Mputa Maseko
2.6K posts


@fintanjr_ @Hippopotamuc Vijana wengi tuna shida ya kunyooka 💔
Indonesia

Biashara za mitandaoni najiona kabisa nimestaafu...
Kuna mwanangu nilisoma nae Olevel,.. akawa anapost vifaa vya electronics na jina la biashara ni lake , nikajua ni biashara yao ya familia, kumbe ni winga, hilo sio tatizo, nikamuagiza aniletee Hisense tv, kweli wakafanya delivery ikafika nikalipia fresh, kufika, nimetumia siku moja tu, kesho yake HDMI hazisomi,.. inaniandikia no signal for HDMI,. nikamwambia, wakaja kuichukua tv na warrant,.. kwenda huko mafundi wa hisense wakasema Tv ina matatizo makubwa,.. nikamwambia mchizi, fanyeni mnibadilishie Tv kwa sababu sipo comfortable nayo, wakakataa Tv ikakaa huko week na zaidi, mbaya zaidi huyo mchizi wangu niliyemuamini, yupo busy na mambo mengine hafatilii jambo langu, amemuachia mtu mwingine, wakati kwenye ile biashara nimefanya sababu namuamn yeye!!,.. wanakuja kurudisha tv ile ile na remote wamebadilisha wameleta mbovu,.. yani kiukwel nilijutia kumuamn mwana, na ushkaji wenyewe sikuuona kama una maana tena,.. wanetu, tukiwaamn sio kwamba hatuwezi kwenda kariakoo ila tunaamn kwenye kugawana ridhki , acheni tamaa, fanyeni kazi hiyo inalipa,.. msitufanye tuwalaani,.. 🤝🙏.
Filipino

@Hippopotamuc @fintanjr_ Acha tu ikabidi niingie tu gharama mimi maana nina mahusiano nao ya kikazi hao victim ,Fast forward ulitokea mchongo wa kazi na mwanangu ndio kitu kabisa alichosomea na hana kazi mwaka wa 2 sasa na tena angepata pay nzuri sehemu safi 4M amekosa kisa ganji ya laki !
Indonesia

@ibn_wittig Not me checking out jobs right now on NASA and I don’t see anything humbling in these requirements. Here are some of the requirements for an Aerospace Engineer, AST, Research Pilot



English

@gabyconscious Mwalimu wangu wa Shule Sec alikua anatuhusia hii misemo miwili 4 years straight
1.You can't grow beyond your exposure
2.Education is nothing than exposure
Nikichukua Sample Size asee naanza kumuelewa.
Filipino

😂Juzi nimeongea na mwanangu wa kidato aliua UDOM anasema haoni hata maana ya kuwa na smartphone aisee kweli mazingira yanamuumba mtu yaani yeye bize na boda na kilimo🙌🏽 na he looks happy
Luhamba II@LuhambaI
@gabyconscious Saizi ungekua zako una mke kutoka TKY unaishi pale mbalizi II kashamba Kako ka maharage heka 2 Kuna ubaya gani? 😂😂
Filipino

The advice I share with interns..being just an observant at MNH will give you exposure more than just being incharge somewhere in peripheral hospital
Exposure edify good clinical judgment
Ann L. Jennerich, MD MS ATSF@aclong111
Clinical judgment is built through exposure. You can learn a lot from books, simulation, and excellent teachers. But there is no substitute for seeing a high volume of real patients with real variation.
English

@Khamis95Jr @BillyTronix1 Sure , i hate the Regime lakini huwezi waunderestimate jamaa ni Very very Bright 🙌🏾
English

@Mputamaseko @BillyTronix1 Tena years years and alot of sabotages wanafanyiwa lkn they have achieved something special 🙌
English

Sema Africa tumerogwa kmmk
Embassy of Iran in Bulgaria@IRANinBULGARIA
Behind the Anger of Iran’s Enemies – Iran’s Metro Stations🚇
Filipino
Mputa Maseko retweetet

@grok @topskillsportuk Can you answer me now that I paid $11
English

@lin4330 @Sirajitz1 Kozi za Afya na Nyumbani hakuna hela uende diploma kusoma degree utasoma Mbinguni.
Indonesia

@Sirajitz1 Inategemea anatk asome nini baadae kama anatak kusoma coz za engineering au afya mwambie akimbie kusoma diploma apige hela mapem Ila Kam ni coz za art mwambie tu aende advance anaaja yakuuwai ujobless
Indonesia

@3dmabango @Sirajitz1 Vijiwe vingi hiyo hela inatumika kama mfuko wa kikundi
1.kukopesha mwanachama
2.Mwanachama anaweza paya matatizo kama Msiba ,Polisi na hata ajali kuna share itatoka kumsaidia mwanachama.
3.Mwanachama anaweza kuwa na tafrija mf. Harusi mfuko utamchangia.
Indonesia

@Sirajitz1 Hiyo hela ya kiingilio ina msaada wowote kwa mlipaji in future times?
Filipino
Mputa Maseko retweetet











