Nelson
5K posts


@zipdmpjr26 Imani tu kuwa na wazee/watu wowote kwenye familia o ukoo waliokuwa wanatumia kilevi waliotangulia wapate chochote kitu watulie.
Filipino

@mlinganya Mnunulie chupi ya bati/chuma na kufuli aendelee kutunza bikra yake.
Indonesia

@Mwinshehe07 @SWEBE_10 Ila bia meza ikitingishika unashtuka kinoma isimwagike.
Indonesia

@Reallawi_ @YcuL___ Hata kama ww kile kitoto unakiacha vipi? N kukisukumia mzigo tu kikijaa.
Suomi

@iamthatfemale Sema Mama kitu chochote kinahusisha kamera n ngumu kuelezea zaidi.
Indonesia

Just watching this makes me boil! When i tell mothers i would be a strict one wengi husema “unasema tu” 😮💨😭 bt i can feel it in my bones! This is not something i would have tolerated 😭 i hate spoilt kids with a passion 😭
Àshàké(not Ololade)❤️@Molayoo_
Mothers like this piss me off sm.
English

@emabilly2001 Mkopo una bima ile bima ndo inacover kila kitu mfano kifo, kufukuzwa,kuacha kazi na magonjwa yakudumu nk
Indonesia

@dkpress3 @MsomiKhan18 Sawa lkn mfumo ni tofauti kitu ambacho kinawaepush wao kuonekan wanatoz riba
Indonesia

@DanyeMufasa Inshu inginine temana na Mambo za kubadili mademu sio ujanja, jiulize huyo mwanamke amekuzid miaka 15, kaona mengi kakutana na mengi umri mkubwa n experience yy anahitaj ndoa mtulie.
Indonesia

@DanyeMufasa Inaweza kuwa demu n mchawi o yuko na jini, o kuna mwana/rafiki Yako wa karibu ambaye unamwambia inshu zako Kila ukitaka kufanya bas mwana anavujisha kwa mke wake, inaweza kuwa mwana/rafiki yake anamtaka mke wake o n wapenzi tayari.
Indonesia

@Kil0voltI @Excess300 @EsirEid Jidanganye Mzee, Kuna umri wa starehe yatima na umri wa starehe makundi.
Indonesia

@Excess300 @EsirEid Starehe ya peke yako (mwenyewe mwenyewe).
Haifai.
At least toka na mwanao au wanao, ndio muende huko kufurahi.
Mambo ni mengi, maugomvi, kuwekewa dawa/sumu kwenye kinywaji chako. N.k
Ila ukiwa na wana, uhakika mwiiiingi.
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Club nkiingia Kama hivi…
Lazima niwe na washkaji zangu Wanne…
Alafu kila mtu anakaa Meza Yake… Ila position ambayo wote Wanne tunaonana!
Kama hatujuani vile Ila jichanganye…
Indonesia
Nelson retweetet

@hamzaalbhanj Sema Mwanao aliovuta 120M kitunguu chake sio kitoto kwa mwezi walioajiriwa wanajua
Indonesia

Mm mwanangu alizama Bank akakopa
120m kwa 5 yrs
Akaongeza hela yake akavuta Coaster Mbili
Anamaliza Mkopo wake this december
Hapo amekwishaje?
T@TMnyama4_
Ajira ulioajiriwa ikawa inakupa access ya kuweza kukopa Bank. Brother au Sister umekwisha 💔🙌🤔
Indonesia

@Kicheche_jr May be kulinda maisha ya mwanachama baada ya kustaafu, kuugua, au kupata majanga.
Kama watu wangeruhusiwa kuweka michango yao kama dhamana ya mikopo,
Wengi wangechukua mikopo mikubwa, Wangeweza kushindwa kulipa
Mwisho wake wanapoteza akiba yao ya uzeeni.
Indonesia

@Nalee255 Kwanini kile kilichopo akaunti kisiwe dhamana?
Filipino

@J_Camavinga @CrownMediaTZ Kwanza kuna sehemu Gani amemtaja huyo binti?
Indonesia

@CrownMediaTZ Mfukuzeni anayewaandikia hii page, ni either hajui kiingereza au hajui kiswahili
Did not off herself maana yake ni hajachukua maisha yake mwenyewe??????????
Indonesia

Sakata la kifo cha Influencer Ashlee Jenae kutoka Marekani kilichotokea Zanzibar limeendelea kuchukua ukurasa mpya wakati familia yake ikishinikiza mamlaka ya Zanzibar kufanya uchunguzi zaidi juu ya kifo cha mpendwa wao watu wengi kupitia mitandao ya kijamii wameendelea kuandika hofu yao na mashaka ya kuwa msichana huyo angeweza kuchukua maisha yake mwenyewe.
Moja ya wasanii wenye nguvu nchini Marekani mwanadada, Cardi B ametoa maoni yake kuhusu sakata hilo ambapo kupitia mtandao wake wa X (zamani Twitter) amendika;
“Yule msichana hajachukua maisha yake mwenyewe!!!” ~ Cardi B.
Taarifa ya awali iliyotolewa na Polisi Zanzibar imeeleza kuwa uchunguzi umebaini kuwa Ashlee alijiua yeye mwenyewe.
Sikiliza CROWN FM kupitia 92.1 Mhz, Radio Box & Radio Garden tafuta CROWN FM. Tutazame Live kupitia YOUTUBE channel yetu CROWN MEDIA na CROWN TV kwenye Kisimbuzi cha Azam (DISH) ni chaneli namba 415.
#CrownMedia #HapaNiNyumbani #TupoMwakaWaMbele




Indonesia

















