
Edwin F.M
8K posts

Edwin F.M
@EdwinMjeru
MSCA Research Fellow || EM Alumni 🇹🇿🇫🇷 || Author || Business Storytelling Coach || Learning and sharing life lessons on Mind-Philosophy-Success & Failures.










Wanasheria tutani msaada please! Kuhusu BRELA na TRA! Assume mtu anataka kuanzisha kampuni ya KAZAMWENDO Group ambayo itakuwa inafanya biashara chini ya brand hizi👇 1. Kazamwendo Logistics 2. Kazamwendo Natural products 3. Kazamwendo Hardware 4. Kazamwendo tailoring Swali 1: BRELA: Je, wakati wa kusajili BRELA asajili tu kampuni kama Kazamwendo afu zingine ziwe brand names za matawi ya biashara au inabidi asajili kila kampuni peke yake kulingana na biashara husika? Swali 2: TRA; Je, achukue TIN number moja na kulipa kodi chini ya kampuni mama kwa pamoja au inabidi kila biashara achukulie TIN namba yake na kulipa kodi separately? PS: Retweet ili iwafikie Wanasheria kwa msaada. Asante! Asante kwa ushauri wako in advance!





Wanasheria tutani msaada please! Kuhusu BRELA na TRA! Assume mtu anataka kuanzisha kampuni ya KAZAMWENDO Group ambayo itakuwa inafanya biashara chini ya brand hizi👇 1. Kazamwendo Logistics 2. Kazamwendo Natural products 3. Kazamwendo Hardware 4. Kazamwendo tailoring Swali 1: BRELA: Je, wakati wa kusajili BRELA asajili tu kampuni kama Kazamwendo afu zingine ziwe brand names za matawi ya biashara au inabidi asajili kila kampuni peke yake kulingana na biashara husika? Swali 2: TRA; Je, achukue TIN number moja na kulipa kodi chini ya kampuni mama kwa pamoja au inabidi kila biashara achukulie TIN namba yake na kulipa kodi separately? PS: Retweet ili iwafikie Wanasheria kwa msaada. Asante! Asante kwa ushauri wako in advance!


Wanasheria tutani msaada please! Kuhusu BRELA na TRA! Assume mtu anataka kuanzisha kampuni ya KAZAMWENDO Group ambayo itakuwa inafanya biashara chini ya brand hizi👇 1. Kazamwendo Logistics 2. Kazamwendo Natural products 3. Kazamwendo Hardware 4. Kazamwendo tailoring Swali 1: BRELA: Je, wakati wa kusajili BRELA asajili tu kampuni kama Kazamwendo afu zingine ziwe brand names za matawi ya biashara au inabidi asajili kila kampuni peke yake kulingana na biashara husika? Swali 2: TRA; Je, achukue TIN number moja na kulipa kodi chini ya kampuni mama kwa pamoja au inabidi kila biashara achukulie TIN namba yake na kulipa kodi separately? PS: Retweet ili iwafikie Wanasheria kwa msaada. Asante! Asante kwa ushauri wako in advance!

