Sam Henrq

26.7K posts

Sam Henrq

Sam Henrq

@HenrqSam

simple and visionary man

Tanzania Katılım Nisan 2015
2.2K Takip Edilen2.5K Takipçiler
Svetlana (Tayanah) Tibenda Mzalendo
Dear CHADEMA, Mkiwapokea sito waelewa kabisaaa! Mtanifanya nianze kuamini hakuna chama pinzani TZ, mnapiga michezo tu ya kisiasa. Mtanifanya nitafakari sana, like was it just “show and tell” for watoto wa chelechea? Embuuuu!
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz

Breaking News: Aliyekuwa Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA @ChaummaT) Patrick Assenga @PatrickJAssenga ametangaza kukihama chama hicho na kurejea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA @ChademaTZ2), ambacho kimsingi ni chama alichokitumikia kwa miaka mingi kabla ya kuhama hapo Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, Jumanne Mei 26.2026, Assenga amesema maamuzi ya kurejea CHADEMA yamekuja baada ya tafakuri ya kina ambayo ameifanya na kujiridhisha pasipo na shaka kwamba CHAUMMA haina mwelekeo na dhamira ya kweli ya kuiondoa CCM madarakani, badala yake amebaini kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha siasa chenye dhamira ya kweli kwa Watanzania na kinachoweza kuiondoa CCM madarakani na kushika Dola Kupitia mkutano huo na Wanahabari, Assenga amewaomba radhi viongozi wa ngazi mbalimbali wa CHADEMA, wanachama na Watanzania kwa ujumla wake kwa maamuzi aliyokuwa ameyachukua hapo awali ya kukihama chama hicho, akiamini kwamba maamuzi hayo aliyafanya bila kutafakari kwa kina. Royal TV itakuletea taarifa zaidi kuhusiana na kile alichozungumza Assenga kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari leo.

Indonesia
43
3
55
13.9K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Msigwa alikua THINK TANK akaamua kwenda kuwa SIMTANK, Sahizi anataka tena kuwa THINK TANK. Hiki chama kinatakiwa kuwa na watu wenye consistency, Sio Kila mtu akijisikia kuondoka anaondoka, Then siku atayojisikia kurudi, Anarudi. Hapana.
Filipino
11
10
78
1.8K
Prophetess ,Dr.
Prophetess ,Dr.@__sheriii·
Ushirombo,Katoro,Runzewe ni vijiji vizuri kwa kujitafuta kama kijana uliyekosa ramani.
14
12
211
16.3K
Sam Henrq
Sam Henrq@HenrqSam·
@Mwinshehe07 Hatasahau siku amemvimbia messi na wakafungwa na agentina😂
Indonesia
0
0
0
42
MUUZA LOSHENI
MUUZA LOSHENI@godfrey_brayson·
@INFLUENCERjr Ujenzi maan ake nn mkuu , Kuleta tofari au kuchimba msingi au kumwaga zege ?
Indonesia
2
0
4
1.6K
Sam Henrq retweetledi
MUUZA LOSHENI
MUUZA LOSHENI@godfrey_brayson·
NIVEA BODY LOTION 400ml 252,000/= CTN 138,000/= DZN 15,000/= REJAREJA 0711-985070 📞 0789-977157 WHATSAPP 0744-947981 WHATSAPP TUNAPATIKANA MBAGALA DARAJANI JENGO LA #AZAMTVSTORE NA #USIRITRANSPORT
MUUZA LOSHENI tweet media
Indonesia
1
6
8
393
Sam Henrq
Sam Henrq@HenrqSam·
@Thereal_taivina Mkimaliza hasira mfute wanetu.., Wote hamfanyi kazi serikalini msichafuane kwenyw hustle😀
Indonesia
0
0
2
213
Sam Henrq retweetledi
Dr Mwakalebela
Dr Mwakalebela@Isayadicksonjr·
Nimemjua Abdul kwa miaka miwili sasa tangu kwenye mapigano ya CKD ( Chronic Kidney Disease ) mpaka tunafanya initiation ya first dialysis kwetu, amekua mpambanaji throughout this journey .. Anahitaji msaada wako,kama umeguswa unaweza kumtafuta kwa hizi no 🙏 Abdul- 0653999987
Dr Mwakalebela tweet media
Indonesia
5
91
124
7.1K
Nasoro mgungo
Nasoro mgungo@nmgungob·
@MsigwaPeter Kabla sijakubali Wala kukataa, Inawezekana vipi kwenye situation Kama hiyo Dereva alishuka, Kama hajashuka siamini kwamba jamaa aliweza kutoka bila Dereva kupata Taarifa. Nna maswali mengi Sana, miba zilivua suruali bila kumuachia impact yeyote?Najipa muda,wacha Ni digest kwanza.
Indonesia
9
0
0
1.3K
Peter Msigwa
Peter Msigwa@MsigwaPeter·
Natoa pole nyingi sana kwa Msaidizi wa Mheshimiwa Tundu Lissu, Ndugu Jumbe, kufuatia tukio baya na la kinyama lililomtokea. Huu si utamaduni wa Watanzania, wala si maadili yanayopaswa kupewa nafasi katika jamii yetu. Tofauti za kisiasa zisigeuke sababu ya chuki, vitisho, au mashambulizi dhidi ya watu. Taifa lenye afya ya kisiasa hujengwa juu ya ushindani wa hoja, heshima ya utu wa binadamu, na kulinda haki ya kila mtu kuwa salama bila kujali itikadi yake. Wananchi, wakati umefika wa sisi sote kupaza sauti na kukemea matukio ya aina hii bila kujali tofauti zetu za kisiasa. Ukimya mbele ya uovu unaweza kuupa nguvu uovu wenyewe. Namtakia Ndugu Jumbe uponaji wa haraka na nguvu katika kipindi hiki kigumu. Pia naomba vyombo husika vifanye uchunguzi wa haraka, wa haki, na wa uwazi ili wote waliohusika wakamatwe na kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
Indonesia
91
201
739
23.9K
MUUZA LOSHENI
MUUZA LOSHENI@godfrey_brayson·
PRETTY BODY WASH VITAMIN E (JOJOBA OIL) 576,000/= CTN 162,000/= DZN 17,000/= REJAREJA 0711-985070 📞 0744-947981 WHATSAPP 0789-977157 WHATSAPP TUNAPATIKANA JENGO LA #AZAMTVSTORE NA #USIRITRANSPORT
MUUZA LOSHENI tweet media
Indonesia
2
1
2
142
Ms konpa💃
Ms konpa💃@Nurjan_seyd·
Hivi wafanyabiashara hali mnaionaje huko mitaani 🤔🤔🤔
Indonesia
29
16
109
5.9K