Peter Madeleka

14K posts

Peter Madeleka

Peter Madeleka

@PMadeleka

Chief Legal Counsel at Stalwart Law Chambers

Tabora, Tanzania Tham gia Nisan 2021
6K Đang theo dõi142.8K Người theo dõi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Chama Tawala nchini GABON kilikata jina la MBUNGE wake anayetoka KASKAZINI mwa Kanda ya LIBREVILLE, ili ASIGOMBEE TENA UBUNGE kutokana na tuhuma za KUMFIRA WAKILI (Gomola). Kimsingi, GABON hawataki kabisa UFIRAJI hasa kwa WAKILI.
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
0
0
0
1
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Tarehe 17 Septemba 1989 GABON ilitunga SHERIA ambayo ILIPIGA MARUFUKU Wakili yeyote ambaye ni SHOGA, KUTETEA WATU MAHAKAMANI. Nchi nyingine, zinapaswa KUPINGA mambo hayo ya GOMOLA.
Peter Madeleka tweet media
Filipino
0
1
15
740
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
MAMBO YA WALAWI 24 : 17 “Mtu yeyote ANAYEUA Mtu mwingine, ni LAZIMA na yeye AULIWE”.👇
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
3
4
35
2.1K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
GABON itamuondoa WAKILI huyo 👇kwenye orodha ya MAWAKILI wa nchi hiyo, baada ya kugundulika kuwa ni SHOGA (Mchicha Mwiba). Nchi nyingine zimetakiwa KUIGA hatua hiyo. Ni USHETANI kwa WAKILI kuwa SHOGA.
Peter Madeleka tweet media
Filipino
15
9
94
6.7K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Hivi kwani Hayati BENJAMINI MKAPA katika utawala wake HAKUANZISHA mambo ya; “GOLI LA MKAPA” au “MKAPA MITANO TENA”?😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
39
9
200
9.9K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Simiyu, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) EDITH SWEBE ndiye POLISI WA KWANZA DUNIANI kutawazwa kuwa “CHIFU” wa Kabila la WASUKUMA. Kwa sasa anaitwa “CHIFU NSHOMA”. Mimi Peter Michael MWANANSHOMA MADELEKA nakupongeza sana.
Peter Madeleka tweet media
Filipino
12
3
138
10.7K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
@ThomasMwakagil1 DPP alikimbilia Mahakama Kuu KUIPAKI KESI. Wateja wangu bado wapo NJE KWA DHAMANA na wanaendelea na SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA.
Indonesia
0
0
0
29
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Mtu PEKEE ambaye aliweza KUPINGA na KUSHINDA dhidi ya huo 👇 UPUMBAVU wa akina BISWALO na GENGE lake, ni PETER MADELEKA.
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
2
0
79
3.8K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
“PLEA BARGAINING”👇 ila BISWALO 😂😂
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
7
7
172
11.2K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Nimeombwa na wananchi wa TABORA nifanye HARAKA NIKAMTETEE huyo 👇 mwananchi anayetuhumiwa “KUJIFANYA WAZIRI MCHENGERWA”.
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
23
7
177
20.1K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Tangu nchi ipate UHURU mwaka 1961, hiyo 👇 ni HUKUMU YA KWANZA kutolewa kuhusu “REVISIONAL POWERS” za MAHAKAMA KUU kwenye KESI ZA JINAI. Katika kesi hiyo, MADELEKA kwa UBABE MKUBWA, alimfundisha Sheria DPP😂😂
Peter Madeleka tweet media
Filipino
2
4
28
1.8K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Nikiwa na Mteja wangu CPA(T) CATHERINE RUGE hapa UNUNIO BEACH RESORT, mara baada ya kupata UFUMBUZI wa suala lake. Ninaamini HAKI ITATENDEKA na atapata ANACHOSTAHILI kwa mujibu wa SHERIA.
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
132
19
529
52.3K