clementc retweetet
clementc
33.6K posts

clementc retweetet

Mauaji ya #MO29 yalipangwa na kutekelezwa na vyombo vya dola na walipanga tokea zamani!
Tukumbuke walianza kuua na kupiga risasi tokea mchana ila wananchi walikataa kurudi nyuma - ndo wakaamua watangaze KINYUME na sheria curfew na waue mtaani yeyote watakayemkuta na hadi majumbani!
Tuna ushahidi na mashahidi! Litume lao likija na ripoti tofauti tunao! Mafaili yapo na tushawasilisha kimataifa!
Hakuna maridhiano bila wauaji WOTE kuwajibishwa
#SamiaMustGo #TanzaniaMassacre #TutaelewanaTu
Indonesia
clementc retweetet
clementc retweetet

Padre Prosper Kessy aliyasema hayo wakati akitoa semina katika Mafungo ya WAWATA yaliyofanyika katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria, Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Machi 14, 2026.
Zaidi: jamii.app/PadreKessySiri
#JamiiForums #Uwajibikaji #UtawalaBora
Indonesia
clementc retweetet

DAR ES SALAAM: Mdau wa JamiiForums.com anadai Bodaboda wanaofika maeneo ya Kariakoo wanakumbana na kero ya Pikipiki zao kukamatwa na Maafisa ambao wanawadai fedha taslim, anazitaka mamlaka husika zifuatilie na kuchukua hatua kwani ni uonevu mkubwa.
Zaidi jamii.app/KukamataWrongP…"
#JamiiForums #JFMdau2026 #Uwajibikaji




Indonesia
clementc retweetet

Tusipoanza mipango ya kutumia gas tutakuja lia huko mbele
Vyanzo vya mafuta viko kwenye shida
Igor Sushko@igorsushko
💥 Russia: Massive Ukrainian drone strikes blew up vast areas of the Port of Primorsk, Russia's largest oil export terminal that processes 1.0-1.5 million barrels/day - 100 million tons of oil & oil products per year. 1,000km from Ukraine.
Indonesia
clementc retweetet

Heartbreaking 💔 kuwaona watoto wakitetemeka kwa baridi, wakiwa na njaa wakati wengine wanapiga picha kwa likes na views! 😭🔥
Yule aliyerekodi video? Mshenzi kabisa!Alichukua video badala ya kuwasaidia au kuwataarifu maafisa ni unyanyasaji wa watoto! Wale wazazi au walimu wanaosimamia chakula ni Wanyama!
Watoto wanahitaji ulinzi🇰🇪💔 #HakiKwaWatotoKenya #AcheniUnyonyajiWatoto
Indonesia

Muumba wetu mwingi wa baraka na neema tele akulinde na akuepushe na waovu na wabaya wote duniani.
Akujalie AFYA Njema na maisha marefu.
HAPPY BIRTHDAY kaka Mshabaha @lifeofmshaba 🌹🌹🌹🥂🥂🥂❤.
Indonesia
clementc retweetet

Happy birthday brother @lifeofmshaba
Mwenyezi Mungu akulinde na kukujali afya njema, mafanikio makubwa na furaha tele
Keep the fire burning 🔥 and more power to you 💪🏽

Indonesia
clementc retweetet

‼️EXTRAJUDICIAL KILLINGS CONTINUE IN #Tanzania ‼️
This young man was killed while handcuffed by community police! After wide publicity @SuluhuSamia govt is pretending to care
But these are the same thugs who were part of the killing machinery of #TanzaniaMassacre last year!
It is a tip of the iceberg
Yaani hii kesi moja - hawa wauaji hawatafanywa kitu maana walisaidia kuua ili Bi Msumi atutawale kimabavu! Nchi inanuka damu na dhulma! Bila kuamka hali itazidi kuwa mbaya
Sina cha kuongeza
#TutaelewanaTu lakini!
English

@ForsonN34 I take you do not have a driving license, and perhaps you have just started your driving lesson, at best✌.
English
clementc retweetet
clementc retweetet

MAWAKILI WA CHADEMA WAKIWASILI DODOMA KUTETEA CHAMA CHAO: Ni haki kwa mlalamikaji yeyote kutafuta haki yake mahakamani ila historia inaonesha matumizi ya mifumo ya mahakama kutatua migogoro ya vyama vya siasa hayajaonesha mafanikio ya kudumu barani Afrika. Mfano mashuhuri ni ANC iliyopigwa marufuku mwaka 1960 na Makaburu, ikalazimika kufanya shughuli zake kwa siri, takriban miaka 32 viongozi wake wakifungwa au kukaa uhamishoni.
Matokeo ANC ikajijengea uhalali mkubwa ndani na nje ya nchi na hatimaye, Mfumo wa ubaguzi ulipoanguka, ANC iliibuka ikiwa na nguvu zaidi na kushinda uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia mwaka 1994 chini ya uongozi wa Nelson Mandela. Jaribio la kukiondoa chama hicho kupitia sheria liliishia kukiimarisha.
Pili ni Senegal, chama cha PASTEF kilipigwa marufuku mwaka 2023. Hatua hiyo ilichochea hisia za wananchi dhidi ya kile kilichoonekana kama ukandamizaji wa kisiasa, na mwaka mmoja tu baadaye, 2024, viongozi wanaohusishwa na chama hicho walishinda urais. Tukio hili linaonyesha jinsi hatua za kisheria zinavyoweza kubadili chama cha upinzani kuwa alama ya mapambano ya kisiasa.
Tatu, Gambia, wakati wa utawala wa Yahya Jammeh, vyama vya upinzani vilikumbana na vizuizi vikali, ikiwa ni pamoja na kupigwa marufuku. Hata hivyo, vyama hivyo vilijipanga upya, vikaungana, na hatimaye kushinda uchaguzi wa mwaka 2016. Hivyo basi, ukandamizaji haukuondoa nguvu zao bali uliwafanya wawe na mshikamano zaidi.
Tanzania tunatambuliwa kuvisaidia vyama vya ukombozi wa Afrika hadi uhuru wao, huku vikiwa vimepigwa marufuku na tawala za kikoloni ikiwemo: ZANU-PF ya Zimbabwe, MPLA ya Angola, na FRELIMO ya Msumbiji.
Matumizi ya mahakama katika ushindani wa kisiasa hakulipi. USHAURI WANGU TUJISAHIHISHE NDANI NA NJE YA VYAMA VYETU kushindania uongozi bora hasa wakati huu tunapohitaji MARIDHIANO na MSHIKAMANO ili kulileta taifa letu Pamoja.

Indonesia
clementc retweetet

@HildaNewton21 @cycleclement Tuendele kuchukua tahadhari kamanda,wengi tunawindwa hivyo hivyo..
हिन्दी
clementc retweetet
clementc retweetet

Father ameongea vizuri sana,
Kuna ujinga uliingia serikalini na watu wamefundishwa sana huu upuuzi
Unapofanya kiapo ni kwa mujibu wa katiba kwa maslahi ya nchini
Ukiingia kwenye ofisi kisha ukaanza ambiwa mambo mengine mengi ya kuvunja sheria, ina maana hiyo ofisi inafanya uharifu na uwajibikaji ni lazima hata kama ni Bi Msumi
Kwenye kufanya uharifu kinyume na katiba moja kwa moja kiapo chako hakifanyikazi kwenye hizo siri maana umeapa kulinda katiba na sheria, watu wanapouwawa ana kutekwa hakuna sheria inaruhusu upuuzi wa aina hiyo, moja kwa moa unakuwa unashiriki uharifu na unakuwa mshenzi kama wao
hapo hakuna siri unafanya unachofanya ni uovu kufanya uovu wenyewe, ni kinyume na imani yako yoyote ile uliyonayo na kinyume na sheria zetu zote
Indonesia
clementc retweetet
clementc retweetet

Tatizo la GEN Z hawanunui uoga, wamechoka hizi mboga mboga youtu.be/on0XIvFqJV4

YouTube













