GIPSON BNN

127.5K posts

GIPSON BNN banner
GIPSON BNN

GIPSON BNN

@mentor209

No handouts, no pity. Just hunger in my chest and fire in my steps. Today we grind reckless.

Nyumbani kwetu Katılım Şubat 2021
1.9K Takip Edilen12.8K Takipçiler
Lug
Lug@lugmeryz·
@Amani_Ndoveni @mentor209 Hawa watu ni wapumbavu sana yaani... Kitu pekee wanaweza ni uongo tu. Yaani dini iliyokuja miaka 600 baadae ndio inajigeuza ndio eti yenyewe mwanzilishi wa tamaduni. Hata hai make sense labda uwe mjinga wa mwisho kabisa
Indonesia
1
0
2
42
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Talking about kusujudu dini ya kiyahudi wakisali wana sali kama waislamu
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz

Kwanza kabisa, hakuna Mkristo mwenye akili anayesema Yesu alikuwa Mzungu. Hilo ni suala la sanaa za Ulaya, sio mafundisho ya Biblia. Yesu alikuwa Myahudi wa Mashariki ya Kati — hilo halipingwi. Lakini sasa kwenye hoja zako 👇 1. Kusujudu Ndiyo, Yesu Kristo alisujudu. Lakini kusujudu haimaanishi Uislam. Manabii wengi walifanya hivyo hata kabla ya Uislam kuwepo — akiwemo Ibrahim. So hiyo si “Islamic signature”, ni ibada ya kawaida ya unyenyekevu. 2. Kunawa / Usafi Kunawa si wudhu ya Kiislam tu. Hiyo ilikuwa sehemu ya Sheria ya Kiyahudi (Torah) ambayo Yesu aliishi ndani yake. 3. Sinagogi vs Kanisa Umesema hakwenda kanisani — sawa. Lakini unasahau kitu kikubwa: Kanisa lilianza BAADA ya Yesu. Na msingi wake uliwekwa na wanafunzi wake kama Petro Mtume baada ya tukio la Pentekoste. So unataka afanye kitu ambacho hakikuwa bado kimeanzishwa? Haina mantiki. 4. Unyenyekevu katika ibada Hapa hakuna ubishi — lakini hilo halifanyi Ukristo uwe Uislam. Yesu alikemea unafiki, sio aina ya ibada yenyewe. 5. “Hakukuwa na nyimbo” Hii si sahihi. Yesu na wanafunzi wake waliimba nyimbo (Mathayo 26:30). 6. Mungu ni mmoja Hapa ndio watu wengi wanachanganya. Ndiyo, Mungu ni mmoja — lakini Ukristo unaelewa huo umoja tofauti (Utatu). Na Yesu mwenyewe alijitofautisha na manabii wa kawaida kwa mambo kama: •Kusamehe dhambi (Marko 2:5-7) •Kujita “Mimi ni” (Yohana 8:58) — kauli inayohusishwa na Mungu Hapa ndipo Ukristo unatofautiana na Uislam, si kwenye kusujudu au kunawa. Unajaribu kumfanya Yesu aonekane kama Muislam kwa kuchukua matendo ya kawaida ya manabii na kuyaita ya Kiislam, huku ukipuuza mafundisho yake ya msingi kabisa.

Indonesia
8
1
8
1.9K
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Wazee wa vibunju hawaamini macho yao 3:30-4hrs unaweza kutoka moshi to Arusha. Vibunju oyeee
Indonesia
2
2
55
3.9K
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
@Cowwbama @MarekaMalili Malori sio mengi malori ni machache mno tena sana kama ukisafiri alfajiri ya jumapili unakutana na malori na magari kwa nadra sana.
Indonesia
1
0
0
79
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
@Cowwbama @MarekaMalili Kaka ushawai kusafiri siku yoyote alfajiri? Njia ya moshi haina malori kaka hio sio safari ya iringa
Indonesia
1
0
0
149
RaHeeM
RaHeeM@Cowwbama·
@MarekaMalili 160/hr barabara ya moshi arusha askari mda wote wa mrungi Tochi ndio hamna, barabara yenyewe sio nzuri na malori mengi
Indonesia
3
0
2
1K
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
@Cowwbama Mimi nakuambia hio ni real sio uongo unaweza kaa pembeni
Indonesia
1
0
0
37
RaHeeM
RaHeeM@Cowwbama·
@mentor209 Siwezi jaribu iko kitu Ila naweza kukaa moshi au dar nikusubiri hayo masaa matatu
Indonesia
1
0
1
41