Sabitlenmiş Tweet
ProsperNow.
123.7K posts

ProsperNow.
@prossoff
A FATHER || ASSERTIVE Bros || CONTENT CREATOR || HARD WORK PAYS.
Katavi-Mpanda, Tanzania Katılım Eylül 2020
1.7K Takip Edilen138.4K Takipçiler

@Sirajitz1 Unaaandika unawahi wapi? Tweet zako zote nilizosoma leo unakosea kosea tu.
Filipino

Amri kiemba 🗣️.
"Kama mimi ningelukua metacha jana nisingetoka uwanjani sababu haiwezekani unitoe kwa makosa ambayo sio yangu na kutaka labda kuonesha kua huenda kuna jambo kweli linaendelea alichofanya jana kocha ni kumtoa metacha mbuzi wa kafara jambo ambalo sio zuri kabisa"
"Na kama ukigoka kutoka maana ake mwamuzi angeendeleza mchezo sababu ili mwingine aingie lazima wa kwanza awe ametoka"
-----------------------
Anri kiemba hapa yupo sahihi?

Indonesia

Apumzike kwa Amani , Maumivu nilio yaona kwa mwanangu Big Daah 💔 skia tu aisee

tutla Cholo@tutla7
Bliz @BLIZZSS (Big) amepata msiba wa Baba yake ambae anauliza msiba wapi kasema niwambie msiba ni Mwanza ijumaa hii
Indonesia

Kamwe usimfanye mwanamke wako awe juu yako.
1. Kama ujasoma, usimsomeshe
2. Usifungue biashara kwa majina yake
3. Epuka kufungua account ya pamoja ya kifedha na mwanamke wako.
4. Kaa mbali na pesa za mwanamke wako
5. Tafadhari mbali na wanawake wenye watoto Kama hauna mtoto/watoto/haujawahi kuwa kwenye ndoa kabla.
6. Usaliti ni suala lisilo sameheka kwa mwanaume mwenye utimam.
Indonesia

@Zephania_Ndaki @Mwangosijnr Hapana kaka, kuna wanaokunywa pombe sio kulewa
Filipino

@prossoff @Mwangosijnr Huyo mtu smart ambae ni mnywaji akilewa anakua mlevi, hivyo mtu yoyote anae kunywa pombe ni mlevi.
Indonesia

Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa kiungo, Fede Valverde ataukosa mchezo wa El Clasico kati ya klabu hiyo dhidi ya FC Barcelona kutokana na jeraha la ubongo (traumatic brain injury) ambapo klabu hiyo imesema nyota huyo yupo nyumbani na atahitajika kupumzika kwa siku 14.
Ripoti mbalimbali zimeeleza kuwa nyota huyo raia wa Uruguay alipata jeraha hilo baada ya kupigwa ngumi na mchezaji mwenzake wa klabu hiyo, Aurélien Tchouaméni wakati wa mazoezi ya klabu hiyo leo Mei 07, 2026.
Chanzo cha ugomvi huo ni kitendo cha Valverde kumshutumu Tchouaméni kuvujisha taarifa za mgogoro wa awali baina ya wawili hao kwenye vyombo vya habari, jambo ambalo Tchouaméni alilikana.
Tchouaméni ameripotiwa kumpiga Valverde na kupelekea kuanguka na kugongesha kichwa chake mezani, na kusababisha jeraha lililohitaji kushonwa baada ya kukimbizwa hospitali.
#KitengeSports

Filipino

@mlinganya @kasimuabuu98 Jamaa yako yupo sawa.
Wewe ndio unashida kaka😂
Filipino

@saralexozil @Mwangosijnr Wapo😂
Sema anaweza kuwa mbaya ila msafi na smart akavutia.
Indonesia

@prossoff Mwanaume Tafuta PESA Kwa Speed Ya Ngiri Mkia Juu KINYEO Nje. Pesa Ndio Nguvu Za KIUME
Filipino

Mwanaume ili ukae kwa utulivu kabisa unahitaji pesa.
Dunia haiko fair kwa mwanaume asie na pesa.
Mavazi pekee ya mwanaume ni gharama hata akiwa mtoto.
Mwanamke wako anahitaji kuhudumiwa, watoto wanataka ulipe ada bado nyumbani kwenu kama sio kuzuri wanahitaji kitu.
Pengine hujasikia popote ila mwanaume unafaa kutokata tamaa, faida ni faida hatakama ni ndogo shida ni matumizi.
Age should matter kwenye kushika pesa, uhalisia ni kwamba 20s mpaka early 30s hazikuruhusu kuwa tajiri unless una backup ya wazee au we ni tapeli.
Hao wenye pesa pia at that age tulikua hatuwafahamu, amini katika process huku ukiona progress zako.
Enyewe kama bado unalizwa na mapenzi wakati bado haujawa vizuri kiuchumi, be blessed with a middle finger bro.
Mwanamke unaemlilia atasomesha watoto? Atalisha familia? Lakini vipi kuhusu pesa unazotafuta leo zitakusaidia mambo mangapi?
Usiache kufanya mapenzi na usiache kuomba msamaha unapokosea but don't over do.
Indonesia








