Sabitlenmiş Tweet
Learner✝️🛐
28.8K posts

Learner✝️🛐
@ProLearner77
A Real Human. Being // Reposts≠endorsements
Syokimou Katılım Nisan 2015
2.6K Takip Edilen2.4K Takipçiler

@Tumaini7 @DynamicsNation_ Nina hakika hata huo UJAMAA vs UBEPARI hujui ni kitu gani.
Labda nikwambie kitu. Kwenye biashara za kimataifa ni mpumbavu tu huwa anatia HURUMA.
Kuna kitu kinaitwa RECIPROCITY.
Nchi A ikizuia mzigo wako kwemda kwake, na wewe ZUIA wa kwake kuja kwako. Easy.
Indonesia

@ProLearner77 @DynamicsNation_ Moja ya mind set ya mjamaa ni kuhisi kila mara anaonewa hasa kwenye mambo ya international. Hii ndo ilikuwa JPM mindset.
Maji ya Uhai yalikataliwa 🇰🇪 pia, Bakhresa alisikiliza na kufanyia marekebisho.
Indonesia

@Thommunkondya @TweveDevota Taratibu zetu wala siyo mbaya sana kama TUKIAMUA kuziheshimu.
Hata chaguzi.
Wagombea wana mawakala wa kuhesabu kura za watu wao, kila kituo. Then, mgombea ana-compile.
Shida inakuja UENGUAJI, MAUAJI, mtu kashinda hawataki kumtangaza au mawakala wa vyama vingine hawapewi viapo.
Indonesia

@TweveDevota Suala la mahakama mfano abadilishe ndani ya siku 100
Indonesia

@quickerprog @DynamicsNation_ Yanaruhusiwa China, yakiwa na China version.
China ina mfumo wake wa mtandao.
Hata TikTok ni kampuni ya Mchina lakini kwa China ina version tofauti inaitwa Douyin.
Apple, Tesla zipo China.
Filipino

@ProLearner77 @DynamicsNation_ Wewe umeona google ,you tube Whatsapp vinaruhusiwa china?
Filipino

@Tumaini7 @DynamicsNation_ Hicho ni kisingizio tu. Kwenye biadhara za kimataifa wanaita TRADE BARRIERS.
TZ inauza mahindi, Kenya. Kenya anaweza kusema mahindi yako yana AFLATOXINS ili usiuze tu.

Indonesia

@ProLearner77 @DynamicsNation_ Hayaruhusiwi kwa sababu ya security na ukaribu na CCP.
Yaani kampuni lina affiliate/milikiwa na ccm, Utaweza liamini? Kampuni la kijamaa?
Indonesia
Learner✝️🛐 retweetledi

@Thommunkondya Samia hatakiwi kusema. Anatakiwa KUZUIA UTEKAJI na MAUAJI ya watu.
Indonesia

@ProLearner77 Aaah kwamba akimkea Nchimbi sio Samia.? Ilitakiwa na Samia aseme.?😀 kwamba akifanya jambo zuri waziri mkuu unalitengenisha na Rais.?
Indonesia

Wanasheria tutani msaada please!
Kuhusu BRELA na TRA!
Assume mtu anataka kuanzisha kampuni ya KAZAMWENDO Group ambayo itakuwa inafanya biashara chini ya brand hizi👇
1. Kazamwendo Logistics
2. Kazamwendo Natural products
3. Kazamwendo Hardware
4. Kazamwendo tailoring
Swali 1: BRELA: Je, wakati wa kusajili BRELA asajili tu kampuni kama Kazamwendo afu zingine ziwe brand names za matawi ya biashara au inabidi asajili kila kampuni peke yake kulingana na biashara husika?
Swali 2: TRA; Je, achukue TIN number moja na kulipa kodi chini ya kampuni mama kwa pamoja au inabidi kila biashara achukulie TIN namba yake na kulipa kodi separately?
PS: Retweet ili iwafikie Wanasheria kwa msaada. Asante!
Asante kwa ushauri wako in advance!
Filipino

@TomiRikhotso A SLAVE is ALWAYS a SLAVE. Look at BLACK Americans.
Look at the histry of LIBERIA.
Look at French colonies.
Most French post colonial citizens's dream of moving to their masters, France todate
English

@Thommunkondya Nchimbi alimkemea UVCCM wa Kagera.
Nchimbi kasema wazi kuhusu siasa za ovyo.
Kumlaumu kwa hayo mawili ninm kumkosea.
Samia anaunga mkono yote hayo, hata Mshauri wake wa Siasa, Haj Omar Kheir ni bingwa wa siasa hizo.
Samia anasimamia bendera ya chama Si ILANI yake binafsi
Indonesia

@ProLearner77 Ajitenge na chama.? Au aoneshe kwa maneno.? Maana ni muda mfupi mfano Samia anao
Indonesia

Dini zina LOOPHOLE ya TAFSIRI.
Kila mtu ana TAFSIRI yake. Inapokuwa MBAYA hugeuza MAAFA kwa wengine.
Dr.Julius AlmaS@DrKessyJulius1
Naamini Shida sio hizi dini bali ni Namna tumezipokea, tumezipokea in a point of weakness ndio maana tunadhani ni za maana kuliko utu Wetu
Indonesia
Learner✝️🛐 retweetledi

@Thommunkondya Inatakiwa kuwa hivyo. Unnecesaary TEUZI zinavuruga na kujenga migogoro.
Hivi kweli FRESH GRADUATE, UVCCM ana uwezo wa kuwa kiongozi wa Halmashauri ya watu, wenye uzoefu wa miaka 25?
Indonesia

@ProLearner77 Labda hapa naweza kukuelewa. Kwamba hoja yako iwe ni nafasi ya watu wa hapo hapo au kwingine ila ndani ya halmashauri au utumishi.
हिन्दी

Mimi binafsi natamani kuona serikali yangu ya CCM ikifanya revamp ya kina kimuundo na kiutendaji katika serikali za mitaa (mikoa, halmashauri za wilaya, miji na majiji).
Lengo la kuanzishwa kwa serikali za mitaa lilikuwa zuri sana: kupeleka madaraka kwa wananchi na kuchochea maendeleo katika ngazi ya chini ambako wananchi wengi wapo. Hata hivyo, hali ya sasa inaonyesha kuwa malengo haya hayajatimia ipasavyo.
Serikali za mitaa zimeanza kujielekeza zaidi kama vyombo vya ukusanyaji mapato, kana kwamba ni kama TRA ndogo ndogo, badala ya kuwa chombo cha maendeleo ya wananchi. Zinashindana kukusanya mapato, lakini mchango wake kwa serikali kuu bado ni mdogo sana takribani trilioni 1 tu, sawa na karibu 2% ya bajeti kuu.
Hii inaibua maswali muhimu: je, tatizo liko kwenye muundo, usimamizi, au utendaji?
Na kama mchango wa mapato ni mdogo na huduma kwa wananchi haziridhishi, je, mfumo huu unatoa tija inayotarajiwa?
Wananchi wengi bado wanalalamika kuhusu huduma duni na maendeleo yasiyoridhisha. Ni wazi kwamba kuna haja ya kufanya maboresho makubwa na ya haraka ili kurejesha dhamira halisi ya serikali za mitaa kuwa chachu ya maendeleo ya wananchi, si kikwazo.
Au unasemaje Proj @kitilam tunawezaje kuwa na serikali za mitaa haziwezi hata kujenga vyoo vya shule hii si aibu hii.? Tunapewa msaada wa vyoo na mashirika ya nje na mataifa ya kigeni badala ya kutupa teknolojia.?🤦🏿♂️🤦🏿♂️ kinondoni ina mapato na matumizi ya bilion 178 lakini nao wanashule hazina madirisha😀😀 ileje wenye bilion 2 itakuwaje.?
Learner✝️🛐@ProLearner77
@Thommunkondya Elimu halisi wapewe. Mimi huwa nawaambia. Sibebi lawama ya Mwanasiasa mimi. Diwani atunge sheria mbovu ya kodi au mapato, halafu ajifanye hahusiki. Noo. Jamii zetu zina uwezo wa kula, kulala, na kuvaa. Umasikini hohehae wetu ninwa kujitajia tu.
Indonesia

@Thommunkondya DED siyo cheo cha POLITICAL APPOINTEE.
Inapaswa kuheshimika kama PROMOTION.
Most INSTITUTIONS need to GROW from WITHIN.
English

@Thommunkondya Kuna Afisa Utumishi mfuasi wa CCM na kuna Mohamed Kawaida, au Mfuasi wa UVCCM au CCM ambaye ni Mhitimu tu chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere au Kiongozi wa UVCCM kuwa DED.
Different scenarios.
Indonesia

@ProLearner77 Ukisema hivi tafsir yake ni kama vile hakuna macomrade madaktar,walimu nk yani ni kama vile hakuna macomrade wasomi jambo ambalo sio kweli issue sio ucomrade issue ni usimamizi labda wa hawa macomrade au kuchukua macomrade wenye sifa
Indonesia

@Thommunkondya DED haitakiwi kuwa political appointee.
Kama hakuna shida ipo, siku comrades wataanza kupewa UKUU WA SHULE, AFISA ELIMU, WAGANGA WAFAWIDHI, etc.
Hiyo nafasi inahitaji ELIMU na UZOEFU wa eneo husika.
Indonesia

@ProLearner77 Binafsi sioni shida ya macomrade kupewa hizo nafasi kwasababu wapo wenye uwezo na uzoefu mkubwa hata kama hawapo kwenye utumishi wa umma labda tatizo liwe ni usimamizi na mfumo thabiti wa checks and balances
Indonesia

@wistrondoesit @Ponge_Bromine Nahisi utamaduni. Watu wenye hawana utamaduni wa kula migahawani
Indonesia

@Thommunkondya Halmashauri ni kama kampuni ya umma iliyosajiliwa DSE.
Wamiliki = Wananchi eneo husika wanaolipa TOZO/USHURU
DED =CEO/MD aliyeaajiriwa kuendesha kampuni
Bodi ya Wakurugenzi = Madiwani kwa niaba ya Wananchi
Bodi na CEO Wakiwa kitu kimoja, lazima UFELI
Indonesia

@ProLearner77 Lakini kuna shida gani kama DED anakuwa comrade ila mwenye merits
Indonesia








