Mis Technician ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿผโ€โš•๏ธ

57.8K posts

Mis Technician ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿผโ€โš•๏ธ banner
Mis Technician ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿผโ€โš•๏ธ

Mis Technician ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿผโ€โš•๏ธ

@Mis_Tec

Dont overshare | privacy is POWER๐Ÿ“Œ.|Job22:21.

๊ฐ€์ž…์ผ AฤŸustos 2019
2.9K ํŒ”๋กœ์ž‰8K ํŒ”๋กœ์›Œ
Tee๐ŸŒธ
Tee๐ŸŒธ@tracytrachuยท
Any suggestion ya Movie za kinaijaa...Mama angu amenogewa na monica๐Ÿ˜‚Anahisi mimi nazijua na nyingine msaada๐Ÿ˜ญ
Indonesia
7
4
35
1.8K
Life Of Vike
Life Of Vike@Life_of_vikeยท
@Mis_Tec Nitumie namba nitume zawadi tu ya mtoto
Indonesia
1
0
1
10
Life Of Vike
Life Of Vike@Life_of_vikeยท
Bhasi enzi za FIELD hapo pale NYAMAGANA HOSPITAL nikawa nipo kitengo cha RCH pale kujifunza huduma ya mama na mtoto bhasi DAY MOJA akaja Dem hivi kwa jina ni ICEANA ... Alikua kaja clinic pale ana mimba kama miezi sita hivi . Sasa na ule uzuri kujumlisha na mimba ๐Ÿ˜…
Indonesia
69
23
352
37.8K
NICE (๐ŸŽน๐ŸŽธ)MCHINA WINGA
Mpenzi wako akiulizwa na wafanyakazi wenzie kama anampenzi anakataa na anasema hajawahi kuwa na mahusiano Wala hajawahi Fanya Mapenzi kabisa ๐Ÿ’€
Indonesia
8
11
53
2K
Ngadu
Ngadu@1ngadu1ยท
@Mis_Tec Happy birthday kwa mtoto wetu
English
1
0
1
12
Emanuel Elius
Emanuel Elius@elius_emanuelยท
@Mis_Tec @amina_hafidh usicheke ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kizazi cha azuma na sindano ya UTI mtu anakuja anakwambia naumwa UTI unamuuliza anajiskiaje akuelezee anakwambia natokwa na uchafu huku chini ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na hii UTI imenisumbua sana nmekunywa azuma lakin bado
Indonesia
1
0
1
103
mimilicious๐ŸŒน๐Ÿ’
mimilicious๐ŸŒน๐Ÿ’@amina_hafidhยท
Mmeona watu wanaokuwa wajuaji hospitalini eegh? Ukisoma hapo vizuri Sara hakuna anachokijua ila kakwepa treatment kwa kudhani yeye anajua kila kitu kuliko anaemtibu Tuheshimiane kwenye majukumu wakuu medicine ina uwanda mpana sana,tusiwe wajuaji
Indonesia
23
11
45
7.3K
Emanuel Elius
Emanuel Elius@elius_emanuelยท
@amina_hafidh nimeshangaa sana anasema amechomwa sindano za UTI sjui ni sindano gani hizo ila najua zitakuwa ceftriaxone Je anaujua muongozo wa matibabu ya typhoid? tatzo siku hizi kila mtu akishajua Azuma na powercef anahisi ashakuwa mtaalam wa afya. ujuaji umekuwa mwingi sana siku hizi
Indonesia
2
0
2
533