Sam Henrq

26.8K posts

Sam Henrq

Sam Henrq

@HenrqSam

simple and visionary man

Tanzania Beigetreten Nisan 2015
2.2K Folgt2.5K Follower
simo_northern47
simo_northern47@SLello47·
Pole sana ankoo ila mloganzila / muhimbili kama huna refa pale inakuaga ngumu sana kutoboa at least mngemsogeza Aghakan muingie gharama tuu.
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid

#TajiriLaKihaya KUNA MASWALI MAKUBWA YANAYOPASWA KUJIBIWA MUHIMBILI NA JKCI. Leo familia yetu imepoteza mdogo wetu. Moyo wangu umejaa huzuni, uchungu na maswali mengi ambayo hadi sasa hayajajibiwa. Siku ya kwanza nilipofanikiwa kumpeleka mdogo wangu JKCI na kupata chumba cha VIP, nilifurahi sana. Niliona kama tumepata mwanga wa matumaini. Baada ya vipimo, tuliambiwa tatizo lake la moyo lilihitaji upasuaji mdogo tu na angeweza kuendelea na maisha yake kawaida. Tukaahidiwa upasuaji ungefanyika ndani ya siku mbili au tatu. Lakini siku zikageuka wiki. Kabla hata ya kulazwa, tulikuwa tumepambana kwa zaidi ya mwezi mzima tukizungushwa kutoka leo hadi kesho. Mara daktari hayupo, mara jopo la wataalamu halijakaa, mara kipimo kirudiwe, mara tusubiri dawa zifanye kazi kwanza. Kila siku ilikuwa ni ahadi mpya na tarehe mpya. Baada ya kulazwa tuliamini safari ngumu imekwisha. Lakini ndipo mateso makubwa zaidi yalipoanza. Mdogo wangu aliingia hospitalini akiwa bado anaweza kutembea, kuongea, kula na kujitambua. Kila siku tulisubiri upasuaji ulioahidiwa, lakini haukufanyika. Badala yake hali yake ilianza kuzorota mbele ya macho yetu. Wiki moja ikapita. Wiki mbili zikapita hadi wiki tatu Hakukuwa na upasuaji. Kulikuwa na sababu mpya kila siku. Kisha tukahamishwa kutoka chumba tulichokuwa tumepewa kwa madai kuwa kingefanyiwa fumigation. Lakini usiku huo huo mgonjwa mwingine akawekwa kwenye chumba hicho. Hadi leo hatujui ukweli ulikuwa nini- lazima UFISADI ULITUMIKA HAPA! Tulihamishiwa chumba kingine JAPO kilikua VIP… ila hakikua kwenye standard sawa! Hata nakumbuka kuna Daktari wa Kihindi alikuja kusoma vipimo akasema ile MONITOR haipo sawa! Mapigo ya moyo na oxygen haisomeki kwa usahihi… Sasa kwa nn tulihamishwa chumba? Kutoka chumba kizuri kuja hiki?? Kwa nn kile tulichokuwepo alipewa mwingine usiku huo tumehamishwa? CORRUPTION! Baada ya hapo hali ya mdogo wangu ilizidi kuwa mbaya zaidi. Akapoteza nguvu, akashindwa kuzungumza, akashindwa hata kuwatambua watu waliomzunguka. Tulikuwa tunauliza maswali. Tulikuwa tunaomba msaada. Tulikuwa tunaomba hatua zichukuliwe haraka. Lakini muda uliendelea kwenda. Leo asubuhi mdogo wangu amefariki dunia. Siandiki haya kwa hasira pekee. Naandika kwa maumivu ya familia iliyokuwa na matumaini makubwa ya kumuona mpendwa wao akirudi nyumbani akiwa mzima. Kama kweli kulikuwa na uzembe, kucheleweshwa kwa huduma, ukosefu wa uwajibikaji au mifumo mibovu ya utoaji huduma, basi kuna haja ya uchunguzi wa kina na hatua kuchukuliwa. Maisha ya Watanzania yana thamani. Wagonjwa hawapaswi kupoteza maisha wakisubiri tarehe nyingine, kikao kingine au ahadi nyingine. Tunataka majibu. Tunataka uwajibikaji. Na zaidi ya yote, tunataka familia nyingine isipitie maumivu tuliyoyapitia sisi. Kama hapa ni VIP… je wagonjwa wa kawaida wanapata huduma gani??? Pumzika kwa amani mdogo wangu. Tulipambana kwa kila tulichoweza. Mungu akupokee katika makao ya milele. 💔🕊️

Indonesia
6
6
33
3.7K
Sam Henrq
Sam Henrq@HenrqSam·
@EsirEid Inasikitisha sana.., poleni sana familia
Indonesia
1
1
1
218
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya KUNA MASWALI MAKUBWA YANAYOPASWA KUJIBIWA MUHIMBILI NA JKCI. Leo familia yetu imepoteza mdogo wetu. Moyo wangu umejaa huzuni, uchungu na maswali mengi ambayo hadi sasa hayajajibiwa. Siku ya kwanza nilipofanikiwa kumpeleka mdogo wangu JKCI na kupata chumba cha VIP, nilifurahi sana. Niliona kama tumepata mwanga wa matumaini. Baada ya vipimo, tuliambiwa tatizo lake la moyo lilihitaji upasuaji mdogo tu na angeweza kuendelea na maisha yake kawaida. Tukaahidiwa upasuaji ungefanyika ndani ya siku mbili au tatu. Lakini siku zikageuka wiki. Kabla hata ya kulazwa, tulikuwa tumepambana kwa zaidi ya mwezi mzima tukizungushwa kutoka leo hadi kesho. Mara daktari hayupo, mara jopo la wataalamu halijakaa, mara kipimo kirudiwe, mara tusubiri dawa zifanye kazi kwanza. Kila siku ilikuwa ni ahadi mpya na tarehe mpya. Baada ya kulazwa tuliamini safari ngumu imekwisha. Lakini ndipo mateso makubwa zaidi yalipoanza. Mdogo wangu aliingia hospitalini akiwa bado anaweza kutembea, kuongea, kula na kujitambua. Kila siku tulisubiri upasuaji ulioahidiwa, lakini haukufanyika. Badala yake hali yake ilianza kuzorota mbele ya macho yetu. Wiki moja ikapita. Wiki mbili zikapita hadi wiki tatu Hakukuwa na upasuaji. Kulikuwa na sababu mpya kila siku. Kisha tukahamishwa kutoka chumba tulichokuwa tumepewa kwa madai kuwa kingefanyiwa fumigation. Lakini usiku huo huo mgonjwa mwingine akawekwa kwenye chumba hicho. Hadi leo hatujui ukweli ulikuwa nini- lazima UFISADI ULITUMIKA HAPA! Tulihamishiwa chumba kingine JAPO kilikua VIP… ila hakikua kwenye standard sawa! Hata nakumbuka kuna Daktari wa Kihindi alikuja kusoma vipimo akasema ile MONITOR haipo sawa! Mapigo ya moyo na oxygen haisomeki kwa usahihi… Sasa kwa nn tulihamishwa chumba? Kutoka chumba kizuri kuja hiki?? Kwa nn kile tulichokuwepo alipewa mwingine usiku huo tumehamishwa? CORRUPTION! Baada ya hapo hali ya mdogo wangu ilizidi kuwa mbaya zaidi. Akapoteza nguvu, akashindwa kuzungumza, akashindwa hata kuwatambua watu waliomzunguka. Tulikuwa tunauliza maswali. Tulikuwa tunaomba msaada. Tulikuwa tunaomba hatua zichukuliwe haraka. Lakini muda uliendelea kwenda. Leo asubuhi mdogo wangu amefariki dunia. Siandiki haya kwa hasira pekee. Naandika kwa maumivu ya familia iliyokuwa na matumaini makubwa ya kumuona mpendwa wao akirudi nyumbani akiwa mzima. Kama kweli kulikuwa na uzembe, kucheleweshwa kwa huduma, ukosefu wa uwajibikaji au mifumo mibovu ya utoaji huduma, basi kuna haja ya uchunguzi wa kina na hatua kuchukuliwa. Maisha ya Watanzania yana thamani. Wagonjwa hawapaswi kupoteza maisha wakisubiri tarehe nyingine, kikao kingine au ahadi nyingine. Tunataka majibu. Tunataka uwajibikaji. Na zaidi ya yote, tunataka familia nyingine isipitie maumivu tuliyoyapitia sisi. Kama hapa ni VIP… je wagonjwa wa kawaida wanapata huduma gani??? Pumzika kwa amani mdogo wangu. Tulipambana kwa kila tulichoweza. Mungu akupokee katika makao ya milele. 💔🕊️
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid

#TajiriLaKihaya Cc @TaasisiMoyoJKCI @MuhimbiliTaifa The first day I took my brother to the Jakaya Kikwete Cardiac Institute, I was filled with hope. I truly believed he would receive the treatment he needed and recover. Sadly, after spending nearly a month in the VIP ward, the operation we were waiting for was never performed. Every day brought another postponement, another promise, and another new date. We kept hoping, trusting, and waiting. Today, my brother is no longer with us. As a grieving family, we are deeply disappointed by the delays and the lack of urgency we experienced during such a critical time. When a patient’s life is at stake, time matters. Families place their trust in healthcare institutions, hoping their loved ones will receive timely care and a fair chance at life. Nothing can bring my brother back, but I hope our experience serves as a reminder that patients deserve better communication, better coordination, and more timely medical attention. My brother deserved that chance. May his soul rest in eternal peace. 🕊️💔

Indonesia
655
260
816
180.9K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Sema hili jamaa Kisaikolojia lipo strong sana limepambana na umasikini, limepambana na agenda mpaka sasa bado lipo fiti na linapambana Kuna kale ka andunje kalipigwa presha kidogo tu mpaka kakastaafu soka tena mara mbili wakakabembeleza na wakakaahidi kombe na wakakapa ila Mbuzi wetu bado ameendelea kua imara Ronaldo ni Goat 🐐
Presenter Noah tweet media
Filipino
155
86
952
39.6K
Denver
Denver@11AlonsoEra·
Joao Neves ana deserve anachakipata, binafsi huwa naona mtu anaye-disrespect mtu aliyefanya makubwa kwenye lolote lile anastahili kitachokuja. Kama wale waliokua wana-m-disrespect Mbappe, unabaki unashangaa “huyu mtu anatumia akili hizi-hizi akiwa barabarani?” 😂😂😂🚮
Indonesia
7
3
42
3K
Billy
Billy@BillyTronix1·
Sema Mange ni quma sana!
Indonesia
24
9
216
44K
The Greatest Metatron🔥
The Greatest Metatron🔥@Danny_metatron·
Kila team inatafuta namna ya kumpost messi kupitia mchezaji wao alikuepo kwenye kikosi cha Argentina, Barcelona wao wameona hawaitaji kutumia mlango wa nyuma wamempost directly.
Indonesia
3
4
67
2.1K
Masterplan🇹🇿
Masterplan🇹🇿@master_plan9·
Nimepita BBC nimeona Kuna Dada kajifungua Watoto wa 5 Muhimbili hospital, Mme wake Anasema Kuna Muda nina Furaha lakini nina Stress sana maana mzigo wa watoto wa 5 sio mchezo alafu jamaa anapiga mishe za Bajaji.... Kuna Muda mungu Anatupa Mitihani mizito.
Filipino
45
69
800
30K
Sam Henrq
Sam Henrq@HenrqSam·
@EsirEid Kazi na Umri pia mkuu,.. kuna mmoja aliwah kuzaliwa hapo
Polski
0
0
0
218
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Tofauti ya Ronaldo na Messi KWA Sasa… Argentina kila mchezaji anataka kumpa Messi pasi Afunge…. Hakuna anaetaka kuonekana Star kumzidi Messi! Ila Portugal 🇵🇹… Akina Bruno Fernandez’ tayari washajiona warithi… wanataka kumrithi ronaldo akiwa BADO yupo kikosini… Wanamuona Kama competitor KWA Sasa…Kila mchezaji anataka kufunga! CR7 bila penalty au kichwa- Ngumu kufunga leo😅
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 tweet media
Indonesia
99
19
332
23.8K
Gabriel Magalhães
Gabriel Magalhães@Jeba_OG·
Huyu jamaa kupata mafanikio yote hayo pamoja na kuwa FIFA wapo pamoja na Messi sio jambo la masihara
Gabriel Magalhães tweet media
Indonesia
36
15
292
7.2K
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Ana nyota ya kupendwa ila he's nowhere near greatness. Wanaume wanamkubali sababu ya chenga na wanawake wanamkubali sababu ni handsome. Kina Mbappe wanapiga magoli na kuchukua viatu yeye anaugua hospital. Mbappe ni mchezaji mwingine mwenye legacy kubwa kuliko tapeli Neymar
Malcolm 🏆 tweet media
Filipino
49
33
245
12.8K
Sam Henrq
Sam Henrq@HenrqSam·
@Kicheche_jr Na jamaa anajua sana.., ile assist ya kwanza 🙌🙌
Filipino
1
0
2
232
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Argentina huwezi kumchezesha Messi bila Rodrigo de Paul, jamaa anamlinda Messi mbaya.
Indonesia
3
3
112
2.9K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Kylian Mbappé sasa ameweka rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi katika historia ya Kombe la Dunia kuliko Pelé. Mbappé amefikisha mabao 13, huku Pelé akiwa na mabao 12
Polycarp The Bibliophile tweet mediaPolycarp The Bibliophile tweet media
Filipino
4
4
73
1K
Temidayo
Temidayo@thisistemidayo·
Hivi Mbappe aliwafanya nini kwanini kuna Hate kubwa kiasi hiki kwa huyu jamaa ambaye anaanza timu yoyote akienda?
Indonesia
25
12
445
25.8K
Toto la kishua
Toto la kishua@MswatiKing_01·
Huyu Zidane kipa wa Algeria anacheza kwasababu ana uwezo au ndio nyota ya mzee wake Nini hiki anafanya mipira yake anatemea kwenye 6 😂🚮
Filipino
8
4
75
2.9K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Hapa tunasubiri game la saa saba, tumshabikie Captain Odegaard na Norway 🇳🇴 yake… Then tuungane saa kumi asubuhi, ku HATEWATCH ARGENTINA 🇦🇷 na MESSI wao… Algeria lazima watupe furaha Asubuhi… Hakuna kulala💯
Indonesia
17
6
108
2.9K
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Kuna disrespect ya Mbappe ilikuwa inaendeshwa humu na mashabiki wa Barcelona 🚮🚮🚮
Filipino
21
25
282
13.5K
MACARE
MACARE@macare_46·
Kesi ishakuwa ngumu huku 😂😂🙌🏾
MACARE tweet media
Indonesia
45
22
174
16.3K