Learner✝️🛐

31.3K posts

Learner✝️🛐 banner
Learner✝️🛐

Learner✝️🛐

@ProLearner77

A Real Human. Being // Reposts≠endorsements

Syokimou Katılım Nisan 2015
2.7K Takip Edilen2.5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@Mwitah_tz Ukiwa na madaraka na pesa unaweza kujitahidi sana kwa kila HALI, kuchonga stori unavyotaka, kuua watu, kutupa jela na kusingizia kila unachoweza. Ila UKWELI ni UKWELI na haujawahi KUJIFICHA MILELE yote.
Indonesia
0
1
9
2.2K
Richard Mabala
Richard Mabala@MabalaMakengeza·
Dah jam ya Kilwa Rd jehanam. Masaa mawili na bado hatujafika hata uhasibu
Indonesia
4
0
18
940
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@MarekaMalili Kilichoua Ginneries na viwanda vya nguo ni serikali kuwekeza nguvu kwenye udalali (stakabadhi ghalani). Watu wamekata tamaa ya kulima pamba na viwanda havina malighafi.
Indonesia
1
1
3
264
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽
S.A.N.T.I.A.G.O 🗽@mananajr_·
Kenya mafuta yanauzwa 194 kama sijakosea kwa lita, hapa kwetu ni 4k+ Sasa hapa shida sio mafuta, nataka kujua ilikuwaje au tulikosea wapi wakenya wakawa na hela ya thamani kiasi hicho sisi yetu ikawa chini hivyo? Yani 100 kwa 4k kweli?
Indonesia
3
7
43
2.4K
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Lini tutaletewa REFERENDUM kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar?
Indonesia
3
2
33
4.8K
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@IAMGeorgesw @jwise017 Kwahiyo maoni ya wataalam hayafai tena, tufuate mizuka tu, maoni ya vijiweni, mitandaoni, ya kila tom, dick and harry. Utaalamu hauna maana tena
Indonesia
1
0
0
10
Agnostic
Agnostic@RKishaija81715·
@ProLearner77 @jwise017 Hawana madaraka ,walionayo Political will hawana. Hivyo haiwezekani bila wenye akili na uzalebdo kuwa madarakani
Indonesia
1
0
0
18
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@Excess300 Does English mean inyelligence to you? Or what do you mean by intellectually?
English
1
0
0
39
𝙓𝙨
𝙓𝙨@Excess300·
Intellectually Kenyans are at an advantage compared to Tanzanians. They are more expressive, curious and to a better degree more open minded to changes than Tanzanians.
English
4
7
21
370
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@Mwitah_tz Mfumo wa KITAPELI, unaopalilia UTAPELI na kurudisha nyuma wakulima. Wakulima wataendelea kung'oa KAHAWA na kupanda MIGOMBA. Ni mkulima mpumbavu tu atalima PAMBA... DEAF EARS CONMEN
Indonesia
0
0
1
78
Mwita C. Mwita
Mwita C. Mwita@Mwitah_tz·
Leo Dodoma kulikua na maadhimisho ya miaka 20 ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala kwa Kingereza wanaitwa Warehouse Receipts Regulatory Board (WRRB) ambao hawa ni moja ya bodi ambazo kama zikitazamwa vema sana ndo engine ya kuwa na a fully bankable agriculture hata kwa wakulima wadogo kabisa. Niskiize vema. Mosi, hawa wanaratibu mfumo unaitwa “stakabadhi gharani” ambao simply ni kwamba; Mkulima analima, anachukua mazao yake, anayapeleka katika maghala yaliyosajiliwa na WRRB anaweka mzigo wake na kisha anapewa “Stakabadhi/Receipt) ambayo inaonesha thamani ya mzigo ule ambao umekua stored sasa basi; Hii “receipt” inakua na monetary value na inakua na uwezo wa kutumika kama dhamana ya mikopo ya kibenki na benki nyingi sana huko mikoani zinatoa sana hii mikopo kwa wakulima ambao wao wanabaki na risiki kama dhamana ya mzigo ambao upo gharani wakisubiri aidha mkulima auze bei inapo spike au wa confiscate ule mzigo maana hapo katikati kuna actors kadhaa ikiwemo mkulima mwenyewe, underwriter, bima etc. Sasa katika maadhimisho leo ya miaka 20 ambayo yalikua graced na Dkt. Mwigulu Nchemba WM-JMT kuna kitu kilifanyika ambacho ilikua ni uzinduzi wa Mkakati wa miaka mitano ya WRRB na hapa kuna issues kadhaa ambazo ndo msingi wa post yangu leo; 1. Changamoto kuu ya huu mfumo ni kwamba kama Nchi maghara ambayo yako registered na WRRB na hivyo kufanya mkulima yoyote mahala popote awe na access na hii huduma na sasa imetoka directive ya LGAs ku allocate 20% ya mapato yao ya ndani kuwa na walau registered warehouses kwa kila kata. 2. Kua na mfumo mmoja wa WRRB (Inter-grated Gateway) ya TEHAMA ambao unasomana na Commercial Banks na Mifumo ya Bima na kwamba Mkulima anapoweka mzigo wake na kuoata receipt tokens awe na uwezo wa ku access mikopo at the instant and integrated mean. 3. Hiyo Portal iwe intergrated na huduma zingine za kisekta ambazo zina capture maeneo muhimu ya kiuchumi na malengo ya wengi kulima. Kwa mfano (mtu analima ili akivuna akauza anunue tractor au ajenge basi kuwe na direct pool inayomlink mkulima na hiyo huduma kwa kutumia tu receipt tokens zake) 4. Portal iwe linked na credit rating means na kwamba mkulima anaeza kopa kitu based on his/her credit score au report ambayo ipo inter-connected na mifumo yote ya kifedha. Inshort maelekeo ya PM na uelekeo wa WRRB imekua ni kufanya WRRB iwe ni digitalized and fully simplified to capture our agricultural demographics! Tunaenda kwenye uelekeo sahihi sana.
Filipino
5
7
21
1.8K
tutla Cholo
tutla Cholo@tutla7·
Rio kaja kufanya nini ?
Indonesia
14
5
43
4.9K
Thomas J. Kibwana
Thomas J. Kibwana@thomasjkibwana·
MwanaFA sikuhizi hasikiki kabisa
Indonesia
8
0
13
3.1K
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Rwanda ni mfano bora sana wa jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu.
Indonesia
2
2
7
226
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@Addy_Adams Unaniambia mimi utafikiri ndio nafanya hio kazi, wakati kuna watu wanafanya hiyo kazi kwa 500 tu ya pombe za kupima.
Indonesia
0
0
0
54
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Ni Tuesday lakini ukiangalia watu walivyo wengi hasa vijana katika Mapokezi ya RIO pale JKN Airport… Utajua kabisa jinsi tatizo la Ajira lilivyo kubwa
Filipino
10
10
102
9.5K
STUNNA
STUNNA@CavityDamas23·
Morogoro kumbe hakuna uwanja wa ndege😳 Lakini songwe wana uwanja au kwa sababu songwe kuna makaa ya mawe
STUNNA tweet media
Indonesia
23
20
217
10.3K
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@TheChanzo Sawa, wajitenge na umma ili wawe kama CCM. Siku tukivamiwa, wajue wao kama wamiliki ndio watahusika
Indonesia
0
0
1
350
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Matukio Oktoba 29: Kingu alipongeza Jeshi - 'Mlikataa chokochoko za mapandikizi'
Polski
32
11
50
13.7K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kila kitu kwenye hii dunia kipo planned hakitokei kwa bahati baya hasa kwenye mamulaka mabeyo kipindi hicho yupo pembeni mwa mkuu wa majeshi
Vunga tweet media
Filipino
16
24
194
27.8K