HabariTech

38.8K posts

HabariTech banner
HabariTech

HabariTech

@HabariTech

Ulimwengu wa Teknolojia kiganjani mwako. #HabariTech

Iringa, Tanzania Katılım Kasım 2020
702 Takip Edilen21.4K Takipçiler
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
What happened to the Metaverse?
English
0
0
1
22
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@2BitRoot Ni ajabu namna kuna red tapes nyingi mno ambazo sio za kusaidia.
Indonesia
0
0
0
12
Obsidian
Obsidian@2BitRoot·
@HabariTech Na wangeweza kukusanya kodi bila kutumia nguvu, ila sasa kwa vile madaraka yameshikwa na washamba, Tutakoma.
Filipino
0
0
1
43
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Bado nasema Tanzania tukiweza kweli kutatua mifumo ya Malipo itakuwa ushindi sana. Mpaka leo hii bado mifumo ya malipo ni changamoto kunwa sana.
Filipino
1
3
16
939
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
I have vibe coded several projects in the past three months. The first 2 I have to confess you can see the vibe coding from a mile away. The issue is not vibe coding, but rather the use case of your vibe coded app. Everyone can vibe code, but not everyone can build an app with actual use case and send it to market and actually get users.
English
0
0
0
170
Craig Weiss
Craig Weiss@craigzLiszt·
if you vibe code well, no one will ever know your product was vibe coded
English
75
23
426
11.7K
scripteed
scripteed@oooh_boychild·
@HabariTech Issue ni software au programming fault boss na sio mechanical failure,,
English
1
0
1
226
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Toyota Land cruiser LC300 zilizouzwa kati ya January 8, 2025 na January 16, 2026. Toyota wamesema zirudi kabatini kwao. Zina changamoto ya Gearbox. Mimi ndo maana sikutaka kuinunua 😂
Indonesia
12
11
113
10.2K
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
FREELANCING / VIBARUA Tanzania sio Uhuru. Kwa watu wengi Tanzania ina maana ni kufanya tu kazi saa 14 kwa siku kufanya kazi kwa clients tofauti tofauti. Na clients wote malipo yanafanyika kazi ikiisha ambayo inaweza kuchukua zaidi ya wiki. Kama pesa yako kuipata inakuhitaji uwe active ukifanya kazi muda wote, basi kipato chako kina kikomo ambacho lazima ukifikie. Habariduka ipo kwa lengo la kuvunja hicho kikomo kisiwepo tena. Jiunge leo na HabariDuka upate uhuru usio na kikomo duka.habaritechnology.com
Indonesia
2
4
13
748
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Nakutambulisha kwenye ebook yangu: “BE YOUR OWN BOSS” (Mwongozo wa Kujenga Uhuru wa Muda na Pesa) Kama umechoka kubadilisha muda wako kwa pesa na unataka kujenga mfumo unaokulipa hata ukiwa offline… Thread hii ni kwa ajili yako👇🧵
MWANAHISABATI tweet media
Indonesia
1
3
8
383
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@gwakukaja2020 Ooh basi sawa ila wao wamesema zina shida kwenye automatic transmission.
Indonesia
0
0
1
216
Ipy
Ipy@gwakukaja2020·
@HabariTech Shida ni hii engine mpya Twin turbo V6 sio gearbox.
Eesti
1
0
3
648
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@TBoundBuses Inawezekana ikawa hivyo. Muhimu iwe kwao imetoka ndani ya muda huo nadhani.
Indonesia
0
0
0
228
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
@RMnganya Mimi niliona nisubiri kwanza kuna liteni halikuwa limetimia
Filipino
1
0
1
842
Robert Mng’anya
Robert Mng’anya@RMnganya·
@HabariTech Una maana umesita mwaka mzima, mkali usiwe na tabia ya kughahiri ghahiri lakini 😂
Indonesia
1
0
0
856
𝙓𝙨
𝙓𝙨@Excess300·
“Seriously unapagawa na Pizza na Burgers 🤨” “Luxury food” hii ni mockery, unashangaa kwanini watanzania tunaona ni big deal (ndio ilikuwa uelewa wangu wa ulichopost hapo Mwanzoni). Jibu langu lilikuwa ni kukuelewesha kuwa ni kawaida nchi tofauti na wapi hicho chakula kilipozoeleka “staple” kuona ni big deal. Mimi ukiniletea Injera ninaona ni luxurious food kwasababu sio kitu kawaida ila ukienda Ethiopia ndio staple ya kila siku.
Filipino
1
0
1
163