kharry_de_prince

22.5K posts

kharry_de_prince banner
kharry_de_prince

kharry_de_prince

@kharryson95

💥//Community development Expert//💥 🎓//Teacher//🎓 🦁Manchester united & Simba fan🦁

Tanzania เข้าร่วม Ocak 2014
1.3K กำลังติดตาม1.1K ผู้ติดตาม
ทวีตที่ปักหมุด
kharry_de_prince
kharry_de_prince@kharryson95·
Naomba ijulikane hivi nimekuwa nikifuatilia mambo ya siasa kwa zaidi ya mika 17 sasa sikuwahi kumiliki kadi ya chama yoyote nimeshawishika kupata kadi ya @ChademaTZ2 kama mwanachama hai naombeni mnisaidie jinsi ya kupata kadi...
kharry_de_prince tweet media
Indonesia
17
76
521
12.3K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
@EduTalkTz Watu 1,00,000 x Tsh 2000 Kwa Mwezi = 20,000,0000 Watu 1,000,000 x Tsh 2000=2,000,000,000. Inawezekana tatizo commitment na vipaumbele.
Polski
8
35
197
3.1K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Vatican News
Vatican News@vaticannews_pt·
Momento ternura ao final da missa na cidade de Bamenda, #Camarões #PapaLeãoXIV
Vatican News tweet media
Português
277
2.3K
17.4K
235.7K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini. Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu. Lakini ukweli usioepukika ni huu hatuna ruzuku hata ya SENTI MOJA. Hii ina maana kwamba uhai, nguvu na uendelevu wa CHADEMA uko mikononi mwetu sisi wenyewe. Hatuna budi kuchukua jukumu. Hatuna budi kusimama. Hatuna budi kuchangia. Kila Mwanachama na kila mpenda Demokrasia ana wajibu wa moja kwa moja, kuchangia CHADEMA. Usione mchango wako ni mdogo. Usisubiri mwingine achukue nafasi yako. Kila senti unayotoa ni nguzo ya kusimama kwa chama hiki. Tujenge utamaduni wa kuchangia bila kusukumwa. Tujenge tabia ya kusaidia chama kila wakati. Hapo ndipo tutakapopata uhuru wa kweli wa kisiasa na kiutendaji. Mimi nipo, na nimeanza. Na wewe pia ni wakati wako sasa. Chukua hatua. Anza kuchangia. Simama na CHADEMA. Kwa pamoja, tutakijenga chama imara na Yaifa lenye HAKI. Tuchange tu kwa namba maalumu za CHAMA na Akaunti za Benki ili kujenga uadilifu wa Taasisi Imara. Mikakati zaidi inakuja baada ya vikao kuanza. Asanteni. x.com/swahilitimes/s…
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
4
100
288
2.9K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Leo, Aprili 16, 2026, viongozi na wanachama wa CHADEMA tumekutana pamoja katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA, Mikocheni, Kinondoni, Dar es Salaam siku moja baada ya Mahakama ya Rufaa ya Tanzania kufuta (kuondoa) zuio dhidi ya CHADEMA lililotolewa na Mahakama Kuu (Masjala ya Dar es Salaam). Tumepata SUPU, nyama choma, viburudisho n.k. Tumekubaliana kwamba wakitaka tuanze mwanzo, sisi tupo fiti. Mwelekeo wetu ni Tundu A.M Lissu aachiwe huru TUENDELEE TULIPOISHIA. #PeoplesPower ✌️
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
13
87
579
9.4K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Jackson Hinkle 🇺🇸
Jackson Hinkle 🇺🇸@jacksonhinklle·
🇿🇦🇵🇸 Malema STANDS with Palestine! This is why they want to put him in jail.
Jackson Hinkle 🇺🇸 tweet media
English
196
1.1K
5.9K
63K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
John Kitoka
John Kitoka@JohnKitokavo08·
CHADEMA HQ +255 744446969 BACK AGAIN IN FULL FORCE. SUPPORT CONSTITUTIONAL REFORMS.
John Kitoka tweet media
English
0
10
22
241
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Asante
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi

Chadema pokeeni huu mchango wangu ambao umetokana na pesa ambazo Watanzania wananipa kupitia subscription za Mange Kimambi App na subscription za account ya Instagram ambayo imefungwa ( ni maajabu account imefungwa ila bado wananikusanyia mapato kila mwezi na kunitumia). Hizi pesa mmpewa na Watanzania sio na Mange Kimambi maana bila Watanzania hii pesa nisingekuwa nayo. Ahsanteni sana Watanzania kwa kuendelea kulipia subscription za Mange Kimambi app, although sijaweka habari zaidi ya miezi 9 sasa. Na pia Ahsanteni ambao hamja cancel subscription za page yangu ya instagram iliyofungwa (@mangekimambi80) nawaomba msicancel. Watanzania, Chadema hawatoweza kutusaidia kudai haki kama hawana pesa yoyote. Ni lazma sisi wananchi tuwachangie. Kama jinsi mlivyojiunga kwenye subscribption za Mange Kimambi app naomba mjiunge na subscription za Chadema. Imagine Kama Watanzania laki 2 tu mkijiunga subscription ya elfu 3 tu kwa mwezi, hiyo ni milioni 600 kila mwezi kwa Chadema. Pia bila pesa hakuna movement ya maana Chadema wataweza kufanya. Wauwaji wanakodi zetu wanazitumia kushikilia nchi bila ridhaa yetu. Ni lazma tuwawezeshe Chadema.

Español
7
64
467
6.2K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Amani Golugwa
Amani Golugwa@amanigolugwa·
Asante Sana. Ninathibitisha kuupokea mchango wako. Asante sana Dada @mangekimambi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi

Chadema pokeeni huu mchango wangu ambao umetokana na pesa ambazo Watanzania wananipa kupitia subscription za Mange Kimambi App na subscription za account ya Instagram ambayo imefungwa ( ni maajabu account imefungwa ila bado wananikusanyia mapato kila mwezi na kunitumia). Hizi pesa mmpewa na Watanzania sio na Mange Kimambi maana bila Watanzania hii pesa nisingekuwa nayo. Ahsanteni sana Watanzania kwa kuendelea kulipia subscription za Mange Kimambi app, although sijaweka habari zaidi ya miezi 9 sasa. Na pia Ahsanteni ambao hamja cancel subscription za page yangu ya instagram iliyofungwa (@mangekimambi80) nawaomba msicancel. Watanzania, Chadema hawatoweza kutusaidia kudai haki kama hawana pesa yoyote. Ni lazma sisi wananchi tuwachangie. Kama jinsi mlivyojiunga kwenye subscribption za Mange Kimambi app naomba mjiunge na subscription za Chadema. Imagine Kama Watanzania laki 2 tu mkijiunga subscription ya elfu 3 tu kwa mwezi, hiyo ni milioni 600 kila mwezi kwa Chadema. Pia bila pesa hakuna movement ya maana Chadema wataweza kufanya. Wauwaji wanakodi zetu wanazitumia kushikilia nchi bila ridhaa yetu. Ni lazma tuwawezeshe Chadema.

Filipino
8
71
392
5.8K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
PUBLIC STATEMENT
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
English
3
62
206
3.4K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Mimi nishachangia wewe pia kuwa sehemu ya ku support chama chetu ✌️#ToneToneNimoUmoTumo
Mwinshehe 🕊️ tweet mediaMwinshehe 🕊️ tweet media
Indonesia
35
139
357
5.8K
kharry_de_prince
kharry_de_prince@kharryson95·
No reform No election... Bado kashikilia bomba refa walete kati.
kharry_de_prince tweet media
Filipino
0
0
0
7
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mliokuwa mnaomba namba na utaratibu wa kukichangia chama. Changia kupitia namba hii 👇 #ToneTone #NimoUmoTumo
Hilda Newton tweet media
Indonesia
13
149
473
5.7K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini. Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu. Lakini ukweli usioepukika ni huu hatuna ruzuku hata ya SENTI MOJA. Hii ina maana kwamba uhai, nguvu na uendelevu wa CHADEMA uko mikononi mwetu sisi wenyewe. Hatuna budi kuchukua jukumu. Hatuna budi kusimama. Hatuna budi kuchangia. Kila Mwanachama na kila mpenda Demokrasia ana wajibu wa moja kwa moja, kuchangia CHADEMA. Usione mchango wako ni mdogo. Usisubiri mwingine achukue nafasi yako. Kila senti unayotoa ni nguzo ya kusimama kwa chama hiki. Tujenge utamaduni wa kuchangia bila kusukumwa. Tujenge tabia ya kusaidia chama kila wakati. Hapo ndipo tutakapopata uhuru wa kweli wa kisiasa na kiutendaji. Mimi nipo, na nimeanza. Na wewe pia ni wakati wako sasa. Chukua hatua. Anza kuchangia. Simama na CHADEMA. Kwa pamoja, tutakijenga chama imara na Yaifa lenye HAKI. Tuchange tu kwa namba maalumu za CHAMA na Akaunti za Benki ili kujenga uadilifu wa Taasisi Imara. Mikakati zaidi inakuja baada ya vikao kuanza. Asanteni.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
50
393
1.2K
98K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Sheila Mchamba
Sheila Mchamba@SheilaMchamba·
Ndugu mgeni rasmi,, huyu anayewasili mda huu ni lastborn wa chama😌
Indonesia
37
106
785
17.2K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
kharry_de_prince
kharry_de_prince@kharryson95·
Bandiko limeeleweka tumeanza usajili wa wanachama wapya... Chama haina ruzuku... Chama tutaibeba migongoni mwetu kwa jasho letu... @ChademaTZ2
kharry_de_prince tweet media
Indonesia
3
23
76
1.6K
kharry_de_prince รีทวีตแล้ว
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Dkt. Lazarus Chakwera (Rais wa zamani wa Malawi) yupo Tanzania kama Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola (commonwealth), Shirley Botchwey. Dkt. Lazarus Chakwera yupo nchini Tanzania kwa ajili ya kuleta mazingira wezeshi ya mazungumzo na utulivu wa kisiasa baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Tundu A.M Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA, amekutana na Lazarus Chakwera Mjumbe Maalum (Special Envoy) wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth) April 15 2026. TAL amewasilisha masuala kadhaa kwake, ambayo yakifanyika, atakuwa tayari kwa mazungumzo, lakini kwanza akiwa mtu huru na chama kifanye shughuli zake TAL kamueleza kwamba, Kesi ya Uhaini inayomkabili ni kwa sababu ya msimamo wake na CHADEMA kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025, NO REFORMS, NO ELECTION. TAL ametaka matukio yote yaliyotokea Oktoba 29, 2025 na baada ya siku hiyo yafanyiwe uchunguzi huru na haki kupitia chombo cha kimataifa, mfano SADC. TAL ametaka uwajibikaji wa kitaasisi kwa yaliyotokea Oktoba 2025, mfano, Ofisi ya Msajili, INEC na TCRA, na umuhimu wa kurejea Ripoti ya Jaji Nyalali (1992). Kufanyika kwa mageuzi ya kimsingi ya vyombo vya dola ikiwepo vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuzingatia mapendekezo ya Ripoti ya Jaji Chande (2023). Kubadilishwa mfumo wote wa uchaguzi, ikiwemo kuundwa kwa chombo kipya huru cha kusimamia uchaguzi. Kuzingatia ripoti za Warioba na Nyalali. Lakini, Tundu A.M Lissu amesisitiza kuwepo kwa mazingira wezeshi ya mazungumzo ya kweli pamoja na utekelezaji wa mambo yote yatakayokubaliwa. Lakini kubwa zaidi, KATIBA MPYA. amesisitiza umuhimu wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba Mpya kama suluhisho la kudumu la changamoto za kiutawala.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
24
179
907
29.7K