Bavovna

5.2K posts

Bavovna

Bavovna

@dandy12_

Dar es Salaam, Tanzania Tham gia Şubat 2011
1.3K Đang theo dõi492 Người theo dõi
Bavovna đã retweet
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Haya mafundisho ni sahihi kwa dini zote. Nyongeza kidogo hata wale wsnaoshuhudia bila kuchukua hatua, ama kushabikia umwagaji wa damu hizo na au kujinufaisha kwa kauli za kuwaunga mkono waliomwaga damu hizo wana hatia.
Indonesia
3
41
137
3K
Bavovna đã retweet
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Watu wasiojulikana wamechoma moto Showroom ya MAGARI ya Abdul mtoto wa Samia usiku wa kuamkia leo mikocheni Dar es salaam. Mashuhuda wa tukio hilo wanasema magari yote ya kifahari yaliyokuwa hapo yameteketea kwa Moto.
Indonesia
70
110
642
28K
Bavovna đã retweet
MrBanks💰
MrBanks💰@Mrbankstips·
Watermelon 🍉 = strong erection Pineapples 🍍= Good skin Cucumber 🥒 = Good liver Apples 🍎 = good digestive health Bananas 🍌 = improves sex drive and healthy blood pressure Oranges 🍊 = boost the immune system with their high vitamin C content. Grapes 🍇 = improves heart health Strawberries 🍓 = reduce inflammation and promote skin health. Coconut 🥥 = supports brain health and weight management. Mangoes 🥭 = contribute to healthy skin and immune function Avocado 🥑 = helps lower bad cholesterol and supports heart health Blueberries 🫐 = Blueberries improve cognitive function and support heart health Eat fruits, Take walks, avoid processed sugar and junk. Sleep well.
English
332
2.9K
8.8K
202.9K
Bavovna đã retweet
MrBanks💰
MrBanks💰@Mrbankstips·
Who else is waiting for Banks tips this morning?
English
796
273
3.2K
67.9K
Bavovna đã retweet
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
Kwa Mujibu wa Chande aka Jaji Makande, haka katoto pia ka miaka 10 kalipewa mafunzo ya kigaidi na kaka andamana na silaha za jadi… na Polisi wema wakakaua ili kulinusuru Taifa la Tanzania Wafuasi wa CCM wakawa wanaafiki kwa kusema, “hebu fikiria polisi wasinge fanya hivyo, nini kingetokea? Dogo angepindua Nchi na Kuleta Machafuko”
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet media
Tito Magoti@TitoMagoti

Kwa mujibu wa Jaji Kiande, huyu mtoto aliuwawa kwa kupigwa risasi sababu alilipwa na kupewa mafunzo ya kuandamana. Rest easy, kid. Mioyo yetu inavuja damu🙏🏽😭

Indonesia
10
36
164
4.3K
Bavovna đã retweet
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Jaji Chande anaishi Mbezi ya Kimara sehemu moja hivi inaitwa Msumi. Maandamano yajayo ni muhimu sana tupite pale kwake ili akatuonyeshe ushahidi wa Waandamanaji waliokuwa na silaha na izo kambi za mafunzo ya Maandamano.
Filipino
28
130
921
18.3K
Bavovna đã retweet
Kremlin
Kremlin@therealsemsii·
Mbowe ni mtu mmoja mshenzi sana.
Indonesia
5
33
184
3.3K
Bavovna đã retweet
SIMA
SIMA@abelsima45·
"Majaji ni maccm, majaji ni watu wa raisi, majaji wanajipendekeza pendekeza kwa raisi ili wachaguliwe kwenye Tume, kwenye Tume ndo kuna hela" Hon. Tundu AM Lissu.
Indonesia
0
25
95
796
Bavovna đã retweet
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Huyu ni kijana wa Kitanzania akipigwa na vijana wa Afrika Kusini.. Huyu ameenda kutafuta maisha kwasababu hapa kwetu haoni kesho yake.. Ameacha Nchi pekee yenye Tanzanite Duniani, Nchi ya tatu kwa dhahabu, Nchi yenye gesi, makaa ya mawe, chuma na ardhi ya kutosha, ameacha maji na mbuga za wanyama.. Leo anafanyiwa hivi na watu ambao walipata hifadhi yao hapa wakati wakipigania Uhuru wao.. Leo Nchi yetu iko mikononi mwa kikundi kidogo na wachina huku vijana wetu wakifanywa kama mbwa kwenye Nchi za wageni.!!! Nimeumia sana x.com/jimNjue_/statu…
Filipino
43
154
838
28.4K
Bavovna đã retweet
Ellen Johnson Sirleaf
Ellen Johnson Sirleaf@MaEllenSirleaf·
In my role as Patron of the @AWLNetwork, I joined former Ethiopian President @SahleWorkZewde and Executive Director, Joyce Mends-Cole on a network visit to Dar es Salaam, at the invitation of President @SuluhuSamia of Tanzania. We engaged stakeholders to better understand the causes and implications of the October 29 unrest.
Ellen Johnson Sirleaf tweet mediaEllen Johnson Sirleaf tweet mediaEllen Johnson Sirleaf tweet media
English
55
27
119
12.3K
Bavovna đã retweet
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Pres @SuluhuSamia: Hawa (pichani) wako jela kwa makosa makubwa ya ugaidi kwa maelekezo ya Sabaya na genge lake, wanadai. Walikamatwa Hai wakati wa uchaguzi wakihusishwa na CDM & Mbowe. Waliteswa sana - see how weak they were, & the scars. Wako jela Segerea.
Tito Magoti tweet mediaTito Magoti tweet media
Indonesia
171
496
2.4K
0
Bavovna đã retweet
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Je, wale waliopoteza viungo vyao vya mwili? Waliokatwa masikio? Waliogongwa misumari miguuni? Waliofanya ukatili wa kutisha kama kulawitiwa wakati wakimtetea Mzee MBOWE akiwa mbunge wa HAI, wamepewa faraja au kuombwa msamaha? Wengine walilazimika kutelekeza familia zao na kuwa wakimbizi kwa kuhofia usalama wao. Hali hii inajenga picha kuwa Mzee MBOWE ameweka maslahi yake binafsi mbele na kusahau gharama kubwa waliyolipa wafuasi wake. Hii ni dhihaka kwa watu wote ambao waliwahi kuamini katika njia zake. Hii inatuogopesha ambao tumewahi kumpambania hadharani. Hata hivyo, SABAYA anatakiwa kuomba msamaha mwenyewe, siyo kuombewa msamaha. Kimsingi, msamaha ni jambo la kibinafsi na la kimaadili kati ya mtu aliyekosea na yule aliyekosewa. Msamaha wa kweli unahitaji sauti ya mkosaji mwenyewe.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
173
363
1.5K
69.2K
Bavovna đã retweet
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹
tume ya chande siyo tu imewachora watanzania kama mijitu fulani mijinga na isiyokuwa na uwezo wa kufanya ‘rational thinking,’ lakini pia kama mikatili iliyodhamiria kusababisha maafa. zaidi 👇
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹 tweet media
Indonesia
10
66
209
5K
Bavovna đã retweet
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kuanzia leo Odero Odero sio mwanachama wa CHADEMA. Hongereni sana Tawi la Olovisa japo mmechelewa sana kumfukuza huyu msaliti. Chadema sio kijiwe cha wasaliti aende akaungane na wasaliti wenzake.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
66
211
957
32.8K
Bavovna đã retweet
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
@prossoff Chama Cha CHADEMA Kwa Watanzania Ni Imani Kama Ilivyo DINI Kamwe Hakiwezi Kufa Chadema Ilisimikwa Rasmi Kwenye Mioyo Ya Watanzania Mwaka Jana Mwezi January Sijutii Muda Wangu Na Bundle Langu Nilivyotumia Kupush Kampeni Za TUNDU LISSU Na JOHN HECHE Washinde Ule Uchaguzi.
Indonesia
23
117
667
10.2K
Bavovna đã retweet
#NiYeye
#NiYeye@InnocentJLS·
Kuna wakati Lazaro Nyalandu alitaka kuwa Mwenyekiti wa Chadema😭
Filipino
31
38
558
19.8K
Bavovna đã retweet
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Chaula Ndugu yetu!! Mungu akasimame na wewe daima!
Jebra Kambole tweet media
Indonesia
9
94
662
7.5K
Bavovna đã retweet
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
This interview imetusaidia sana mno Nyalandu amekuwa cooked kwenye international media inayofuatiliwa sana Uzuri kwetu na ubaya kwao lazima watembee na hii narrative ya Nyalandu ambayo ni mbovu na imeoza
Indonesia
15
75
357
13.9K