Daniel Mwandala

5.8K posts

Daniel Mwandala banner
Daniel Mwandala

Daniel Mwandala

@DannyThePlanner

Project Manager, Businessman, Business Analyst, Strategist. Ready to assist for Strategy making, Business Plan, Project Proposal and Market Analysis.

Beigetreten Kasım 2022
364 Folgt264 Follower
Hasta La Victoria Siempre
Maraisi wote waliopita hakuna asiyejua uwepo wa Madini pale gerezani Mbeya, hata Arusha airport chini Kuna Madini, ni vile tu Samia kaamua kuuza kila kitu, Mbona Kikwete alijua Namtumbo Kuna Uranium na akaacha, Samia nayo kauza, hii nchi huyu Samia atatuachia mashimo. Amini
Hasta La Victoria Siempre tweet media
Filipino
9
12
119
10.1K
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@LaligaCoverage 1. Viktor Valdes 2. Thiery Henry 3. Cales Puyo 4. Gerrard Pique 5. Keita 6. Xavi Hernandez 7. Ibrahimovic 8. Messi 9. Dani Alves 10. Yaya Toure 11. Eric Abidali
Español
0
0
0
50
Laliga Coverage✍️
Laliga Coverage✍️@LaligaCoverage·
Barcelona 2009/2010: If you can name 5 players from this legendary Barcelona squad, you’re a TRUE football fan!
Laliga Coverage✍️ tweet media
English
238
42
932
52.8K
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@ndagamba46 @Oktoba29 Nyerenye alitaka kujenga ila alinyimwa mkopo na World Bank, kwa sababu zile zile walizo kuwa wanampa Magufuli kwamba litaharibu ecosystem.
Indonesia
1
0
0
9
Ally Masoud
Ally Masoud@ndagamba46·
@Oktoba29 Upumbavu nao ni kipaji,hata Nyerere alijua kuna bwawa la Umeme kule Rufiji lakini hakulijenga.Pili sijui bei ya kuuzwa unaifahamu au ni ule ule ulimbukeni?
Indonesia
1
0
0
195
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@JumaMahuba @Oktoba29 Hako ambako yamesha vunwa na ambako wanaendelea kuvuna yameondoa umasikini? Mbona kwa miaka karibu 20 tulikuwa tunapata sijui chini ya 5% kutoka kwenye madini?
Filipino
0
0
0
14
Entruscan
Entruscan@JumaMahuba·
@Oktoba29 Sasa yatakaa ardhini mpaka lini..nyie wapuuzi kweli yaani tuendelee kuwa maskini wakati tuna mali
Indonesia
1
0
0
259
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@Makaveli_255 Dalali aliniambia njoo kuna frem imepatikana, nikaenda na location nikaielewa. Akampigia tajir wa frem akamwambia kunihusu na aina ya biashara, tajiri akakubali nikapewa ACC kesho yake nidumbukize, dalal nikamalizana nae, ghafla dalal ananiambia nikachukue hela yangu mke kazingua
Indonesia
1
0
4
710
warida yahaya
warida yahaya@WaridaYahaya·
@Positivenga1 Uko sawa kabisa ,mi huwa nasema kibongo kibongo kijana kufanikiwa Wala sio kazi sana ukiwa na nidhamu, usiwe na tamaa, usiwe mjuaji ,bidii tayari ushatoboa mapema sana , fursa za kupata Michele bongo Bado ni nyingi mno na zinahitaji watu ila watu hawapo
Indonesia
4
1
50
1.8K
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Tanzania ina uhaba wa vijana walionyooka sana kwenye mishe nyingi sana! So Kijana Ukinyooka kidogo tu na ukawa na exposure na uthubutu, unaondoka.
Filipino
31
123
907
21.9K
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@NkosweCharles @fumbokhanJr Hizo curriculum zikiwepo na Wanafunzi wanakaa kwenye vumbi, una uhakika huto toa milio kama kama unayo itoa hapa? Je, kosa la Baba Levo ni lipi?
Filipino
0
0
0
12
Mr charming
Mr charming@NkosweCharles·
@fumbokhanJr Karne hii mnatamba na msaada wa madawati?? GPA kubwa inakaa tudiscuss upuuzi,bro people wanahitaji Elimu bora yenye tija ,tunahitaji curriculum proper zitakazopelekea kuzalisha wasomi bora sio madawati bro 🫵 huu ni udhaifu wa kiwango cha juu mpaka leo unashangilia kuletewa dawat
Indonesia
5
0
8
1.1K
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Baba Levo ndio Mbunge pekee ambae anatimiza ahadi zake bila Kutegemea Budget. Tayari Kashaanza Kupeleka Madawati aliyo ahidi Katika shule za KIGOMA mjini🙌 Kuna watu humu walikuwa wana msema vibaya kisa Kiwango Chake cha Elimu, now ana waprove wrong😅
Fumbo Khan tweet mediaFumbo Khan tweet media
Filipino
26
14
326
30.3K
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@SeekNaturalLife @lifeofmshaba Alikuwa mchumia tumbo tu huyo. Regime iliyo pita alinyimwa fursa ya kumega tunda, regime hii kapewa nafasi. Hivyo lazima afunge sufuria la lawama la regime ile na afungue sufuria la sifa kwenye regime hii.
Filipino
1
0
3
43
Tujifunze silaha za kivita.
Tujifunze silaha za kivita.@SeekNaturalLife·
Huyu Kigogo mnamkumbuka aisee alikuwa anapeleka moto balaa, sijui nini kilimkuta😂😂😂
Tujifunze silaha za kivita. tweet media
Indonesia
10
10
75
9.1K
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@alekkin254 Mpaka leo vijijini huko Millennials na GenZ smartphones wanaziita simu za tachi.
Indonesia
0
0
1
10
Shifu.👤
Shifu.👤@alekkin254·
Millennials mjue hatujasahau mlikua mnaita smartphone "touchscreen "
Indonesia
280
496
2.6K
345.1K
Oladoja
Oladoja@_onlyscott·
Guess the player Difficult
Oladoja tweet media
English
7.4K
612
12.4K
1.4M
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽@mananajr_·
Mnasemaga watu wa mikoani washamba, sasa hawa waliojazana hapa Buguruni Sheli sikukuu ya Eid walikuwa wa mkoa gani.
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽 tweet media
Indonesia
104
46
820
36.6K
LizyRomanio🤪
LizyRomanio🤪@ShirimaYvonne·
Kwahiyo ndugu zangu dawa ya vidonda vya tumbo mmegoma kabisa kunipa mpaka msikie nimedanja sio?
Indonesia
100
25
257
23.5K
Son of God
Son of God@EliabuDanford·
Ufunuo wa Yohana 20:7-9 7 Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; 8 naye atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari. 9 Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala. Hawa watakatifu ni akina nani sisi wakristo??
Filipino
3
0
2
248
Son of God
Son of God@EliabuDanford·
Najua hamwezi kusema wazi ila idadi kubwa ya Dunia kwa sasa wanatamani, kama kuna uwezekano au ijitokeze nchi/muungano wa nchi wapige hata bomu la nuclear pale Israeli wote wapotelee mbali ili Dunia iwe na amani. Guess what?? Imeandikwa hivyo tokea zamani, so mnatembea mule mule.
Filipino
18
5
103
5.9K
Dr. Chris Cyrilo
Dr. Chris Cyrilo@DrCyrilo·
Wafuasi wa Magufuli njooni tena mnene kwa lugha na matusi. Kwa kifupi shujaa wenu ni shujaa wa utekaji na mauaji. Huu mwezi ni wenu. Siwezi kuwazuia kumuita shujaa, lkn nitawakumbusha tena na tena kwamba shujaa wenu ndio 'blue print' ya mambo ya hovyo yanaoendelea nchini.
Dr. Chris Cyrilo tweet mediaDr. Chris Cyrilo tweet mediaDr. Chris Cyrilo tweet mediaDr. Chris Cyrilo tweet media
Indonesia
23
71
325
13.8K
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@Dagwaaa @EdwinMjeru Vijana huwa wana-prioritise sana TITLES kuliko TANGIBLE RESULTS na REVENUE. Wengi huishia kuwa na vikampuni vya mfukoni tu, na kuanza UTAPELI.
Learner✝️🛐 tweet mediaLearner✝️🛐 tweet media
Filipino
3
1
4
141
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Wanasheria tutani msaada please! Kuhusu BRELA na TRA! Assume mtu anataka kuanzisha kampuni ya KAZAMWENDO Group ambayo itakuwa inafanya biashara chini ya brand hizi👇 1. Kazamwendo Logistics 2. Kazamwendo Natural products 3. Kazamwendo Hardware 4. Kazamwendo tailoring Swali 1: BRELA: Je, wakati wa kusajili BRELA asajili tu kampuni kama Kazamwendo afu zingine ziwe brand names za matawi ya biashara au inabidi asajili kila kampuni peke yake kulingana na biashara husika? Swali 2: TRA; Je, achukue TIN number moja na kulipa kodi chini ya kampuni mama kwa pamoja au inabidi kila biashara achukulie TIN namba yake na kulipa kodi separately? PS: Retweet ili iwafikie Wanasheria kwa msaada. Asante! Asante kwa ushauri wako in advance!
Filipino
23
50
191
30.2K
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@chapanombombwi @george_haroun Hata kama ningekuwa mimi ambae nilikuwa mwiz, mtu wa magendo, nisie wajibika kazin, vyeti feki, biashara haramu, au ndugu yangu yeyote ambae nilikuwa mnufaika kupitia mishe zake haramu na aina yeyote ile ambayo haikuendana na falsafa yake, lazima ningemchukia, na kumuona muovu.
Indonesia
0
0
1
17
sultan
sultan@chapanombombwi·
Magufuli? Wazee, kulinganisha hizo mnaziita miundombinu sijui maendeleo na uchafu mwingine mwingi, na HAKI YA KUISHI ni aina nyingine ya upumbavu. Magufuli alianzisha utekaji na mauaji, unyang’anyi na uporaji, kujilimbikiza fedha, ushindi wa mezani wa sisiyemu….Read more
sultan tweet media
Indonesia
12
6
28
2.2K
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@14Nainggolan @Aruatani Huwezi ukawa umeshiba, Una akil timamu imetulia+ busara alafu ukawa unatumana watu mtandaoni kisa umetofautiana nao kimtazamo. U're mentally unfit, pata chakula cha kutosha, pumzisha akil, pata ushauri wa kisaikolojia, ongeza sped ya kutafuta pesa. Ukiyafankisha haya hutotukana.
Filipino
1
0
0
20