MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI YAHITIMISHWA RASMI BUGANDO
Hii leo Septemba 18 Septemba, 2025 Hospitali ya Bugando imehitimisha mafunzo kutoka kwa wataalamu wabobezi wa tathmini na ufuatiliaji kutoka wizara ya Afya.
Mafunzo ya mfumo wa ufuatiliaji na tathimini kwa watumishi yamehitimishwa rasmi hii leo Septemba 16, 2025 huku yakiwa yamenufaisha Menejimenti pamoja na watumishi wa kada mbalimbali katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando.
MAFUNZO YA KUKABILIANA NA MSONGO WA MAWAZO YATOLEWA KWA WATUMISHI WA TIBA NA MAFUNZO.
Idara ya Afya ya akili leo Septemba 2,2025 kupitia kitengo cha saikolojia kimeendesha mafunzo kwa watumishi wa Tiba na matunzo (CTC ) juu ya kukabiliana na msongo wa mawazo kwa wagonjwa.
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando inaendesha mafunzo ya tiba shufaa (palliative care) kwa wafanyakazi wa Idara ya saratani katika kuhakikisha inaboresha maisha ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya muda mrefu ikiwemo ugonjwa wa saratani.
BUGANDO YAENDELEA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA.
Washiriki na wawakilishi wa Miss Universe Tanzania 2025 kutoka Kanda ya Ziwa wametembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Leo julai 25, 2025 lengo likiwa kuchangia damu.
Fr. Paulo Chobo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini, Mhashamu Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza Renatus Leonard Nkwande Kwa
niaba ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), amemtambulisha rasmi Sr. Dkt.Alicia Massenga kwa watumishi na uongozi wa Bmc.
kiwa ni Jubilee ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa kwaya ya Mtakatifu Yuda Thadei Epifania Bugando Leo Julai 20, 2025 wametembea Wagonjwa wa fistula katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando lengo likiwa ni kutoa matendo ya huruma kwa wagonjwa.
Wizara ya Afya nchini ikishirikiana na shirika la CDC Tanzania pamoja na wadau wa maendeleo MDH Leo July 11, 2025 wametembelea Idara ya maabara ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando .