
@MarekaMalili Dar wazee wao wako hivi vijana sasawanashindana drama mara wanaibiana nyeti!!?ndio maana katikati ya mji asubuhi na mapema linanuka mavi,unajiuliza kama kunakigezo cha kunyang'anya hadhi ya jiji
Indonesia
Asombwile David
12.3K posts

@ASOMBWILE
Information Technology |Daddy's day out|


Nisingeona video ya huyu mzee anahojiwa ningebaki kuamini kuwa ile video aliyokuwa anaimba ni AI, kumbe ilikuwa halisi dingi alikuwa anatema nyongo. Wadada wa Dar kumbukeni njia ya mbinguni ni nyembamba na imesonga sana🤣🤣.












Kwa hii kauli ya "umama" usishangae Kisarawe wakipata DC mpya kabla jogoo hajawika mara 3.








Siku nmekosa kibunda cha kwenda kucheki hili tambala na hapo ndo limetoka tu. Maumivu yake siwezi sahau

