
@Eric__Bernard Ni vizuri sana kuongeza safari, hii itasaidia wanaotoka Mwanza na kutua na ndege saa 4 wasisubiri mpaka saa 10 jioni, lakini Treni ya mwisho kwenda Moro iwe angalao saa 3 usiku, ili kuchukua wote walioenda mahospitalini na kwenye biashara Kariakoo
Indonesia














