HabariTech

39.2K posts

HabariTech banner
HabariTech

HabariTech

@HabariTech

Ulimwengu wa Teknolojia kiganjani mwako. #HabariTech

Iringa, Tanzania Katılım Kasım 2020
712 Takip Edilen21.5K Takipçiler
Oswald
Oswald@oswaldshoo·
@HabariTech I'm building the same one, but for what'sApp
English
1
0
2
62
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Nimekuwa busy kutengeneza App ya AkibaPlus mpaka nimesahau kuna HabariDuka na X 😁 App iko tayari na APK inapatika hapa akibaplus.habaritechnology.com Sasa nipitie timeline kuona yaliyojiri. Hizi ni baadhi ya screenshot za ndani ya app.
HabariTech tweet mediaHabariTech tweet mediaHabariTech tweet mediaHabariTech tweet media
Indonesia
3
7
20
1.1K
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Ndo maana mtu nikimfundisha uwekezaji lazima nimsisitize hii hesabu. Sehemu yoyote unapoweka hela chukua hiyo return wanakupa kwa mwaka toa inflation rate. Inflation inacheza kwenye 3.5% ila siku zote nawaambia watolee 4% inayobaki ndiyo actual return yake. Na akiona jibu ni 0 au kushuka aachane nayo. Ndo maana nazikataa sana fixed accounts.
Haulay@Positivenga1

Wanaowekaga ela UTT huwa wanapiga na hesabu za inflation?

Indonesia
4
11
51
6.9K
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Kunako elekea sasa nitafanya masterclass ambayo itafanya mtu yeyote aweze tengeneza apps na mifumo. Unachohitaji ni muda na utayari wa kujifunza. Sema ada yake Watanzania mtasema naiba. TZS 150,000 per person. Somo la wiki moja tu. Nafasi 15 tu. Hata watu wawili tu nitafundisha ili niwatoe misconception mlizo nazo.
Indonesia
3
4
18
1.4K
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@Yule_Jamaa77 Hauhitani kutumia nguvu kubwa sana sehemu ambayo unaweza kutumia kidogo.
Filipino
0
0
0
2
Yule Jamaa
Yule Jamaa@Yule_Jamaa77·
@HabariTech skuizi watu wana vibe code balaa, ni claudie tu copy en paste, kuna jamaa alipost njia ya kutengeneza website kama portfolio - oya, yana ameweka pdf tu claudie ikatengeneza site ambayo inachkua mwezi kwa sisi UI/UX designer kukamilisha
Indonesia
1
0
0
32
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@mjumbe_mwanda Hapana. Nakuhitaji ujue kusoma na kuandika lugha mbili. English & Kiswahili. Zaidi sana ujue English.
Indonesia
0
0
0
4
mjumbe mwanda
mjumbe mwanda@mjumbe_mwanda·
@HabariTech Inahitaji background ya programming language? Ku join that masterclass?
English
1
0
0
6
HabariTech retweetledi
I ❤️ Dar Es Salaam
I ❤️ Dar Es Salaam@FaradayMtz01·
Bila marketing hakuna atakaye kuona. Bila brand hakuna atakaye kuamini. Kwenye Biashara unahitaji vyote viwili. Wengi wanachanganya hapa. Kurun ads = marketing Kuwa na logo = branding. Ukweli ni Marketing = kupata attention Branding = kujenga uaminifu
Indonesia
3
13
45
1.2K
Kileleni
Kileleni@kileleni_·
@HabariTech KUNA watu bado wanaishi stone age🤣
हिन्दी
1
0
2
35
Chulo MT
Chulo MT@pappi_champ·
@HabariTech Umefatilia rates za fixed account za sikuizi?
English
1
0
0
279
Imara Joy
Imara Joy@imarajoysteven·
@HabariTech @ally_eh Naomba uweke features ambayo mtu ana plan, na ina track na expenditure kabisa. Budgeted vs actual. Thanks. Incase of testing am available
Filipino
1
0
1
41
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@ZPlanmaster Kwa kiwango kipi cha pesa unacho fix ili wakupe hiyo 12%?
Filipino
1
0
0
186
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@EdwinMjeru Mkuu fanya jambo kitabu kipatikane pale HabariDuka
HabariTech tweet media
Indonesia
1
1
1
100
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Hauwezi kubadilisha maisha yako ndani ya siku moja, LAKINI: Unaweza kubadilisha mtazamo wako juu ya maisha yako ndani ya siku moja. Na huu ndiyo UKUTA mgumu kwa wengi wetu katika safari ya KUTOBOA. Jipe challenge weekend hii, grab nakala ya E-book ya NITATOBOA kisha kisome na kuchukua hatua. Tuma neno NITATOBOA kwa SMS au Whatsapp kwenda namba 0764 191504 ili kupewa utaratibu. Uwe na usiku mwema!
Edwin F.M tweet media
Indonesia
1
9
19
662
Ibraheem
Ibraheem@Abrahconscious·
@HabariTech Hakuna kitu mtu anaweza iga zaidi ya ui maana hizi flow mara nyingi Zina fanana kwa kiasi I have this app nilibuild me na Wala sikuwa nimeikamilisha mpk now ila Bado vitu vichwche tu nikaachaa baada ya kuona ziko nyingine kama hizi
Indonesia
1
0
0
69
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Post a random picture from your phone with no explanation.
English
51
13
106
27.5K
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Yes, that's true unfortunately for our case in TZ it is almost impossible to directly integrate mobile money and banks into such apps. I tried building a work around for an android device by actually reading SMS that are already on the phone. It works, but then we have restrictions where in some cases the Sim card for mobile money is in a different phone and not a smartphone. So that is where i hit a bump and decided to make it purely manual. The only thing i am trying to make better is have a UI that attracts the user to actively record their finances. So even AI is not helpful in this case.
English
0
0
1
99
Applywise-Ai
Applywise-Ai@ApplyWiseAi·
@HabariTech personal finance hits retention walls fast once logging turns manual. ai predictions help but only if they update in real time
English
1
0
1
91
YouTube | Mou
YouTube | Mou@MouSaliim·
@HabariTech Tunaisubiri Mkuu kukaa chini mtu akapiga hesabu kweny hayo mambo ni changamoto, Itarahisisha sana mabo mtu akiwa na tracker kma hivo
Filipino
1
0
1
34