Polycarp The Bibliophile

47.9K posts

Polycarp The Bibliophile banner
Polycarp The Bibliophile

Polycarp The Bibliophile

@PolycarpMDM

- (Historical, Scriptures &Traditional Analyst) - (Highway Engineering) - (CAD Tech 3D Modeling) - (Machinery, Equipments & Industrial Enthusiast)

Iringa, Tanzania Katılım Mart 2018
1.3K Takip Edilen22.3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Kitufe ambacho nakitumia kutunza Makala zangu, Za Zamani na mpaka za sasa. Press it 👍
Polycarp The Bibliophile tweet media
Filipino
0
2
8
842
Polycarp The Bibliophile retweetledi
Sevilla FC
Sevilla FC@SevillaFC_ENG·
Happy #AfricaDay to all our Sevillistas across the continent! 🇩🇿 🇦🇴 🇧🇯 🇧🇼 🇧🇫 🇧🇮 🇨🇻 🇨🇲 🇨🇫 🇹🇩 🇰🇲 🇨🇩 🇨🇮 🇩🇯 🇪🇬 🇬🇶 🇪🇷 🇸🇿 🇪🇹 🇬🇦 🇬🇲 🇬🇭 🇬🇳 🇬🇼 🇰🇪 🇱🇸 🇱🇷 🇱🇾 🇲🇬 🇲🇼 🇲🇱 🇲🇷 🇲🇺 🇲🇦 🇲🇿 🇳🇦 🇳🇪 🇳🇬 🇷🇼 🇸🇹 🇸🇳 🇸🇨 🇸🇱 🇸🇴 🇿🇦 🇸🇸 🇸🇩 🇹🇿 🇹🇬 🇹🇳 🇺🇬 🇿🇲 🇿🇼
English
763
3K
25.4K
331.9K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
DUNIANI KUNA NCHI 39 AMBAZO HAZINA MTANDAO WA RELI WA RELI UNAOFANYA KAZI. Nchi hizi Arobaini ni zile ambazo ziliwahi kuwa na reli lakini kwa sasa hazitumiki au Ziliharibiwa (Countries without active/Defunct railway network) 1. Antigua AND BARBUDA 🇦🇬 2. Bahamas 🇧🇸 3. Barbados 🇧🇧 - Nchi Hii mwaka 2019 walifungua reli yenye Kilomita Tatu ambayo ilikua kwa ajili ya eneo la utalii tu. 4. Belize 🇧🇿 - Nchi hii iliwahi kuwa na reli binafsi iliyomilikiwa na Mtu na ikaharibiwa. 5. Brunei 🇧🇳 6. Burundi 🇧🇮 - Iliwahi kuwa na Reli ambayo ilikuwa ikitumiwa na Bandari, Kwa sasa haitumiki tena. 7. Cape Verde 🇨🇻 8. Central African Republic 🇨🇫 9. Comoros 🇰🇲 10. Cyprus 🇨🇾 - Nchi Hii iliwahi kuwa na reli ambayo ilimilikiwa na Serikali, ilifunguliwa mwaka 1905 na Kufa mwaka 1951. 11. Dominica 🇩🇴 12. Equatorial Guinea 🇬🇶 13. Gambia 🇬🇲 14. Grenada 🇬🇩 15. Guinea-Bissau 🇬🇼 16. Guyana 🇬🇾 - Hii nchi pia iliwahi kuwa na mtandao wa Reli ambao ulikufa rasmi mwaka 2007. 17. Haiti 🇭🇹- Nchi Hii inareli nyingi ambazo zinatoka Viwandani na mashambani mpaka Bandarini lakini hazitumiki toka mwaka 1970. 18. Iceland 🇮🇸 - Nchi Hii iliwahi kuwa reli za Viwandani tu. 19. Jordan 🇯🇴 - Waliwahi kuwa na reli za Abiria tu. 20. Kiribati 🇰🇮 21. Lebanon 🇱🇧 - Waliwahi kuwa na reli ambayo ilifanya kwazi mwaka 1890 mpaka mwaka 1970, Na kwa sasa wamepanga kujenga reli kwenda mji wa Tripoli 22. Libya 🇱🇾 - Shirika la Reli la Libwa lilianza kujenga reli mwaka 1912 na kufikia mwaka 1965 walikua wamejenga tayari kilomita 399 na ujenzi ulisimama, Mwaka 2008 ujenzi uliendelea, Kisha kusimama tena mwaka 2011 na haujawahi kuendelea mpaka leo. 23. Malta 🇲🇹 24. Federated States of Micronesia 🇫🇲 25. Nicaragua 🇳🇮 26. Palau 🇵🇼 27. Papua New Guinea 🇵🇬 28. Rwanda 🇷🇼 29. Saint Lucia 🇱🇨 30. Samoa 🇼🇸 31. San Marino 🇸🇲 32. São Tomé and Príncipe 🇸🇹 33. Solomon Islands 🇸🇧 34. Somalia 🇸🇴 - Waliwahi kuwa na reli iliyoitwa Mogadishu–Villabruzzi Railway ilianza kufanya kazi mwaka 1914 na kisitishwa kazi mwaka 1941. 35. Suriname 🇸🇷 36. Tonga 🇹🇴 37. Trinidad and Tobago 🇹🇹 - Waliwahi kuwa na reli iliyomilikiwa na serikali kuanzia mwaka 1876 mpaka mwaka 1968, Waliwahi kupanga ujenzi wa reli iliyoitwa Trinidad Rapid Railway na mpango huo ukasitishwa. 38. Vanuatu 🇻🇺 39. Yemen 🇾🇪 - Waliwahi kiwa na reli iliyotola Mlima wa Aden na Al Hudaydah zote zilifungwa mwaka 1929.
Polycarp The Bibliophile tweet media
Filipino
0
3
12
1.8K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
NCHI HIZI 11 HAZIJAWAHI KUWA NA MTANDAO WA RELI KABISA. 1. Andorra 🇦🇩 2. Bahrain 🇧🇭 3. Bhutan 🇧🇹 4. Chad 🇹🇩 5. Timor-Leste 🇹🇱 6. Kuwait 🇰🇼 7. Maldives 🇲🇻 8. Marshall Islands 🇲🇭 9. Saint Vincent and the Grenadines 🇻🇨 10. Seychelles🇸🇨 11. Tuvalu 🇹🇻
Polycarp The Bibliophile tweet media
Filipino
0
0
15
944
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Baada ya uchaguzi wa 2015, CCM waliwasamehe watu wao na kuwarudisha chamani, kina Lowassa, Sumai na wengineo. Je waliwasamehe sababu bila hao watu CCM ingekufa? Hapana. Je waliwasamehe sababu chama bado kilikuwa kinawahitaji sana? Hapana. Je why CCM waliwasamehe watu ambao walihamia Chadema kwa kishindo na walikuwa tayari kuiangamiza CCM na kuipoteza? Waliwasamehe for 1 reason only, Kuipunguzia nguvu Chadema. CCM hata watu wao wafanye madudu gani huwa wanawasamehe ili tu nguvu isitoke CCM na kwenda CHADEMA. Cha msingi hapa ni Chadema kuwa na akili ya kutowapa nafasi sensitive hawa wanaorudi kwenye chama. Hapa ndo the real test ilipo kwa Chadema. 2015 baada ya CCm kuwasahamehe watu wao, waliwatupa back bench huko. Hawakupewa nafasi zozote za uongozi. Same thing should happen hapa kwa Chadema, wawasamehe ila wasipewe nafasi zozote za umuhimu au sensitive.. If you ask me, hata Halima Mdee, kama atatubu na kuomba msamaha vizuri pia ni vyema akasamehewa. Alafu Halima sijawahi akiichamba Chadema au viongozi wa Chadema. Chadema wako kwenye vita kubwa , they need as many fighters as they can get. Cha muhimu waishi na hao wanaorudi kwa akili.
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz

BARUA YA WAZI KWA CHADEMA Chama cha siasa ni ideology; uanachama wa chama cha siasa ni values. Chama cha siasa kinajipambanua kwa vile kinavyoamini kuhusu sera ya umma na namna jamii inavyopaswa kuenenda. Uanachama na ufuasi wa chama cha siasa unatokea pale ambapo values za mtu binafsi zinalandana na ideology ya chama cha siasa. Ideology ya chama cha siasa ni kama sumaku, inavuta values zinazolandana nacho. Katika tafsiri hii, haiwezekani mtu leo akawa CHADEMA kesho akawa CCM halafu keshokutwa akawa CHADEMA. Haiwezekani leo ukawa progressive kesho ukawa conservative halafu keshokutwa ukawa tena progressive. Haiwezekani leo ukawa mjamaa kesho ukawa mbepari halafu keshokutwa ukawa tena mjamaa. Hata ikitokea kwamba mwanachama wa chama cha siasa hakubaliani na mambo fulani ndani ya chama chake kiasi cha kutaka kujiondoa, ni vigumu kwa mwanachama huyu kujiunga na chama cha siasa chenye ideology tofauti kabisa na ile ya chama chake. Ni vigumu kwa sababu values zake zilizomvuta na kujikuta amekuwa mwanachama wa chama chenye ideology A hazilandani na chama chenye ideology B. Ikifika hatua mtu akawa na uwezo wa kuhama vyama vya siasa atakavyo, tena vyama ambavyo ni two extremes sawa na mashariki na magharibi, kuna vitu vikubwa viwili: 1. Huyu mtu sio mwanachama wala mwanasiasa, ni opportunist. Ni ile aina ya wanasiasa ambao Mwalimu Nyerere aliwaita “wanasiasa malaya malaya.” Ni malaya malaya kwa sababu hawana values; hawavutwi na ideology. Kama hauna values maana yake ni kwamba unafit popote, ni mercenary kwa lugha ya Mwalimu. All you care about is money, fame, and material rewards. That’s all. 2. Chama kinachomruhusu yeyote kutoka na kuingia atakavyo sio chama cha siasa, ni version ya chama dola. CCM ni mfano mzuri wa chama dola kwa sababu hakina ideology wala wanachama wake hawana values. Kinachowaleta pamoja ni kitu kimoja tu, MADARAKA; ni MASLAHI BINAFSI. Yeyote anaweza kusajiliwa CCM, muhimu awe tu na uwezo wa kupata madaraka. Pesa na fame ndio values za CCM, yeyote mwenye haya anaweza kusajiliwa. Hii inamaanisha pia chama cha siasa kama CHADEMA kikianza kuwa na tabia hizi za chama dola nacho kinageuka kuwa version ya chama dola. Yani kinakuwa chama dola kisichokuwa na dola. Which means kama kikipata dola nacho kitabehave vile vile kama chama dola. Kwa mantiki hiyo kitafit kabisa ile tafsiri ya “CCM B.” Na ukitaka kuupima ukweli wa hili, sikiliza ile kauli ya “CHADEMA NI CHAMA CHA SIASA, MALENGO YAKE MAKUU NI KUSHIKA DOLA.” Hii ni kauli inayoweza kutolewa na watu wasiokuwa na values ndani ya chama dola. Yes, malengo makuu ya CHADEMA KUSHIKA DOLA kama wasemavyo watu hawa hayatofautiani kivyovyote vile na malengo makuu ya CCM KUENDELEA KUBAKI KWENYE DOLA kwa njia yoyote ile. Wote wana through line moja, DOLA KWANZA UMMA BAADAE. Hii inamaanisha pia watu hawa hawajali matatizo halisi ya umma, isipokuwa wanayatumia instrumentally kufikia malengo yao (I TRULLY HOPE THIS IS NOT THE CASE). Hata hivyo changamoto kubwa hapa ni kwamba CHADEMA ikiamua kuwa na tabia za chama dola, kamwe haiwezi kuwa mbadala wa chama dola kwa sababu kitabia na yenyewe inakuwa chama dola. Ikifikia hatua hiyo, CHADEMA inabadilika na kuwa mtaji mzuri sana wa kuhalalisha matendo ya chama dola na malengo yake ya kuendelea kubaki kwenye dola. Kazi ya chama dola itakuwa kusema tu, “si mnawaona hata wao? Kuna chochote cha tofauti mnachokiona kwao?” Matokeo yake ni kuukatisha umma tamaa kwa kuufanya ufikie hitimisho kuwa “wote ni walewale.” Natamani CHADEMA ingejipambanua kama CHAMA CHA SIASA CHENYE IDEOLOGY NA WANACHAMA WENYE VALUES badala ya version ya chama dola inayorudufisha umalaya wa kisiasa. Ideology inatengeneza integrity, na matokeo ya integrity ni imani ya umma. Natumaini CHADEMA haitawafikisha watanzania kwenye ile Orwellian state ambapo wanyama waliwaangalia wanadamu kisha wakajiangalia wenyewe kisha wakawaangalia tena wanadamu na kushindwa kuelewa wapi ni wanyama na wapi ni wanadamu. Ahsante!

Indonesia
92
176
1K
65.8K
Polycarp The Bibliophile retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Picha hii inastahili REPOST 500 kama salamu kwa mzee wetu TUNDU LISSU kwenye magumu yote anayopitia kuwa tupo nae pamoja.🙏🏾
SIR TIVA tweet media
Filipino
35
1.5K
3.7K
35.8K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
This is a hand-guided single-row corn harvester. The total weight of the machine is 200 kilograms. It has four pneumatic tires, with the front tire being a 350-4 pattern tire and the rear tire a 400-12 star-shaped tire. It is equipped with a 195 air-cooled diesel engine that is electrically started. It can harvest 666-1000 square meters in one hour. The fuel consumption for one acre of land is approximately One litre of diesel. The body length is 1.95 meters, the width is 0.8 meters, the height is 1.2 meters, the wheelbase is 0.72 meters. It has a built-in differential,allowing for flexible and convenient turning in reverse. It has a continuous speed clutch.
English
2
3
13
336
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Automated bag loading and stacking system operating inside a shipping container. The industrial machinery uses conveyor feeds, mechanical grips, and laser alignment guidance to precisely arrange packaged sacks in tight rows. This robotic automation optimizes logistics by eliminating manual labor and accelerating the cargo loading process in manufacturing and agriculture.
English
0
2
12
440
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
A new mechanism makes it easier to transport heavy loads up stairs by using a specialized lifting system. The technology is designed to reduce physical strain and increase safety in work and home environments. Its app promises to optimize everyday and professional tasks where moving bulky objects is a constant challenge.
English
0
1
8
126
Polycarp The Bibliophile retweetledi
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
BARUA YA WAZI KWA CHADEMA Chama cha siasa ni ideology; uanachama wa chama cha siasa ni values. Chama cha siasa kinajipambanua kwa vile kinavyoamini kuhusu sera ya umma na namna jamii inavyopaswa kuenenda. Uanachama na ufuasi wa chama cha siasa unatokea pale ambapo values za mtu binafsi zinalandana na ideology ya chama cha siasa. Ideology ya chama cha siasa ni kama sumaku, inavuta values zinazolandana nacho. Katika tafsiri hii, haiwezekani mtu leo akawa CHADEMA kesho akawa CCM halafu keshokutwa akawa CHADEMA. Haiwezekani leo ukawa progressive kesho ukawa conservative halafu keshokutwa ukawa tena progressive. Haiwezekani leo ukawa mjamaa kesho ukawa mbepari halafu keshokutwa ukawa tena mjamaa. Hata ikitokea kwamba mwanachama wa chama cha siasa hakubaliani na mambo fulani ndani ya chama chake kiasi cha kutaka kujiondoa, ni vigumu kwa mwanachama huyu kujiunga na chama cha siasa chenye ideology tofauti kabisa na ile ya chama chake. Ni vigumu kwa sababu values zake zilizomvuta na kujikuta amekuwa mwanachama wa chama chenye ideology A hazilandani na chama chenye ideology B. Ikifika hatua mtu akawa na uwezo wa kuhama vyama vya siasa atakavyo, tena vyama ambavyo ni two extremes sawa na mashariki na magharibi, kuna vitu vikubwa viwili: 1. Huyu mtu sio mwanachama wala mwanasiasa, ni opportunist. Ni ile aina ya wanasiasa ambao Mwalimu Nyerere aliwaita “wanasiasa malaya malaya.” Ni malaya malaya kwa sababu hawana values; hawavutwi na ideology. Kama hauna values maana yake ni kwamba unafit popote, ni mercenary kwa lugha ya Mwalimu. All you care about is money, fame, and material rewards. That’s all. 2. Chama kinachomruhusu yeyote kutoka na kuingia atakavyo sio chama cha siasa, ni version ya chama dola. CCM ni mfano mzuri wa chama dola kwa sababu hakina ideology wala wanachama wake hawana values. Kinachowaleta pamoja ni kitu kimoja tu, MADARAKA; ni MASLAHI BINAFSI. Yeyote anaweza kusajiliwa CCM, muhimu awe tu na uwezo wa kupata madaraka. Pesa na fame ndio values za CCM, yeyote mwenye haya anaweza kusajiliwa. Hii inamaanisha pia chama cha siasa kama CHADEMA kikianza kuwa na tabia hizi za chama dola nacho kinageuka kuwa version ya chama dola. Yani kinakuwa chama dola kisichokuwa na dola. Which means kama kikipata dola nacho kitabehave vile vile kama chama dola. Kwa mantiki hiyo kitafit kabisa ile tafsiri ya “CCM B.” Na ukitaka kuupima ukweli wa hili, sikiliza ile kauli ya “CHADEMA NI CHAMA CHA SIASA, MALENGO YAKE MAKUU NI KUSHIKA DOLA.” Hii ni kauli inayoweza kutolewa na watu wasiokuwa na values ndani ya chama dola. Yes, malengo makuu ya CHADEMA KUSHIKA DOLA kama wasemavyo watu hawa hayatofautiani kivyovyote vile na malengo makuu ya CCM KUENDELEA KUBAKI KWENYE DOLA kwa njia yoyote ile. Wote wana through line moja, DOLA KWANZA UMMA BAADAE. Hii inamaanisha pia watu hawa hawajali matatizo halisi ya umma, isipokuwa wanayatumia instrumentally kufikia malengo yao (I TRULLY HOPE THIS IS NOT THE CASE). Hata hivyo changamoto kubwa hapa ni kwamba CHADEMA ikiamua kuwa na tabia za chama dola, kamwe haiwezi kuwa mbadala wa chama dola kwa sababu kitabia na yenyewe inakuwa chama dola. Ikifikia hatua hiyo, CHADEMA inabadilika na kuwa mtaji mzuri sana wa kuhalalisha matendo ya chama dola na malengo yake ya kuendelea kubaki kwenye dola. Kazi ya chama dola itakuwa kusema tu, “si mnawaona hata wao? Kuna chochote cha tofauti mnachokiona kwao?” Matokeo yake ni kuukatisha umma tamaa kwa kuufanya ufikie hitimisho kuwa “wote ni walewale.” Natamani CHADEMA ingejipambanua kama CHAMA CHA SIASA CHENYE IDEOLOGY NA WANACHAMA WENYE VALUES badala ya version ya chama dola inayorudufisha umalaya wa kisiasa. Ideology inatengeneza integrity, na matokeo ya integrity ni imani ya umma. Natumaini CHADEMA haitawafikisha watanzania kwenye ile Orwellian state ambapo wanyama waliwaangalia wanadamu kisha wakajiangalia wenyewe kisha wakawaangalia tena wanadamu na kushindwa kuelewa wapi ni wanyama na wapi ni wanadamu. Ahsante!
(---) Onesmo Mushi tweet media(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
56
66
252
83.9K
EnHyr
EnHyr@trampwaIlala·
@PolycarpMDM Watu wengi hasa wasiofahamu railway Industry wanadhani SGR ni umeme!!!! Tunaweza kuwa na SGR za Diesel na Ni nafuu Duniani kote hakuna nchi ina SGR umeme >60%
Indonesia
1
0
2
347
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
USA ina jumla ya Kilomita 220,044 za Reli, Huku CHINA ikiwa na jumla ya Kilomita 165,000 za reli. Cha Ajabu ni Kilomita 2,150 tu za reli za USA ndio zinatumia umeme (Electrified) sawa na asilimia 0.97%. Ukienda upande wa CHINA kuna kilomita 122,000 za reli ambazo zinatumia umeme, hiyo ni sawa na 74.40%.
Polycarp The Bibliophile tweet media
Filipino
9
10
117
12.8K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Africa ambalo ndio Bara la Pili kwa Ukubwa Duniani, Ambalo ndani yake kuna nchi zipatazo 54 na Jumla ya watu wapatao 1.4 billion ina Jumla ya mtandao wa reli wenye Kilomita 85,476.6, Wakati Huo huo, Nchi ya China pekee ambayo ina eneo lenye Kilomita square zipatazo 9,596,961 na watu 1.4 Billion ina jumla ya Mtandao wa reli wenye Kilomita 165,000.
Polycarp The Bibliophile tweet media
Filipino
2
4
56
5.8K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Soon Mafuta yanashuka Bei..,Uvuvi na Subaru unarejea na Tutaanzia Pale tulipo Ishia Wakuu 😅😅😅
Eng.Mapunda Jr tweet media
Eesti
28
18
295
20.3K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
The interior of Amiens Cathedral with sandbag reinforcements, Amiens, France, WW1 (original and colorized photo)
Polycarp The Bibliophile tweet mediaPolycarp The Bibliophile tweet media
English
0
0
4
360
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
USA ni mzalishaji wa kwanza wa mafuta Dunia almost mara mbili ya nchini nyingine Diesel engine bado ni deal hata kwenye magari ya umeme wamerudisha nyuma sera baada ya Trump kuingia Popular ya USA iko upande mmoja wa EAST Coast katikati hakuna watu tofauti na China kuna mgawanyiko mzuri wa population Kwenye top 10 ya mashirika ya ndege karibu nashirika 6 yanatoka USA na yanaruka ndani ya USA kuna uwekezaji mkubwa sana kwenye aviation kuanzia ndege na viwanja Wakiweka train hizo ndege wanapeleka wapi ? Itakuwa bonge la issue kwenye mazingira na ajira maana watu waliopo kwenye aviation ni wengi sana Ulaya pia ina mfumo wa ndege na train za kawaida, China uchumi wake unategemea sana manufacturing ndio maana amewekeza sana heavy kwenye umeme ana umeme wa kutosha na kupitiliza ana umeme cheap ambao sidhani kama kuna nchi nyingine inaweza lingana naye Haya mataifa makubwa yanazingatia sana National security kwenye program zao wanapo move kwenye technology au mfumo furani wanakuwa very sure mfumo uko stable hata kunapotokea majanga kwenye logic na upatikanaji. USA kutegemea umeme awezi kuwa safe check data ya umeme ya hizo nchi mbili kwa sasa hata data centre zinamsumbua kwenye matumizi ya umeme na maji
Indonesia
5
6
37
1.6K