Edwin F.M

8K posts

Edwin F.M banner
Edwin F.M

Edwin F.M

@EdwinMjeru

MSCA Research Fellow || EM Alumni 🇹🇿🇫🇷 || Author || Business Storytelling Coach || Learning and sharing life lessons on Mind-Philosophy-Success & Failures.

Tanzania Katılım Eylül 2020
2.2K Takip Edilen4.7K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Habari ndugu Mwanamafanikio, Naitwa Edwin Francis Memirieki (EFM).Naandika kuhusu vitu ninavyojifunza na kufanya kila siku: • Business storytelling • Subconscious mind • Habits & systems for success • Wealth building strategies • Scholarship opportunities • Communication skills • Life philosophy • Research & business tips Kama unapenda kujifunza, kufikiri tofauti na kukua kila siku, karibu! Follow @EdwinMjeru tuendelee kujinoa na kuwa bora katika maisha yetu. Unlock and live your dream!
5
10
53
2.4K
Edwin F.M retweetledi
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@EdwinMjeru Mimi si mtaalam wa fedha. Ila ni vizuri, kuwekeza kwenya kampuni unayojua vizuri inatengenezaje pesa (business model), yenye uzoefu wa muda mrefu na inayokua (experiencial proof) na uongozi unaouamini (sustainable organisational structure). Kuuliza ni kuwa trapped na influencers
Filipino
1
1
1
8
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Broker wako siyo Financial advisor jamani, yeye ni Salesperson kwa jina lingine la Broker tu (In Robert Kiyosaki voice). Broker na yeye anauza product zake kwa hiyo usimwombe ushauri kuwa niwekeze wapi? Atavutia ngozi kwake tu. Bali muulize kwanini niwekeze kwenu na siyo XYZ?
Filipino
1
1
3
72
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
@ProLearner77 Broker anauza product za kampuni XYZ? Iwe kwenye field yeyote uwe Insurance, Real estate, etc. Kuna kampuni wanatumia brokers kuuza product zao. So ukiwa na access na CEO is better but the salesperson should also be asked!
Filipino
1
0
1
5
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@EdwinMjeru Hilo swali la kwanini uwekeze kwao ma siyo XYZ anaukizwa Broker au MD wa makampuni?
Indonesia
1
0
1
5
Edwin F.M retweetledi
Burj Khalifa
Burj Khalifa@Heqima·
@EdwinMjeru Sajili KAZAMWENDO Group of Companies Ltd kama parent company pia sajili hizo zingine Kwa majina hayo uliyotaja kama subsidiary companies. Kwenye kuandaa vitabu utakuwa unaandaa Consolidated Financial Statements itakayojumuisha transactions za subsidiary companies etc.
Indonesia
0
1
1
80
Edwin F.M retweetledi
Sabanya
Sabanya@sabanyaseven·
@EdwinMjeru Nitafute nikusaidie kusajili BRELA, uzoefu wa kutosha pande hizo.
0
1
1
91
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Wanasheria tutani msaada please! Kuhusu BRELA na TRA! Assume mtu anataka kuanzisha kampuni ya KAZAMWENDO Group ambayo itakuwa inafanya biashara chini ya brand hizi👇 1. Kazamwendo Logistics 2. Kazamwendo Natural products 3. Kazamwendo Hardware 4. Kazamwendo tailoring Swali 1: BRELA: Je, wakati wa kusajili BRELA asajili tu kampuni kama Kazamwendo afu zingine ziwe brand names za matawi ya biashara au inabidi asajili kila kampuni peke yake kulingana na biashara husika? Swali 2: TRA; Je, achukue TIN number moja na kulipa kodi chini ya kampuni mama kwa pamoja au inabidi kila biashara achukulie TIN namba yake na kulipa kodi separately? PS: Retweet ili iwafikie Wanasheria kwa msaada. Asante! Asante kwa ushauri wako in advance!
Filipino
15
25
111
14.6K
Edwin F.M retweetledi
Examiner
Examiner@Examiner1234·
@EdwinMjeru Kampuni ni moja, hizo nyingine ni Activities, unaziadd. TIN ni moja, hizo nyingine ni Activities unaziadd. Kama umewahi kupata Tax Clearance, isome utaona inaorodhesha Activities zote zilizopo chini ya specific Tin.
Filipino
1
1
2
213
Edwin F.M retweetledi
Edwin F.M retweetledi
Abdul Ally
Abdul Ally@AbdulAlly253493·
@EdwinMjeru 3️⃣ 1️⃣ 2️⃣ Kama kila hatua unaiweka mbele ya macho, inasaidia kuepuka kuingiliwa na mambo yasiyo ya muhimu na kuzingatia kile kinachoongeza value kweli.
Indonesia
0
1
2
38
Edwin F.M retweetledi
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@Dagwaaa @EdwinMjeru Vijana huwa wana-prioritise sana TITLES kuliko TANGIBLE RESULTS na REVENUE. Wengi huishia kuwa na vikampuni vya mfukoni tu, na kuanza UTAPELI.
Learner✝️🛐 tweet mediaLearner✝️🛐 tweet media
Filipino
3
1
1
48
Edwin F.M retweetledi
Edwin F.M retweetledi
Drack
Drack@drack_XAT·
@EdwinMjeru kwa Brela sijui ila TRA kila kampuni inalipa kodi kivyake huruhusiwi kuchanganya
Indonesia
2
1
1
1.1K
Learner✝️🛐
Learner✝️🛐@ProLearner77·
@EdwinMjeru @AbdulAlly253493 Nashauri, kama una BRAND sajili kama TRADE NAME na Jina la BIASHARA kama una-customize bidhaa zako. Ila kama una fanya RETAIL anza na jina la biashara. Achana na KAMPUNI. Jina la BIASHARA, linafanyiwa MAKADIRIO TRA. Kampuni zinalipa kodi juu ya FAIDA, so lazima uwe na MHASIBU
Indonesia
1
1
2
30