Imaginator

391 posts

Imaginator banner
Imaginator

Imaginator

@ImaginatorAndy

Beigetreten Nisan 2024
66 Folgt11 Follower
Imaginator retweetet
Pope Mwita I
Pope Mwita I@EJ_Mwita·
Mungu wangu ulie-MBINGUNI, Mtie nguvu mwanao @TunduALissu anateseka sana. Kipofu pekee ndiye haoni kuwa mpango wako juu yake ni mkubwa. Nani duniani alipona baada ya kumiminiwa risasi 32? Wewe ulijionyesha kupitia yeye na unaendelea kujionyesha. Mungu wewe ni MKUU sana.
Indonesia
3
83
330
3.4K
Imaginator
Imaginator@ImaginatorAndy·
@Arsenal 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
QME
0
0
0
20
Arsenal
Arsenal@Arsenal·
Our FA Cup journey ends here. Attentions turn to Sporting CP on Tuesday.
Arsenal tweet media
English
15.4K
7K
48.7K
5.1M
KIJANA WA ATWORI 🔸
Uku yesu amejam , karibu apige mtu teke kwa kifua...
Indonesia
103
414
1.7K
103.1K
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Tunaishi katika nyakati ambazo mashetani wanaonekana kila siku, lakini tunaukataa na kuukanusha ushetani ambao wameshatuonesha mbele ya macho yetuZ Hakuna kiasi kingine cha uthibitisho kuwa akili zetu hazipo sawasawa.
हिन्दी
20
20
136
6.5K
Imaginator retweetet
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Nilikuwa nasubiri nirudi instagram ili nianze kuwapostia upya ujangili wa kina Angela Kizigha na kina Mombo maana kwa sasa hakuna impact kubwa itakuwepo sababu sipo insta ila kutokana na hiyo appointment ya Kizigha leo imebidi niwape hii Hii kampuni Magmop ni kampuni ya Angela Kizigha na iko registered kwa number yake ya simu, yani her own personal number. Mnaweza kucheki wenyewe ownership ya hii magmop. Naomba muangalie magari yaliyoingiziwa Tanzania na hii kampuni ya Kizigha hiyo Magmop. Alafu naomba angalieni magari yaliyoingizwa Tz kwa jina la mkuu wa Usalama wa taifa. Suleiman Mombo kaingiza Tanzania kwa jina lake mwenyewe migari kama yote, acha yale marolls Royce yaliyojaa ndani kwake. Watanzania wanaibiwa kwa kiasi hiki na bado kuna Watanganyika wanafanya uchawa kwa kupewa laki 1. Ninazo info nyingi zaidi nasubiri nirudi Instagram maana kuachia hizi info kwa sasa hakuna much impact. Naombeni kila Mtanzania aangalie hayo magari yaliyoingizwa Tanzania kwa pesa za walipa kodi alafu ajiangalie kwenye kioo ajiulize kama yupo upande sahihi wa kudai haki. Nchi hata maji safi ni shida ila ona Mabugatti yanaingizwa nchini na Angela Kizigha na bado anapewa appointment ya serikalini. Mnaweza kuingia wenyewe kwenye hii website na kuingiza hizi info na kujihakikishia wenyewe.
Filipino
79
406
1.7K
102.6K
𝑴𝒂𝒌𝒂𝒗𝒆𝒍𝒊 
Mutharika hana aibu asee, watu wake walimlalamikia Bakili Muluzi kwa ufisadi uliokithiri na bado akamteua kuwa mwakilishi wake, noma na nusu
Indonesia
6
19
255
12.8K
B/R Football
B/R Football@brfootball·
Barcelona Femeni have beaten Real Madrid six times this season: ✅ 4-0 in Liga F ✅ 2-0 in Supercopa Femenina ✅ 4-0 in Copa de la Reina ✅ 6-2 in UWCL ✅ 3-0 in Liga F ✅ 6-0 in UWCL 🤯
B/R Football tweet mediaB/R Football tweet mediaB/R Football tweet mediaB/R Football tweet media
English
147
1.4K
10.1K
142.8K
Imaginator
Imaginator@ImaginatorAndy·
@BaricKGL @mentor209 Hawawezi kujali kwasababu hakuna cha kuwafanya na inawezekana wamefanya kusudi tu kumkomoa Mange
Indonesia
0
0
0
267
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Unamteaua mtu ana kashfa ya ufisadi ? Daah
Indonesia
39
52
512
16.6K
FC Barcelona Femení
FC Barcelona Femení@FCBfemeni·
GOOOOOOL DEL BARÇA!! GOL DE BRUGTSSSS!!! ⚽️ 6-0 | ⏱️ 73’
Català
30
224
1.5K
42K
Imaginator retweetet
Research Tips
Research Tips@AssertiveBro·
Unaweza kukaa masaa matatu mbali na simu. Lakini unahisi ulikua kifungoni. Najaribu kufikiri maisha ya Tundu Antipas Lisu. Moyo unajawa ganzi. 🙌🏿🙌🏿, Mwenyezi Mungu ikukupendeza HAKI ikashinde.
Indonesia
3
8
60
941
Imaginator
Imaginator@ImaginatorAndy·
@1TraVeLA Ikifika mpaka tarehe 31 May ligi haijaisha basi itaisha mwezi wa 8
Indonesia
1
0
0
718
Godfrey Achireka Jr.
Ligi kubwa za uropa zitakuwa zimeisha, fainali ya ucl ishafanyika , Kombe la dunia limeshaanza na kufikia katikati ya mashindano .. Ndio labda ligi kuu ya Tangannyika 2025/2026 itakuwa imemalizika!. N.B ligi hiyo ina timu 16 tu! 😀😀😀
Indonesia
10
17
275
10.7K
Skinny ²
Skinny ²@Skinny36479503·
@NNgabu_ shida ni kuwa Lisu snataka awe Rais kwa njia yeyote ile hata ikibidi itokee vita kama ya iran na america😁
Indonesia
3
0
1
58
Nyani Ngabu
Nyani Ngabu@NNgabu_·
Lissu na genge lake walishindwa nini kustaafu siasa kama huyu mwanamama badala ya kuhamasisha uchafuzi wa Oktoba? Wanaume wazima wameshindwa maarifa na huyu mama? Hili ni somo pia kwa Mange na Maria. Kuna njia nyingi za kupata pesa bila kusaliti nchi kupitia harakati uchwara.
Halima James Mdee@halimamdee

New Life!

Indonesia
19
7
15
2K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kufuatilia mwenendo wa bei za bidhaa, ikiwemo mafuta, kutokana na athari za vita vinavyoendelea duniani.
Indonesia
2
0
15
2.3K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa ni nadra kumpata Rais mwenye upekee wa kuacha majukumu ya Ikulu na kwenda porini kushiriki shughuli za kurekodi filamu. Akizungumza katika kikao kazi cha Maafisa Utamaduni, Sanaa na Michezo kilichofanyika ukumbi wa AICC jijini Arusha, Msigwa alisisitiza kuwa hatua hiyo inaonyesha namna uongozi wa juu unavyothamini sekta ya sanaa na utamaduni nchini. Alieleza kuwa ushiriki wa Rais katika shughuli kama hizo unatoa motisha kwa wadau wa tasnia ya filamu na sanaa kwa ujumla, huku ukiitangaza Tanzania kimataifa kupitia vivutio vyake vya asili.
Indonesia
164
9
79
27K
Imaginator
Imaginator@ImaginatorAndy·
@RickyJaduong86 Upeo tu wa kusolve mambo ndio mdogo, propaganda inatumika mahali pasipohitajika.
Filipino
0
0
0
53
Punch-UDSM90
Punch-UDSM90@RickyJaduong86·
KUNA propaganda isiyo ya lazima sana kuhusu swala Mafuta! WHY? Kwa sababu si la SSH wala la Watanzania. Sasa serikali inalazimika kufanya propaganda za KIJINGA kwa nini? Mafita lazima yatapanda bei tu JAMBO kuu ni serikali inachukua hatua ghani kuwalinda watumiaji??
Indonesia
4
3
49
1.6K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
HABARI PICHA: Hospitali ya Taifa Muhimbili imemtunuku tuzo ya heshima ya udaktari bingwa bobezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa katika mageuzi ya huduma za Afya Nchini. Tuzo hiyo imetolewa kwenye hafla iliyowakutanisha Madaktari na wauguzi Bingwa bobezi Machi 28, 2026 kwenye Hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es salaam.
Jambo TV tweet media
Indonesia
256
16
243
88.3K