ProsperNow.

123.7K posts

ProsperNow. banner
ProsperNow.

ProsperNow.

@prossoff

A FATHER || ASSERTIVE Bros || CONTENT CREATOR || HARD WORK PAYS.

Katavi-Mpanda, Tanzania Katılım Eylül 2020
1.7K Takip Edilen138.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Mwanaume ukijitambua vizuri utagundua kuwa, Haitoshi kuamini unapendwa kwa kuambiwa au kwa text like "NAKUPENDA" Mwanaume hapendwi bali anaheshimiwa, Bro ukiheshimiwa utapenda tu Ndio maana we choose to marry mid girls with respect, hawa classy ladies tunatumia kama Path.
Filipino
252
1.4K
5.2K
1.2M
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Halopesa app haifanyi kazi mpanda tuu au kote.
Indonesia
12
1
64
4.6K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
@Sirajitz1 Unaaandika unawahi wapi? Tweet zako zote nilizosoma leo unakosea kosea tu.
Filipino
1
0
1
1K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Amri kiemba 🗣️. "Kama mimi ningelukua metacha jana nisingetoka uwanjani sababu haiwezekani unitoe kwa makosa ambayo sio yangu na kutaka labda kuonesha kua huenda kuna jambo kweli linaendelea alichofanya jana kocha ni kumtoa metacha mbuzi wa kafara jambo ambalo sio zuri kabisa" "Na kama ukigoka kutoka maana ake mwamuzi angeendeleza mchezo sababu ili mwingine aingie lazima wa kwanza awe ametoka" ----------------------- Anri kiemba hapa yupo sahihi?
Headboy wa mtaa tweet media
Indonesia
21
24
262
29.3K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Nimeamini kweli kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu.
Indonesia
11
8
74
3.1K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Single mother wapo likizo sasa. Kiangazi mchangamko. Hakuna kupumzika. Leo sipo kazini. Kwahiyo naitumia siku ya leo kuwaataarifu kuwa nitashinda nafanya mapenzi. Endeleeni kuuwana humu.
Filipino
8
10
132
5.8K
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽@mananajr_·
Kwenye jumuiya tumeambiwa kufikia mwakani, hakuna kijana wa jumuiya hii anatakiwa kuwa hajaoa. Ngoja tuone maana mwakani sio mbali sana😅
Suomi
9
19
57
950
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Hela unayompa mwanamke wako make sure ni surplus ama excess yaani haufikirii kwamba umempa iongeze upendo au kingine chochote, give her halafu usiweke expectation. Ile ya kuachana na kuanza kujutia ulivyompa haifai. By the way kumpa mke ni sheria.
Indonesia
5
30
202
3.8K
tutla Cholo
tutla Cholo@tutla7·
Apumzike kwa Amani , Maumivu nilio yaona kwa mwanangu Big Daah 💔 skia tu aisee
tutla Cholo tweet media
tutla Cholo@tutla7

Bliz @BLIZZSS (Big) amepata msiba wa Baba yake ambae anauliza msiba wapi kasema niwambie msiba ni Mwanza ijumaa hii

Indonesia
11
8
87
19.2K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Tweet like Madenge. Amezaliwa, marekani kasomea sheria chuo kikuu cha Dar es salaam, akafanya kazi katika Taasisi mbalimbali ikiwemo uhamiaji Kwa sasa ndiye mwenye takwimu za histori za watu maarufu wote Tanzania😂
ProsperNow. tweet media
Filipino
18
12
329
15.9K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Kamwe usimfanye mwanamke wako awe juu yako. 1. Kama ujasoma, usimsomeshe 2. Usifungue biashara kwa majina yake 3. Epuka kufungua account ya pamoja ya kifedha na mwanamke wako. 4. Kaa mbali na pesa za mwanamke wako 5. Tafadhari mbali na wanawake wenye watoto Kama hauna mtoto/watoto/haujawahi kuwa kwenye ndoa kabla. 6. Usaliti ni suala lisilo sameheka kwa mwanaume mwenye utimam.
Indonesia
6
26
208
9.2K
Big
Big@Zephania_Ndaki·
@prossoff @Mwangosijnr Huyo mtu smart ambae ni mnywaji akilewa anakua mlevi, hivyo mtu yoyote anae kunywa pombe ni mlevi.
Indonesia
1
0
1
61
Big
Big@Zephania_Ndaki·
Yule Dada Anae Tengeneza Wadada Wenzie Kucha Kaandika Usenge Hakuna Watu Walio Smart Kama Walevi Wanamipango Mingi Ya Maendeleo Sababu Sio Kila Siku Unalewa Pesa Zako Kitu Ambacho Hakijui Kuna Ile Inaitwa Kampani Nb: Anabahati Kaniblock Ningemchana. Circle Yangu Acheni Bully😭🙌
Indonesia
4
15
39
1.1K
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Ila wenye magari Mungu anawaona, yaani tuko kwenye zebra mvua inanyesha mtu anawakazia kabisa msivuke 🚮🚮🚮🚮
Indonesia
6
5
70
1.8K
ELLY
ELLY@Elly_pheno96·
@mshambuliaji Kapigwa mazoezini alafu akagongesha kichwa mezani au sio
HT
1
0
1
273
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa kiungo, Fede Valverde ataukosa mchezo wa El Clasico kati ya klabu hiyo dhidi ya FC Barcelona kutokana na jeraha la ubongo (traumatic brain injury) ambapo klabu hiyo imesema nyota huyo yupo nyumbani na atahitajika kupumzika kwa siku 14. Ripoti mbalimbali zimeeleza kuwa nyota huyo raia wa Uruguay alipata jeraha hilo baada ya kupigwa ngumi na mchezaji mwenzake wa klabu hiyo, Aurélien Tchouaméni wakati wa mazoezi ya klabu hiyo leo Mei 07, 2026. Chanzo cha ugomvi huo ni kitendo cha Valverde kumshutumu Tchouaméni kuvujisha taarifa za mgogoro wa awali baina ya wawili hao kwenye vyombo vya habari, jambo ambalo Tchouaméni alilikana. Tchouaméni ameripotiwa kumpiga Valverde na kupelekea kuanguka na kugongesha kichwa chake mezani, na kusababisha jeraha lililohitaji kushonwa baada ya kukimbizwa hospitali. #KitengeSports
Maulid Kitenge tweet media
Filipino
6
6
274
19.1K
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
Ungekuwa na Tsh 150M mkononi… ungechagua nini? Kati ya hivi 👇🏼 1. Kuanzisha biashara ya ground (risk kubwa, profit kubwa) 2. Kuweka pesa benki/Fixed Assets/Hisa (risk ndogo, growth ile ya Mdogo Mdogo ) Growth au stability?
Indonesia
40
23
201
14.1K
Big
Big@Zephania_Ndaki·
RAFIKI WA MAMA AKE NA TEMBA NAE AFARIKI DUNIA HAPO HAPO MASIBANI DAH😭💔
Indonesia
24
39
532
28.4K
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Kuna jamaa yangu ni fala kweli. Kuna siku alikuwa anaenda kuonana na wakili akavaa official eti kisa anaonana na wakili. Nikamuuliza kwa hiyo ukienda kuona na daktari utavaa lab coat?
Filipino
19
25
140
4.1K
Sara💕
Sara💕@saralexozil·
Hakuna mwanamke mbaya wa sura kikubwa matunzo tu.
Filipino
34
40
129
2.6K
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
@prossoff Mwanaume Tafuta PESA Kwa Speed Ya Ngiri Mkia Juu KINYEO Nje. Pesa Ndio Nguvu Za KIUME
Filipino
3
1
22
663
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Mwanaume ili ukae kwa utulivu kabisa unahitaji pesa. Dunia haiko fair kwa mwanaume asie na pesa. Mavazi pekee ya mwanaume ni gharama hata akiwa mtoto. Mwanamke wako anahitaji kuhudumiwa, watoto wanataka ulipe ada bado nyumbani kwenu kama sio kuzuri wanahitaji kitu. Pengine hujasikia popote ila mwanaume unafaa kutokata tamaa, faida ni faida hatakama ni ndogo shida ni matumizi. Age should matter kwenye kushika pesa, uhalisia ni kwamba 20s mpaka early 30s hazikuruhusu kuwa tajiri unless una backup ya wazee au we ni tapeli. Hao wenye pesa pia at that age tulikua hatuwafahamu, amini katika process huku ukiona progress zako. Enyewe kama bado unalizwa na mapenzi wakati bado haujawa vizuri kiuchumi, be blessed with a middle finger bro. Mwanamke unaemlilia atasomesha watoto? Atalisha familia? Lakini vipi kuhusu pesa unazotafuta leo zitakusaidia mambo mangapi? Usiache kufanya mapenzi na usiache kuomba msamaha unapokosea but don't over do.
Indonesia
12
37
211
6.2K