As a diehard EPL fan, I know for sure no team can beat Everton, Brentford, Palace, Bournemouth, and Villa in a row.
If City can do that, they deserve the league title.
Tofauti na washikaji wa karibu wa Ninja msiamini Info za Strangers kuwa Ninja alikuwa wapi akaenda wapi zile info sio za Bahati mbaya ni sehemu ya plan za kupoteza Maboya au kumtafutia kosa mwana.
Unaamini mtu mmoja anaweza kuzomea kwenye Festival na sauti yake ikaenda?
RAT
Kama yule jamaa aliyeandika story ya uongo kuhusu Ninja ni rafiki yenu nyie watu.. lazima awajibike.
Naomba mumuulize vizuri, mbananisheni aseme taarifa katoa wapi..
Otherwise mnaendelea kufuga marafiki ambao mi snitches and at the same time wanaweza kukuharibia maisha..
Mkamateni, and beat his ass up.. 🤧
Mida hii sisi tunavuta shuka mwanetu @Ninja_Damour uko hatujui anaendeleaje, hali ya mama yake mida hii sijui itakuaje Dah💔, Popote ulipo brother tunakutakia uwe salama mzee🥲
Ni usiku wa kwanza tunalala hatujui @Ninja_Damour yupo wapi amekula au hajala hatujui kama amepewa hata maji ya kunywa hatujui hata atajiegesha vipi hata ubavu maskini💔😭😭
Mungu amlinde amjalie uvumilivu amtie nguvu na yote kwa yote aturudishie akiwa salama🤲🤲🙏
#FREENINJA