Post

⚡Nilitulia ili niandike roadmap nzuri inayowafaa wengi kufata ili kuweza kujifunza programming.
Mpaka sasa kwa wale wachache ambao wamekwisha soma makala hii, kuna baadhi ambao wameshatambua wanatakiwa kufanya nini ili kujua programming.
habaritechtz.com/namna-ya-kujif…
Indonesia

⚡Mtu kama @DThompsonDev alitoka kuwa mpishi mpaka kuja kuwa moja kati developers bora sana duniani.
Kama yeye aliweza hata wewe pia unaweza.
Nataka ujue unawezaje kufanya hivyo katika makala hii
habaritechtz.com/namna-ya-kujif…
Indonesia

⚡Guide hii nitajitahidi itoke 13th August, Jumamosi ya kesho kutwa na nitaisambaza kupitia Whatsapp kwanza kwa wale watu waliolipia kupata vitabu vya Hacking, Android Development, programming, Machine Learning pamoja na Networking.
WhatsApp Yangu.
wa.me/255753607400
Filipino

