worked anyway
English
2.2K
5K
65.6K
7.5M
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Shubhvani
Shubhvani@shubhvanii·
Elon Musk has time to run 4 billion dollars companies, reply to strangers on Twitter, and father of 14 kids.. But that girl you're seeing takes 16 hours to reply because she's busy.. move on bro
English
606
4.5K
47.7K
4M
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Johari Mshana
Johari Mshana@joharimshana·
Ni jambo la kushangaza kuona kwamba wale waliokuwa mstari wa mbele kupinga kuundwa kwa Tume ya Uchunguzi, hata kufikia hatua ya kufanya mashambulizi ya sifa (character assassination) dhidi ya baadhi ya wajumbe wake, leo wamegeuka na kuwa sauti kubwa ya kuitaka tume hiyo izungumze kwa namna wanayotaka wao. Sisi wapenda amani tunawakataa kwa msimamo huu wa kinafiki. Tunawatambua kama wachochezi wa taharuki na si watafuta ukweli. Taifa linahitaji uthabiti, si kelele zisizo na mwelekeo wala uaminifu. Ni wajibu wetu kusimama upande wa ukweli, utulivu na heshima ya taasisi zetu.
Johari Mshana tweet media
Indonesia
0
5
3
16
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Manchester United
Manchester United@ManUtd_ID·
𝗦 𝗢 𝗟 𝗜 𝗗 💪
Manchester United tweet mediaManchester United tweet mediaManchester United tweet media
English
814
7.1K
66K
1.3M
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
Fundi wa siasa na mjuzi wa jiko kutoka Kizimkazi leo amekutana na mafundi wa jikoni Baba Lishe na Mama Lishe wa Jiji la Dar es Salaam. Angalia furaha usoni mwao, angalia vibe lao. Chakula chema hakiharakishwi.
cousin 420 tweet mediacousin 420 tweet mediacousin 420 tweet mediacousin 420 tweet media
Indonesia
5
23
26
439
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
HER
HER@heroinelincoln·
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni Alama ya uvumilivu, busara na uongozi madhubuti. Mwanamke shupavu anayeongoza kwa hekima, akilea taifa kwa upendo, uthabiti na maono mapana. Mfano wa kuigwa kwa kizazi cha sasa na kijacho
0
7
9
46
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
Rais Samia Ni Alama ya Uvumilivu, Busara na Uongozi Madhubuti.
0
10
12
60
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
Nyinyi (Mama na Baba Lishe) ni kundi muhimu katika nchi, mnalisha wafanyakazi, wanafunzi, wasafiri na wananchi kwa ujumla, na kwa kufanya hivyo mnawezesha kutekelezeka vyema kwa shughuli nyingine za kiuchumi na huduma za kila siku, kwa kuwa chakula ni afya" Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media
Indonesia
1
16
18
161
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
HER
HER@heroinelincoln·
Serikali chini ya uongozi wa Raia Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuweka mkazo katika kuwajengea vijana uwezo wa kidijitali ili kuendana na mabadiliko ya dunia ya sasa.
Indonesia
1
6
6
40
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
HER
HER@heroinelincoln·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amevaa sare za Umoja wa Mama na Baba Lishe Tanzania (UMALITA) mara baada ya kukabidhi mitungi ya gesi na majiko yanayotumia nishati safi ya kupikia katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius
HER tweet mediaHER tweet mediaHER tweet mediaHER tweet media
Indonesia
1
6
6
54
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
UMALITA Watapata Mafunzo ya Teknolojia Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuwekeza katika kuendeleza ujuzi wa vijana katika sekta ya teknolojia. UMALITA watapata mafunzo ya kisasa yatakayowawezesha kujifunza ujuzi muhimu wa kidijitali.
Indonesia
1
12
9
69
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Godfather fan
Godfather fan@Godfxer_fan·
RAIS SAMIA AWAPA MITUNGI YA GESI MAMALISHE NA BABALISHE Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan awapatia mitungi ya gesi Mama Lishe na Baba Lishe hatua ya kupunguza gharama, kulinda mazingira na kuboresha afya zao. Hakika watanzania tuna kila sababu ya kumshukuru na kujivunia kuwa na Rais mwenye kujali na kuthamini.
Indonesia
0
11
9
91
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
Starehe ya muda mfupi inaweza kukuacha na hasara ya maisha hali kadhalika, hasira ya dakika chache inaweza kukuachia kilema cha kudumu. #ChoraMstariUsivukeUsipowezaKuruka
Indonesia
0
14
12
164
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Msemaji Mkuu wa Serikali
Msemaji Mkuu wa Serikali@TZMsemajiMkuu·
Tume Huru ya Kufanya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjiifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, itawasilisha taarifa yake kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Aprili 23, 2026.
Indonesia
2
6
6
537
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Man Mupaya
Man Mupaya@ManMupaya·
Mhe. Rais Samia ni alama ya uvumilivu, busara na uongozi madhubuti. 📝Mama Lishe
Indonesia
0
6
7
68
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Stori za Pombe 👽
Stori za Pombe 👽@storizapombe·
Ni kweli kabisa nakubaliana na na Kuunga mkono kauli ya Jumuiya ya Mama na Baba Lishe kuwa Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio alama ya uvumilivu, busara na uongozi madhubuti wa kisasa ambao unaweka mbele maslahi ya watanzania wote!
Indonesia
0
20
19
124
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Stori za Pombe 👽
Stori za Pombe 👽@storizapombe·
Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa kuendeleza mikakati ya urasimishaji na uwezeshaji wa biashara ndogondogo, hususan Mama na Baba Lishe, kama sehemu muhimu ya kufikia malengo ya Dira ya 2050.
Stori za Pombe 👽 tweet mediaStori za Pombe 👽 tweet mediaStori za Pombe 👽 tweet mediaStori za Pombe 👽 tweet media
Indonesia
1
17
17
70
𝐉𝐫  รีทวีตแล้ว
Stori za Pombe 👽
Stori za Pombe 👽@storizapombe·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amevaa sare za Umoja wa Mama na Baba Lishe Tanzania (UMALITA) mara baada ya kukabidhi mitungi ya gesi na majiko yanayotumia nishati safi ya kupikia katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, tarehe 21 Aprili, 2026.
Stori za Pombe 👽 tweet mediaStori za Pombe 👽 tweet mediaStori za Pombe 👽 tweet mediaStori za Pombe 👽 tweet media
Indonesia
0
17
15
69