HabariTech

39.2K posts

HabariTech banner
HabariTech

HabariTech

@HabariTech

Ulimwengu wa Teknolojia kiganjani mwako. #HabariTech

Iringa, Tanzania Katılım Kasım 2020
714 Takip Edilen21.4K Takipçiler
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Hii kitu mimi kuna siku nilisema ni kama kuna bubble inasubiri kupasuka. Hizi bei ni juu mno zinalazimisha ionekane kupanga ni bei nafuu kuliko kujenga in the long run. Soon yataanza mambo ya mortgage na watu kulipa ununuzi wa nyumba kwa kulipa polepole kama kodi.
Assenga Jr@assengajrr

Bila kuwa Fisadi na mwizi huwezi nunua kiwanja Dar es Salaam. Kiwanja Goba sqm 400 Milion 150, ivi kwa kipato cha muajiriwa mshahara milion 1 kwa mwezi ataweza kumiliki kiwanja Dar kweli. Izi Bei zinatokana na nini mbona haziendani na maisha halisi, au ni mm ndo sina ela.

Indonesia
2
2
4
828
HabariTech retweetledi
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Alhamdullilah Safari imekamilika Sasa TZ tuna app moja tu ambayo inaDeal na Deliveries (PEKEE) ndani ya Dar na MIKOANI @deliviosend iko FASTER kuliko Goli la kwanza. June mwishoni na July kila kona ya DSM na majiji makubwa ukiona KIJANA amevaa hii una parcel mpatie. Ukikwama pahali piga simu +255 759 490 245🫡
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Indonesia
9
25
99
9.3K
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Akilini mwangu huwa nasema vitu vingi huwa nafanya kwa ajili ya jamii. Ndiyo sababu huku online huwa sitoki na profits kubwa. Ila kitu huwa najua ni kuna siku isiyo na jina nitapotea kabisa online nifanye kazi zangu nje na mitandao. Na nitauza Online Ventures zote kasoro AKIBAPLUS 😂 Kuna sababu ile haiko tied na HabariTech 😁. Ile iko personal kwangu kuliko hata HabariTech na HabariDuka.
Filipino
0
1
1
260
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@gabyconscious 😂😂 At some point ukiwa unapiga pesa vizuri mahali kungine huku utaona ni kelele tu bora uziache.
Indonesia
0
0
1
13
HabariTech retweetledi
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Naipenda X sababu imekuza jina la HabariTech na hakuna sababu nyingine. Ila sasa hivi napost zaidi TikTok na Whatsapp kwa sababu zifuatazo. -X iko overrated sana, ila haina maajabu kwangu. -Sijawahi kupata paying client toka X 🤣. Sidhani kama nimewahi pata mtu anayelipa hata buku huku. -VPN. Hii kitu naichukia sana. HabariDuka imeuza sana kupitia Whatsapp. AkibaPlus imepata watumiaji wengi kutoka TikTok. X 🤐 huku banter kama kuambiwa hapa story tu kula kwenu. Kitu X imenipa ni mafunzo. Kuna talent sana huku watu wanaojua katika kila niche. Ndicho kikubwa huwa napata hapa X.
Filipino
7
5
43
7K
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@OfficialKyejo Na ukitoa evidence inakuwa questioned vikali mpaka wewe mwenyewe unaanza kujihoji
Indonesia
1
0
1
28
The Kyejo
The Kyejo@OfficialKyejo·
@HabariTech Hapa X hata ukisema Mungu yupo utaambiwa toa evidence 😂 kwisha ww
Filipino
1
0
5
215
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@ArthurGeil 😂😂😂 na kila mtu anaona yuko sawa na kila mtu
Filipino
0
0
0
21
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@makeleletech @X Kwa nafasi yake kukupa connection za watu wanaoeleweka iko vizuri sana.
Indonesia
0
0
0
33
MAKELELETECH
MAKELELETECH@makeleletech·
@HabariTech Kweli hata upande wangu @X imenipa watu wa muhimu sana kwenye cycle yangu.
Indonesia
2
1
1
379
Maotora
Maotora@maotora_emem·
@HabariTech Back in 2017, I built an offline first, multi role, electron desktop application that synced with a nodejs BE. It was all well and good until the sync priority issues emerged, admin & manager changed the same field while offline 😆 Loved the article, ended up using couchdb.
English
1
0
0
12
Innogh
Innogh@innosgram·
@HabariTech @WebYetu Shukran sana mkuu🙏, tunaiboresha kila siku, sasa inaweza kutengeneza full functional ecommerce website inayopokea mpaka payments in 10 minutes
Innogh tweet media
Filipino
1
0
1
99
Innogh
Innogh@innosgram·
App yangu niliyotengeneza kwa kutumia Ai inatoa ajira ya pili ya moja kwa moja sasa, ni kitu ambacho wakati naanza nisingeweza kumwelezea mtu akaelewa. WebYetu ni yetu sote. @WebYetu
Innogh tweet media
Indonesia
1
2
5
490
Daniel Smidstrup
Daniel Smidstrup@DanielSmidstrup·
Has anyone here actually shipped a product using only vibe coding? How is it going?
English
111
0
84
19.2K
HabariTech retweetledi
The brand wiz
The brand wiz@miracleboytz·
Ukishindwa kueleweka. Automatically unakua umeshindwa kutengeneza pesa kupitia brand yako. → Jijenge kwa value. → Systemize your contents. → Connect na watu wanaokuongezea thamani. 2026 is definitely the year of doing GREATNESS.
Indonesia
1
7
20
341