
Edwin F.M
9.3K posts

Edwin F.M
@EdwinMjeru
MSCA Research Fellow | EM Alumni 🇹🇿🇫🇷| Author| Business & Data Storytelling Coach| Learning & sharing lessons on Mind-Philosophy-Success & Failures.
Tanzania Katılım Eylül 2020
2.4K Takip Edilen5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet

Habari ndugu Mwanamafanikio,
Naitwa Edwin Francis Memirieki (EFM).Naandika kuhusu vitu ninavyojifunza na kufanya kila siku:
• Business storytelling
• Subconscious mind
• Habits & systems for success
• Wealth building strategies
• Scholarship opportunities
• Communication skills
• Life philosophy
• Research & business tips
Kama unapenda kujifunza, kufikiri tofauti na kukua kila siku, karibu!
Follow @EdwinMjeru tuendelee kujinoa na kuwa bora katika maisha yetu.
Unlock and live your dream!

Hauwezi kubadilisha maisha yako ndani ya siku moja, LAKINI:
Unaweza kubadilisha mtazamo wako juu ya maisha yako ndani ya siku moja.
Na huu ndiyo UKUTA mgumu kwa wengi wetu katika safari ya KUTOBOA.
Jipe challenge weekend hii, grab nakala ya E-book ya NITATOBOA kisha kisome na kuchukua hatua.
Tuma neno NITATOBOA kwa SMS au Whatsapp kwenda namba 0764 191504 ili kupewa utaratibu.
Uwe na usiku mwema!

Indonesia
Edwin F.M retweetledi

@EdwinMjeru Mara nyingi unachokichukia ndio tobo lako lilipo.
Filipino
Edwin F.M retweetledi

Edwin F.M retweetledi

Utajiri wa kumeza punje .za mahindi
Edwin F.M@EdwinMjeru
Kwa mujibu wa tafiti, GEN Z wako “Concerned sana kuhusu pesa na kutoboa haraka”, LAKINI; Ndiyo kizazi pia ambacho, “Wana Ustahimilivu mdogo kuhusu pesa na maisha kwa ujumla”. Millennials Ustahimilivu wao unakaribiana na ancestors wao Baby boomers 🙌 Source: SunLife Hong Kong
Indonesia
Edwin F.M retweetledi

@JMagobe06 @EdwinMjeru Simply plant plants on your yard in undeveloped countries and get paid for carbon control by developed countries!! Hapo kati mchakato ndo unalalamikiwa na wadau
English
Edwin F.M retweetledi
Edwin F.M retweetledi

Edwin F.M retweetledi

Nishaona jamaa kadhaa wana maunyama sema hawaelewi hata kama wanaweza kufanya greatness.
Mwisho wa siku wanaishia kuwa jamaa flani wenye talents ila hawana ABC...
Woiii....
2026 is definitely the year of doing GREATNESS.
Edwin F.M@EdwinMjeru
Usipokijua NGUVU ya kile ulichonacho. Hautaweza kutumia kwa FAIDA.
Indonesia
Edwin F.M retweetledi

Bongo mchongo wa kufanyika online bado ngumu mushkeli kila sehemu
Ukianzia swala umeme kuwepo wa uhakika ndo balaa linapozuka
Edwin F.M@EdwinMjeru
Imeshindikana kabisa Bongo kuwa na online rental platform badala ya madalali?
Indonesia

“Social comparison” ni changamoto yetu kubwa hasa vijana katika zama hizi za mitandao.
>Inatengeneza presha ya ndani ya kutaka vitokee papo kwa papo bila kuipa muda na mchakato nafasi.
>Inatia wengi presha ya kufanya vitu kwa kujaribu ‘ku-fit in’ na siyo kufanya kwa sababu za msingi.
>Inadunisha uwezo kwa baadhi ya watu kwa kujihisi tu wao siyo bora au hawana uwezo kama akina fulani.
>Ni chanzo mojawapo cha matatizo ya afya akili, kwani husababisha msongi wa mawazo kwa kujihisi umechelewa, una gundu, au hauwezi ku-make.
Na madhara mengine kede kede.
Muhimu: Acha kujilinganisha na watu wengine katika namna hasi. Hata ufanikiwe kiasi gani, hata upate pesa au mali kiasi gani siku zote kuna mtu atakuwa juu yako, na kukuzidi.
Kwa hiyo, tembea kwa spidi yako, na kwenye mwelekeo na barabara yako.
Kikubwa una MALENGO na ‘You are making a progress’.
Keep going.
EFM.
Indonesia
Edwin F.M retweetledi

@EdwinMjeru Bwana Rober kiyosaki, anakwambia, "if I go bust, the bank goes bust, not my problem " alikubali kufirisika plus Debts zaidi ya $1 bill.
Indonesia

