Modesta Z

156.1K posts

Modesta Z banner
Modesta Z

Modesta Z

@ModestaZ7

شامل ہوئے Eylül 2020
6.1K فالونگ120.2K فالوورز
پن کیا گیا ٹویٹ
Modesta Z
Modesta Z@ModestaZ7·
Sitaki kujua ilikuaje Sitaki kujua ilikua vipi Ninalojua nilikua kipofu Sasa naona Ninaonaaaa🎵 Ninalojua nilikua kiwete Ninatembea Sasa naona ninatembea Yesu ametenda Amenitendea [Sasa ninaona natembea Ametendq kwangu,atakutendea]×2 Amefanyaje sijui Ilikuaje sijui🎶 KKKT-keko
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
2
10
45
1.8K
Modesta Z
Modesta Z@ModestaZ7·
@_kingOFstreet Hupewi kwa hiyo hela labda wenyewe kwa wenyewe tu ya kupoteza maboya ujue bidhaa zao ni rahisi
Indonesia
0
0
1
37
M.B.G
M.B.G@_kingOFstreet·
Kama ni mtu wa kwenda minadani nahic ushawah kutana na Hawa lusha nguo si ndio eeh😌😌 Sasa kuna wale wanao lushaga mabeg, vitengee na baadhi ya nguo utakuta beg la elf 30 anadai anakuuzia kwa elf kumi hiv hizii bidhaa ushawah nunua? Na je Yale mabeg yanakuwaga imara kwel? Mimi mwenzenu mgumu sanaa kuamin vituu na Huwa sosogei kbasa
M.B.G tweet media
Filipino
6
2
13
2K
Modesta Z ری ٹویٹ کیا
WeAreAllNinja- Free Ninja
WeAreAllNinja- Free Ninja@thenameis_Andro·
Unajua kwanini nchi kama Kenya hamna watu kama Mange Kimambi?? Sababu watu (kila mtu) wana uhuru wa kuongea na kukosoa Serikali yao hadharani, mta lalamikia wanaHarakati ila ukweli unabakia kwamba ni MMEWATENGENEZA WENYEWE.. #FreeNinja
Indonesia
1
4
6
151
Modesta Z ری ٹویٹ کیا
KIDAWA
KIDAWA@Sallamasally_·
My sis just told me coz she has a shop near Ninja place ni kapiga kelele sana tu hawa watu me siwajui na hapo Google park kunajaa watu 24/7 ila nobody even bother aise watu hatuna utu. #FreeNinja
Indonesia
6
28
77
3.9K
AKON
AKON@robertmgulunde1·
Bwana harusi💪🏿🔥
AKON tweet media
Indonesia
9
5
34
1.8K
Modesta Z ری ٹویٹ کیا
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
SOUTH AFRICA KILA MARA WATANZANIA WANAUWAWA. Jana amefariki huyu Jamaa anaitwa JOE ZAMU ni mzaliwa wa Arusha. Huyu jamaa amefariki kwa kuchomwa moto mjinj Cape Town akiwa ndani na mwanamke wake wa kiSouth Africa jamii ya Kaladi. Kaladi ni wale machotara wa ki South Africa ambao wengi wao wamechanganya damu baina ya mtu mweusi na Mzungu, Muhindi au Mwarabu kisha akazaliwa mtoto. Joe pamoja na mwanamke wake wamefariki hapo hapo kiasi cha kushindwa kutambulika yupi ni Yupi, na wamechomwa moto na raia wa South Africa 🇿🇦 Mpaka sasa Jamii ya Watanzania wanaoishi South Africa wanawatafuta ndugu zake na Joe ili wawape utaratibu juu ya ufanyaji DNA ili kuweza kutambua mwili wa Joe Zamu ni upi. Hii si Mara ya Kwanza, Karibu kila Mwezi kuna Raia wa Tanzania anauawa South Africa, Na jamii ya Watanzania waishio South Africa hushirikiana Kwa Kila kitu. Joe ana tambulika kuwa nyumbani kwao ni Arusha kwa maelezo ya marehemu kipindi cha uhai wake. kwa yoyote yule mwenye details za Joe Zamu kuhusu familia yake anaombwa kuwasilisha taarifa kupitia namba hiyo chini. +255763005575 Mohamed Taibalh Hamza Msangi
Polycarp The Bibliophile tweet media
Filipino
19
37
176
15.8K
fifi_catering_service
fifi_catering_service@FamWorld2025·
Today i said YES to the Love of my life💍👑💎❤️
English
68
30
231
7.6K
Modesta Z ری ٹویٹ کیا
Dada Conso 🐺
Dada Conso 🐺@DadaConso·
Mojawapo ya kigezo Cha kuwa mwanaharakati (activists) mzuri ni kuwa na the RIGHT/TRUE/ACCURATE data, details, information.. Hata kwenye kutoa maelezo kuwa why unapambania unachopambania inakuwa rahisi kujielezea bila ku-jam mid-sentence.. Mimi ukiniuliza why napambania vijana wafanye kazi kwenye mazira mazuri na salama huwezi nisikia na-jam.. I'll tell you why. Tena Kwa lugha nyepesi kabisa.. #ElimikaWikiendi #SafetyFirst
Dada Conso 🐺 tweet media
Filipino
0
9
15
792
Modesta Z ری ٹویٹ کیا
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
WHERE IS NINJA, FREE HIM NOW!! Huyu jamaa sio rafiki yangu, infact ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wananikejeli na kunitusi (sababu ya ushabiki wa Wasanii wengine wa Hip Hop). Ila kama kweli mimi ni mpenda na mtetea haki, nitakuwa mnafiki nisipotumia nafasi na sauti yangu kupaza sauti juu ya kitendo cha yeye kutekwa!! SERIKALI HARAMU inawaza tu kuhusu wao kubaki madarakani, na sio majeraha inayowaachia Wazazi na Familia kiujumla kwa kuendelea kuteka na kukamata watu kiholela kinyume na sheria. Nakemea kitendo hicho na naungana na wenzangu kusema FREE DAMOUR NOW !! Kama @Ninja_Damour hajapatikana kwenye vituo vyote vya polisi, basi RPC ajiuzulu kazi leo leo maana ameshindwa kulinda Wananchi hadi uhalifu kufikia kiasi hicho. #WeWantJustice #FreeNinja #MwalimuMkuuMAMAyenu
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet mediaWebiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet media
Indonesia
3
138
361
7.6K
Essiiie Kapambala
Essiiie Kapambala@DadaEstie·
Ukitaka Kujua Haya Majitu Sio Mazuri Na Hatupaswi Kucheka Nayo Sisi Tunauliza Mwenzetu Yuko Wapi Mengine Yameshaanza Kutoa Hateful Comments.Nyie Endeleeni KujiAssociate Nayo Mkijua Mko Salama. Hamna U Special Wowote ✌🏾
Indonesia
6
30
87
2.4K
KINCAID💰
KINCAID💰@AmourGingi·
Yaani katika haya maisha, wanaume tafuta kadada kako kafupi kawe keupe/keusi kaweke hapo ndani tulia vinarizika na hawanaga mambo mengi 😆😅
Indonesia
8
10
73
1.4K
Modesta Z ری ٹویٹ کیا
#FREETUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU
Ee Bwana unihukumu unitetee kwa Taifa lisilo haki uniokoe na mtu wa hila asiye haki Good morning chosen people
#FREETUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU tweet media
Filipino
10
40
48
385
Modesta Z
Modesta Z@ModestaZ7·
Kumekucha bila taarifa ya kupatikana Damour. #FreeNinjaDamour
Modesta Z tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
2
94
159
1.7K