HabariTech
39.2K posts

HabariTech
@HabariTech
Ulimwengu wa Teknolojia kiganjani mwako. #HabariTech
Iringa, Tanzania Katılım Kasım 2020
712 Takip Edilen21.5K Takipçiler

Nimekuwa busy kutengeneza App ya AkibaPlus mpaka nimesahau kuna HabariDuka na X 😁
App iko tayari na APK inapatika hapa akibaplus.habaritechnology.com
Sasa nipitie timeline kuona yaliyojiri.
Hizi ni baadhi ya screenshot za ndani ya app.




Indonesia

@HabariTech The app is not opening on my force (error : app keeps stopping)
English

Ndo maana mtu nikimfundisha uwekezaji lazima nimsisitize hii hesabu.
Sehemu yoyote unapoweka hela chukua hiyo return wanakupa kwa mwaka toa inflation rate.
Inflation inacheza kwenye 3.5% ila siku zote nawaambia watolee 4% inayobaki ndiyo actual return yake. Na akiona jibu ni 0 au kushuka aachane nayo.
Ndo maana nazikataa sana fixed accounts.
Haulay@Positivenga1
Wanaowekaga ela UTT huwa wanapiga na hesabu za inflation?
Indonesia

Kunako elekea sasa nitafanya masterclass ambayo itafanya mtu yeyote aweze tengeneza apps na mifumo.
Unachohitaji ni muda na utayari wa kujifunza.
Sema ada yake Watanzania mtasema naiba.
TZS 150,000 per person. Somo la wiki moja tu.
Nafasi 15 tu.
Hata watu wawili tu nitafundisha ili niwatoe misconception mlizo nazo.
Indonesia

@Yule_Jamaa77 Hauhitani kutumia nguvu kubwa sana sehemu ambayo unaweza kutumia kidogo.
Filipino

@HabariTech skuizi watu wana vibe code balaa, ni claudie tu
copy en paste, kuna jamaa alipost njia ya kutengeneza website kama portfolio - oya, yana ameweka pdf tu claudie ikatengeneza site ambayo inachkua mwezi kwa sisi UI/UX designer kukamilisha
Indonesia

Mimi wala siogopi building in public mtu ukitaka kuiga iga tu. Kitu najua na kuamini ni kama huwezi fikiria product na mtumiaji anataka nini huwezi toboa.
Hii hapa sasa hivi naifanyia kazi ni personal finance app.
Leo nina kazi ya kuiwekea makato ya mitandao yote katika namna zote.
Tosin Olugbenga@TosinOlugbenga
Nobody is building in public again…. You people are afraid of others cloning your project in 48 hours. 😂😂😂😂😂😂😂
Indonesia

@Ngailo @ZPlanmaster Nimeongelea fixed account ya benki sio bonds.
English


@mjumbe_mwanda Hapana. Nakuhitaji ujue kusoma na kuandika lugha mbili.
English & Kiswahili.
Zaidi sana ujue English.
Indonesia

@HabariTech Inahitaji background ya programming language? Ku join that masterclass?
English
HabariTech retweetledi

@HabariTech Halloo naomba link ya site yako ambayo ipo kama gumroad niupload materials kule
Filipino

@HabariTech @ally_eh Naomba uweke features ambayo mtu ana plan, na ina track na expenditure kabisa. Budgeted vs actual. Thanks.
Incase of testing am available
Filipino

@ZPlanmaster Kwa kiwango kipi cha pesa unacho fix ili wakupe hiyo 12%?
Filipino


Hauwezi kubadilisha maisha yako ndani ya siku moja, LAKINI:
Unaweza kubadilisha mtazamo wako juu ya maisha yako ndani ya siku moja.
Na huu ndiyo UKUTA mgumu kwa wengi wetu katika safari ya KUTOBOA.
Jipe challenge weekend hii, grab nakala ya E-book ya NITATOBOA kisha kisome na kuchukua hatua.
Tuma neno NITATOBOA kwa SMS au Whatsapp kwenda namba 0764 191504 ili kupewa utaratibu.
Uwe na usiku mwema!

Indonesia

@HabariTech Hakuna kitu mtu anaweza iga zaidi ya ui maana hizi flow mara nyingi Zina fanana kwa kiasi I have this app nilibuild me na Wala sikuwa nimeikamilisha mpk now ila Bado vitu vichwche tu nikaachaa baada ya kuona ziko nyingine kama hizi
Indonesia

Yes, that's true unfortunately for our case in TZ it is almost impossible to directly integrate mobile money and banks into such apps.
I tried building a work around for an android device by actually reading SMS that are already on the phone.
It works, but then we have restrictions where in some cases the Sim card for mobile money is in a different phone and not a smartphone.
So that is where i hit a bump and decided to make it purely manual.
The only thing i am trying to make better is have a UI that attracts the user to actively record their finances.
So even AI is not helpful in this case.
English

@HabariTech personal finance hits retention walls fast once logging turns manual. ai predictions help but only if they update in real time
English

@HabariTech Tunaisubiri Mkuu kukaa chini mtu akapiga hesabu kweny hayo mambo ni changamoto, Itarahisisha sana mabo mtu akiwa na tracker kma hivo
Filipino








