Baba Assad CAG🇹🇿
153.1K posts

Baba Assad CAG🇹🇿
@JrMalcolm88
The way you treat yourself sets the standard for others on how you demand to be treated. Do not settle for anything other than respect. #CrownMediaTZ Fan.

Ukimsoma Mama Samia, unaona kabisa Katiba mpya ndio itakua legacy yake kubwa. #Siku100ZaRaisSamiaMadarakani





Watawala Hamuwezi kutuajiri wooote Kuna watu wanamiaka 12 hawajawai itwa Kwenye interview. Turuhusuni mijadala chanya vijana wanajua nn wanataka. hizo Ajira mmetoa MAELFU na watu waliomaliza shule kwa kada Moja wako mamilioni. Ruhusuni watu wawape mawazo hamjui Kila kitu.

Hiyo Wizara ya vijana iongozwe na vijana wenye maono kuhusu vijana na sio wenye mtazamo wa vyama vya siasa.

Tanzania iko mbioni kuanzisha mfumo wa fedha unaofuata miongozo ya Kiislamu. Chanzo: Jamiiforums Maswali yangu: 1. Je, tuna mfumo wa kifedha wa Kikristo na dini nyinginezo ulioanzishwa kiserikali? 2. Huo mfumo ukoje na unaumuhimu gani? 3. Mfumo tunaotumia kwasasa unaitwaje?


@munyamambogo Wizara hii ibebe changamoto za Vijana halisi, Wizara ilete mipango ya namna gani ya kushughulika na kutatua changamoto kubwa za Vijana kwenye makundi yao.

Ajali imetokea leo 15|11|2025 maeneo ya kigambon kisiwani mwenye gari ndogo alikua kalewa













