๐˜๐† ๐Œ๐„๐ƒ๐‹๐€๐โ„ข

1K posts

๐˜๐† ๐Œ๐„๐ƒ๐‹๐€๐โ„ข banner
๐˜๐† ๐Œ๐„๐ƒ๐‹๐€๐โ„ข

๐˜๐† ๐Œ๐„๐ƒ๐‹๐€๐โ„ข

@kanielou_tis

๐Ÿ”ฌ Medical Laboratory Professional ๐Ÿงช Health & Science Educator ๐Ÿ“ Accurate Tests. Better Health.

Beigetreten Eylรผl 2025
380 Folgt254 Follower
๐˜๐† ๐Œ๐„๐ƒ๐‹๐€๐โ„ข retweetet
๐‹๐”๐Œ๐€โ„ข
If youโ€™re serious about gr0wing on X Dr0p a reply below and Iโ€™ll c0nnect with you๐Ÿค—โค๏ธ๐Ÿ’ฏ
English
333
42
199
5.2K
๐˜๐† ๐Œ๐„๐ƒ๐‹๐€๐โ„ข retweetet
Extreme Introvert๐Ÿง•๐Ÿ’ซ
Leo ni birthday ya Mama Ryanโค๏ธ Ila kwa mara ya kwanza, naomba nisiambiwe "Happy Birthday" Sijisikii kusherehekea chochote Badala yake, niombeeni dua, dua nyingi na kwa wingi Kiukweli kuna mapambano ambayo nimeyabeba kimya kiasi kwamba hata tabasamu langu kuna muda limekuwa sehemu ya kuficha maumivu. Kuna usiku ambao nimekesha nikimwomba Mwenyezi Mungu anipe sababu ya kuendelea, na kuna siku ambazo nimecheka mbele za watu huku moyo wangu ukiwa umechoka kupita maelezo Sijui mwaka huu utaniletea nini ila ninachojua ni kwamba nimefika hapa kwa rehema za M/Mungu na si kwa sababu nilikuwa na nguvu kuliko matatizo yangu ila ni kwa kuwa alinipa ujasiri Kama umewahi kunitakia mema, leo usinipe salamu za birthday bali nipe dua na uniombee kheri M/Mungu aniondolee yale yanayoniumiza kimya kimya, anifungulie milango ya kheri, anipe utulivu wa moyo, na aniandikie maisha yenye baraka kuliko niliyowahi kuyaota. Wakati mwingine dua moja ya kweli kutoka kwa mtu usiyemtegemea inaweza kubadili maisha kuliko maneno elfu ya pongezi. Allah anijaalie umri huu mpya uwe mwanzo wa faraja baada ya maumivu, mwanga baada ya giza, na urahisi baada ya kila ugumu. Aamiin ๐Ÿคฒ๐Ÿฝ
Filipino
107
66
163
8.6K
Beno๐ŸŒด
Beno๐ŸŒด@BMushisonยท
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe amka tukasake mafanikio๐Ÿค Good morning Familia ๐Ÿ™
HT
14
22
28
360
๐˜๐† ๐Œ๐„๐ƒ๐‹๐€๐โ„ข retweetet
Beno๐ŸŒด
Beno๐ŸŒด@BMushisonยท
Indonesia
0
1
1
18
P'site Shio
P'site Shio@Psiteshio1ยท
Hawa motivational speakers ukiwasikiliza utaishia pabaya, Imagine Baba mtu mzima napangiwa zamu ya kudeki choo na vitoto vya 2000 kwenye nyumba za kupanga Kisa nini? Motivation speakers waliniambia kujenga nyumba ni kuzika pesa, Fanya biashara ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Indonesia
5
9
69
2.5K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoffยท
Watu wa diploma wameshaanza kuomba mkopo?
Indonesia
7
3
59
3.7K
๐˜๐† ๐Œ๐„๐ƒ๐‹๐€๐โ„ข retweetet
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMaliliยท
Wabongo tuna Standards kwenye Receiving end, ila kwenye Giving end ni kasheshe ๐Ÿคญ
Filipino
0
9
52
2K
KARANI๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช ๐Ÿงข
Ukiendelea kungoja viral post, utangoja sana. Engage daily, build loyal mutuals. Audience is the algorithm. ๐Ÿš€
Lietuviลณ
37
29
78
977