DevotaTweve
117.7K posts

DevotaTweve
@TweveDevota
Instagram https://t.co/59Bh6zcLr1







Kifo cha Muongoza Filamu aitwaye Athumani Nyanza kimeacha maswali mengi kwa wengi waliosikia kisa chake ikidaiwa kuwa aliuawa na Mwanamke ambaye ni Mama Mtoto wake na kisha akamfukia pembeni ya Nyumba yake ( Nyumba ya Athumani ) iliyopo Mtaa wa Kimyakimya, Chanika Dar es salaam. AyoTV imefunga safari hadi Chanika ili kufahamu kinachoendelea baada ya Nyanza kutafutwa kwa takribani wiki mbili bila kujulikana alipo kisha baadae kuja kugundulika kuwa amezikwa mbele ya Nyumba yake “kifo sio ajabu ila kitendo walichomfanyia kinatia uchungu" - Mzee Simba Nyanza, Babu wa Marehemu. #MillardAyoUPDATES.

Radio 47 @47Redio wamewapiga spana za maana sana waandishi wa bongo na viredio vyao. Kisha wanasema wao ndio TBC ya Tanzania. Makofi kwao kwanza hawa mabrother.

Iringa kuna jamaa kamchinja mkewe kama nguruwe!





😂😂😂😂😂 ELIMU ELIMU ELIMU




@Thommunkondya Tatizo hapakuwahi kuwa na Tume iliyofanya kazi mkasema wamefanya vibaya. Ukweli ni kwamba mfumo wa kodi nchini ni mbovu na umejengwa hivyo ili kuruhusu rushwa na ulanguzi. Tume na hoja zake niza kawaida sana na hazijawahi kuwa mpya. Labda hilo jina la TRA na kuita TRS upuuzi tuu




