ProsperNow.

121.7K posts

ProsperNow. banner
ProsperNow.

ProsperNow.

@prossoff

A FATHER || ASSERTIVE Bros || CONTENT CREATOR || HARD WORK PAYS.

Katavi-Mpanda, Tanzania Katılım Eylül 2020
1.7K Takip Edilen137.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Mwanaume ukijitambua vizuri utagundua kuwa, Haitoshi kuamini unapendwa kwa kuambiwa au kwa text like "NAKUPENDA" Mwanaume hapendwi bali anaheshimiwa, Bro ukiheshimiwa utapenda tu Ndio maana we choose to marry mid girls with respect, hawa classy ladies tunatumia kama Path.
Filipino
246
1.4K
5.2K
1.2M
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Jamaa zangu wawili. Mwanangu sana wa kwanza alikuwa na mshangazi anaishi nae. Mshangazi kiukweli alikuwa poa na vijipesa maana aliachiwa na mmewake aliefakiriki. Alifariki huku age ya kanzi inaruhusu kuendelea kufanya mapenzi. (Huyu aliefariki sio moja kati ya jamaa zangu wawili) Sasa huyo wa kwanza ni ndugu wa karibu na huyu wa pili, baada ya huyu wa kwanza kuona haelewi baadhi ya mambo kwa huyo mwanamke akaamua kupiga chini na kuanzisha mahusiano mengine. Basi jamaa yangu wa pili akasema so kweli pale maelekezo yapo sawa akaamua kumtokea yule mshangazi. Mshangazi kaeleweka na akawa anaishi nae mwisho wa siku amezaa nae katoto. Jamaa zangu wawili now hawana maelewano mazuri, kuna shida yoyote kati yao watatu yaani; Jamaa wa kwanza, Jamaa wa pili na Mwanamke?
Indonesia
3
0
17
877
MAIPAMBO JR
MAIPAMBO JR@maipambomteta·
Kunamwamba mmoja niliwahi kumsikia akisema speed ya hapa sijui itakua ndogo,oya wee huyu mwamba wa kuitwa @elonmusk apewe maua yake.🙌
MAIPAMBO JR tweet media
Indonesia
13
14
159
12.7K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Hongera kwa wamaume wote ambao mmetoka katika familia masikini bila kuongozwa na mtu mpaka angalau umeshika pesa na kuvunja nyororo ya umasikini pamoja na kusaidia wenzenu. Enyewe uhalisia ni kwamba kuna namna ukitoka kwenye familia masikini likelihood ya kutoboa ni ndogo sana.
Indonesia
6
28
165
2.1K
Maverick 🇸🇴
Maverick 🇸🇴@Enemy_19·
Combination ya algorithms na content creators kukufanya ukavunja penzi ulilojenga bila uwepo wao ni dakika moja tu 😂😂
Indonesia
2
3
5
252
TOXIC DAWG
TOXIC DAWG@iMajeshi_·
Nina uhakika kwa hii hii 80% Hawa wanaume walioa wake zao wakiwa tayari washatolewa Bikira.
TOXIC DAWG tweet media
Indonesia
24
19
125
5.6K
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Haka kamenuna Eid mpaka rahaa 😂😂😂😂
Eesti
1
3
41
1.3K
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
@prossoff Mdogo Wangu unatumia Madini yenye hadhi ya PhD
Indonesia
1
0
4
481
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Hakuna kitu kizuri katika haya maisha kama kujimudu katika kuendesha maisha yako. Like unaamka unajua kabisa unauhakika wa kula vizuri, kulala pazuri na kuingiza kiasi fulani cha pesa na hauna madeni usiyo yamudu. Enyewe ukifikia hiyo level no way utakosa furaha katika haya maisha, kupelekeshwa itakua hakuna tena na kuna aina ya makundi yanakukimbia then una attract watu wapya.
Indonesia
15
37
247
5.3K
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Anko T kamwambia Gwajima hapo ndo mwanzo mbona na atavaa hadi chupi za wanawake🤣🤣🤣🤣🤣
Indonesia
34
24
392
40.8K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Pitia pinned post yangu utapata kitu.
Indonesia
3
2
29
759
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Asubuhi nyingine kama vijana tunakumbushana kwa uzuri tu. Mwanaume unaehisi unapendwa sana na mwanamke mwenye mtoto/watoto huku Baba wa kids yupo unajidanganya. Pengine bila kuwa na hao watoto basi wewe usingempata kabisa. Yuko na wewe kwasababu amepungukiwa options. Yaani, you the best thing she can do kwa muda huo, bila kuwa na mtoto asingekupa hiyo nafasi hata kwa bahati mbaya. Unafanywa last option na unachekelea, kazi kwako.
Indonesia
20
25
180
4.2K
Sia Da Vinci💎
Sia Da Vinci💎@siadevinci·
@prossoff Ongea yote ila kaa ukijua shimo utakalokaa ukaingia pekeako ni kaburi peke yake. Na usipokuwa makini hata shimo la kaburi nalenyewe unaweza ukashea.
Indonesia
1
0
0
142
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Wanawake wenye BIKIRA ndio watu pekee wanafaa kulipiwa mahari zaidi ya 1M. Enyewe fikiria unalipa bride price above 1M na manzi ameshachakazwa back then na watu ambao pengine walitumia kulewa kwake kama fimbo. Wakampa zawadi wakapiga. Alishoboka na gari tu wakapiga. Kanunuliwa chakula akaliwa. Unanunua makombo kwa bei ya bidhaa ya chakula cha mgahawa wa nyota tano. Can't be me. Wengine mnaenda mbaali kabisa kwa kuoa manzi ambae aliliwa na watu unaowafahamu. Inanichekesha.
Indonesia
30
37
240
8K
DUM@H
DUM@H@stevenduma1·
Je unadhan umri na mavazi vinatakiwa kuendana mfano kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 30+ hana haja ya kuvaa kma kijana wa miaka 20-
Indonesia
3
1
3
70
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Tumshukuru MUNGU hata kwa hizi neema NDOGO NDOGO. Target ni MWENYEKITI WA TAIFA AFE TUWEKE SHEREHE YA KITAIFA.
SATIVA tweet media
Indonesia
48
73
767
18.9K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Ukimpata mwanamke anakupenda, anakuheshimu, mwenye subira anakuvumilia mapungufu yako na anakusupport Hustle zako, Chunga sana usimpoteze..✍🏾
Filipino
27
75
282
5.8K
Ze Planmaster
Ze Planmaster@ZPlanmaster·
Baada ya mfungo kuisha Sehemu za siri:
Ze Planmaster tweet media
Indonesia
46
39
252
6.3K