DevotaTweve

117.7K posts

DevotaTweve banner
DevotaTweve

DevotaTweve

@TweveDevota

Instagram https://t.co/59Bh6zcLr1

Tanzania Katılım Temmuz 2014
997 Takip Edilen85K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Wanafunzi wa sekondar wanapata wapi ujasiri wa kujirekodi video za utupu? Hawafikirii maisha yao ya badae, hawajui kama wanawaumiza wazazi wao pia. Inaumiza sana kwakweli.
Indonesia
183
41
687
123K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Ilikuwa ni wakati mzuri sana wa kujumuika pamoja na wafanyakazi wenzangu wa @lapexproperties katika Iftar, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mshikamano na ushirikiano wetu.
Thom Mnkondya tweet mediaThom Mnkondya tweet media
Indonesia
4
5
18
1.2K
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Kuna mama amefariki ikielezwa baada ya kupigwa na mumewe, majirani wanadai amekuwa akipigwa mara kwa mara na mume wake. Mama ameacha watoto 9.
Filipino
11
5
61
3.7K
August 8
August 8@JovithModest88·
@TweveDevota @Zephania_Ndaki 🤣🤣🤣 kama unafatilia MABUNGE ya Nchi zingine halafu uje ulinganishe na Bunge la Tanzania hapo ndo uta Anza kupata sababu za kujutia kuwa Mtanzania.
Indonesia
1
0
0
43
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Mawazo ya mtunga sera na sheria zetu.
Indonesia
10
6
36
3.5K
Dr Kwala Liwengo
Dr Kwala Liwengo@MankindUwezo·
Nadhani Bango linasomeka kama Huna nauli sema
Dr Kwala Liwengo tweet media
Filipino
10
3
21
1.4K
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
As much as tunawapenda hawa jamaa ila credibility yao ni questionable most of the time.
Child of God@InexorablesoG

Radio 47 @47Redio wamewapiga spana za maana sana waandishi wa bongo na viredio vyao. Kisha wanasema wao ndio TBC ya Tanzania. Makofi kwao kwanza hawa mabrother.

Filipino
7
0
27
5.3K
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
@iboysean Trend tu ndio muhimu kwao, online ambao ni makanjanja ndio zao.
0
0
0
99
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Mwandishi wa Habari umetafuta mtu wa kumpelekea Microphone aongee unampelekea Anko Tanzania ???? 😂😂😂
Indonesia
5
12
87
4.1K
DevotaTweve retweetledi
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
As a Chief Land Surveyor, Project Consultant, and Real estate broker at @lapexproperties , today I visited several sites including Bunju and Kiharaka for surveying, and Mbweni to inspect plots for sale. Let’s call it a day 💪🏿.
Thom Mnkondya tweet mediaThom Mnkondya tweet media
English
5
5
19
1K
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Nipo katikati ya futari lakini huyu kaniharibia. 😁 Kuna mtu anasema hoja za Tume ni za kawaida lakini hebu tuwe wakweli kidogo. Kuwapa grace period ya mwaka mmoja wanaoanza biashara hiyo ni ya kawaida kweli, au ni hatua ya kimkakati ya kukuza wajasiriamali wapya? Kuzipa Halmashauri KPIs na kuzitaka ziandae mazingira bora ya biashara kabla ya kukusanya ushuru hiyo ni ya kawaida au ni mabadiliko ya fikra kwenye uongozi wa mapato? Kutambua, kukuza na kusimamia wafanyabiashara wadogo hiyo siyo msingi wa uchumi jumuishi? Kupunguza viwango vya kodi huku ukipanua wigo wa walipa kodi hiyo siyo mbinu inayotumika na nchi nyingi zilizofanikiwa kiuchumi? Kuzuia mabadiliko ya mara kwa mara ya kodi hiyo siyo kujenga utulivu na kuaminika kwa wawekezaji? Kuja na sera na sheria thabiti za kodi hiyo siyo foundation ya mfumo mzima wa uchumi? Halafu unasema hizi ni hoja za kawaida? Kwa heshima zote, Balozi Ombeni Sefue na timu yake wamefanya kazi yenye mwelekeo wa kimkakati, siyo ya mazoea. Tatizo letu mara nyingi siyo ukosefu wa mawazo mazuri ni tabia ya kupinga kila kitu bila kuchambua kwa kina. Wakuu, hii ni nchi yetu sote. Tukipinga kila jambo, tunamkomoa nani? Serikali au mustakabali wetu wenyewe? Na kama kweli hizi si hoja za msingi, basi tulete mbadala: Hoja zipi zingekuwa “nzito” zaidi ya hizi? Ni mabadiliko gani hasa tunataka kuyaona kwenye mfumo wa kodi? Tujadili kwa hoja, si kwa mazoea ya kupinga kila kitu.
Thom Mnkondya tweet mediaThom Mnkondya tweet media
Camel@2020Election_Tz

@Thommunkondya Tatizo hapakuwahi kuwa na Tume iliyofanya kazi mkasema wamefanya vibaya. Ukweli ni kwamba mfumo wa kodi nchini ni mbovu na umejengwa hivyo ili kuruhusu rushwa na ulanguzi. Tume na hoja zake niza kawaida sana na hazijawahi kuwa mpya. Labda hilo jina la TRA na kuita TRS upuuzi tuu

Indonesia
8
1
6
579