NYANI MZEE
221K posts

NYANI MZEE
@jwise017
Mtanganyika | Mkulima | Polygamist |Afisa Ubashiri | Babu | Katikati ya usiku nitaamka nikushukuru 🙏🏿 #VituVyaPeponi #MatomboStyle⭐️

Ambwene Mwasongwe na hichi kichupa “Nimeachilia” Alikuwa mbele ya muda sana.

Kama wewe ni baba/mama jenga utamaduni wa kutoa “task” kwa watoto wako pale wanapokua “wanakudai” uwafanyie jambo fulani. Hii itawafanya wakue wakijua kabisa hakuna pesa huwa inatoka bure bila kufanya kazi. Itawasaidia sana kwenye maisha yao wakishaanza kujitegemea.

Maishani mwako jenga tabia ya kununua vitu vipya achana na maisha ya USED. Kama bado mambo hayako vizuri kiuchumi jipe muda mpaka ukuze mfuko wako. How on earth mtu unaenda kununua godoro lililotumika? Ukizoea haya maisha hata siku “ukijipata” utaendelea kuyaishi na utaona poa tu











