Parish Priest

5.5K posts

Parish Priest

Parish Priest

@dkpress3

Dad|Entrepreneur |Consultant | Farmer

Katılım Eylül 2015
346 Takip Edilen157 Takipçiler
Parish Priest
Parish Priest@dkpress3·
@Eric__Bernard Ni vizuri sana kuongeza safari, hii itasaidia wanaotoka Mwanza na kutua na ndege saa 4 wasisubiri mpaka saa 10 jioni, lakini Treni ya mwisho kwenda Moro iwe angalao saa 3 usiku, ili kuchukua wote walioenda mahospitalini na kwenye biashara Kariakoo
Indonesia
0
0
0
113
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
MAONI YA ABIRIA NA WANANCHI KUFUATIA TRC KUONGEZA SAFARI ZA TRENI ZA SGR KATI YA DSM-MOROGORO Siku moja baada ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), kutangaza kuongeza safari za treni za SGR kati ya Dar es Salaam na Morogoro, kutoka mbili mpaka nne, baadhi ya abiria na wananchi wamezungumzia na kuonyesha mapokezi yao kuhusiana na hatua hiyo ya TRC. Wakizungumza kwa nyakati tofauti Jijini Dar es Salaam na Mkoani Morogoro maarufu kama Mji kasoro bahari, Aprili 19, 2026, abiria na wananchi hao, kila mmoja amezungumzia kwa muktadha wake hatua hiyo. Mkoani Morogoro, Bwana Isakwisa James, mfanyakazi katika sekta binafsi ambaye alitaka jina la mahala anakofanyakazi lihifadhiwe, amesema, "ninasafiri mara kwa mara na SGR kati ya Dsm-Morogoro, hivyo kuongezeka kwa safari hizi ni nafuu kubwa kwetu tunaosafiri mara kwa mara kati ya Mikoa hiyo miwili. Awali tulilazimika kupanga muda kwa shida kutokana na uhaba wa treni, lakini sasa unafuu umepatikana na uhakika wa kupata safari pia, asante sana uongozi wa TRC kwa jambo hili", amemalizia bwana James. Kwa upande wake bwana Anold Kidwangisa, ambaye ni mfanyabiashara, katika maoni yake, amesema, “hii ni hatua muhimu sana kwa wafanyabiashara. Sasa tunaweza kusafiri kwa uhakika zaidi bila kuchelewa. Inaongeza ufanisi na kupunguza gharama za kusubiri treni chache zilizokuwepo awali.” alimalizia mfanyabiashara huyo. Miongoni mwa kundi lililofurahia ongezeko hilo la treni kati ya Dsm-Morogoro, ni la wanafunzi, Restituta Komba, mwanafunzi wa Elimu ya Juu katika chuo kimojawapo Mkoani Morogoro, amesema, “kabla ya kuongezwa kwa safari hizo, ilikuwa vigumu kupata tiketi hasa kipindi cha mwisho wa wiki na kufuatia hatua hii sasa tuna uhuru zaidi wa kupanga safari zetu bila shinikizo kubwa.” ameongeza msomi huyo. Katika hatua nyingine, Jijini Dar es Salaam, Mzee Hassan Abukari Mzezele, mkazi wa Yombo Kilakala, amesema, "kwa familia, hii ni faraja kubwa na kwamba sasa tuna uwanda mpana wa kuchagua muda unaotufaa bila kulazimika kusongamana au kusubiri kwa muda mrefu. Hongera sana TRC, huduma imekuwa rafiki zaidi kwa abiria.” amepongeza Mzee Mzezele. Aidha wananchi wa kawaida pia wametoa maoni yao na mmoja wa wananchi hao, aliyejitambulisha kwa jina la Mariam Mbeyale, amesema, hatua hii inaonyesha TRC wanasikiliza mahitaji ya wananchi. Idadi ya abiria imeongezeka, hivyo uamuzi wa kuongeza safari ni uamuzi sahihi unaoendana na uhalisia wa mahitaji.” amekazia Bi. Mbeyale. Maoni na mtazamo wa jumla wa jamii ni kwamba, kuongezeka kwa safari za treni za SGR kati ya Dsm na Morogoro, ni dalili ya mafanikio ya SGR aidha inaonyesha huduma inakubalika na watu wengi, na sasa inapanuliwa ili kukidhi ongezeko la mahitaji. Apili 18, 2026, TRC ilitangaza ongezeko la treni za SGR kati ya Dsm- Morogoro, kutoka mbili mpaka nne kwa siku.
MR BEN tweet media
Indonesia
4
5
26
5.1K
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Bank ya Amana ni Bank ambayo haiweki Riba katika Mikopo Dhamana yako Mkopo wako Wanapataje faida hapa? 😂
Indonesia
33
38
505
29K
ShealerJ
ShealerJ@shealerjohn77·
@dkpress3 @MsomiKhan18 Hakuna riba kwenye bank za kiislam wanacho fanya wao ni kuingiza nakubaliano ya kibiashara ambayo inaruhusiwa kwa dini Yao mfano unataka mkopo wa gari la million 10 wanakununulia gari alaf wanakuuzia kwa milioni 15 utalipia kdg kdg dini Yao inaruhus hyo sio Rina kwao ni biashar
Indonesia
3
0
1
96
Parish Priest retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Wazee sina day off, naomba Oda za samaki. Uzuribwa hii kazi mwenyewe nipo field
HT
5
31
146
3.2K
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Hata kama imeumbwa kwa mpira lakini ule mpira umelegea sana 😂🙌🏾
Indonesia
5
0
44
3K
Bill Mitchell
Bill Mitchell@mitchellvii·
In my opinion, the Pope is an elected official. There is no mention of a Pope anywhere in the Bible. He is essentially the elected leader of the Catholic church, and that's fine. But don't assign him spiritual importance he does not possess beyond that. What do you think?
English
2.5K
1.8K
12.4K
163.1K
Narendra Modi
Narendra Modi@narendramodi·
Received a call from my friend President Donald Trump. We reviewed the substantial progress achieved in our bilateral cooperation in various sectors. We are committed to further strengthening our Comprehensive Global Strategic Partnership in all areas. We also discussed the situation in West Asia and stressed the importance of keeping the Strait of Hormuz open and secure. @POTUS @realDonaldTrump
English
13.4K
18.1K
160.9K
40.8M
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Treni ya SGR inajaa, mabasi yanajaa, ndege zinajaa. Nchi yetu tuendelee kuijenga. Mahitaji yapo. SGR iende Mbeya, Mtwara, Arusha, Tanga na kila kona ya nchi. Viwanja vya ndege viendelee kuboreshwa na kujengwa vipya. Nchi iunganishwe. It comes with a cost, but it is worth it.
Indonesia
35
27
189
9.5K
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Ukipanda SGR mabehewa ya “wananchi wa kawaida” watu wana furaha na wanapiga stori muda wote. Kule kwenye Business class watu wako busy, wengine wanafanya kazi; wengine wamevaa airphone. Wanawaza mambo makubwa, hawasemeshani hovyo
Filipino
52
53
874
53.7K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
📍Luchelele SIUZI 😁
Lubasha Jr tweet media
Română
11
24
196
4.4K
MfinaWiiiseeee
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm·
Baada ya bata mfululizo la Pasaka, sasa tuanze kuishi kama bata mpaka mwezi uishe! 🦆😂🙌🏾
Indonesia
16
15
163
7K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Nikikamilisha Oda tatu vizuri
Čeština
5
3
24
846
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Jana Kijana wangu Gio kaanza safari rasmi ya Kiimani kupitia Kanisa Katoliki la Mitume. As a Father ni jukumu langu kushiriki kumuanzishia safari hii muhimu ambayo ndio software ya kuwa mtu na Mwanajamii bora. His name is Nathaniel, "God Given" 🙏🏼
Indonesia
35
60
599
15.7K