Sabitlenmiş Tweet
Samson Ernest
35.4K posts

Samson Ernest
@SamsonErnest_
Soma Neno Ukue Kiroho Liwe Jua Iwe Mvua Soma Biblia Yako
Singida, Tanzania Katılım Aralık 2016
1.6K Takip Edilen2.8K Takipçiler

@LongaZimale @ElimikaWikiendi Je walioweka wanafahamu hili au walikuwa na nia hiyo
Indonesia

Unafahamu sababu ya Nyoka na Fimbo kuwekwe kwenye nembo za Afya na Dawa?.
Soma hapa,
Hesabu 8:21
@ElimikaWikiendi
Indonesia

@massawejk Maisha ya mtu yapo mikononi mwa Mungu, mtu anaweza kubadilishwa na BWANA wakati wowote.
Indonesia

“Usiwakadirie sana watu, usidharau watu. Wenzako wanaopambana kubadili historia ya maisha yao na kushinda vita ambazo wazazi hawakuzishinda, wao ndio wana dhamana ya kubadili historia ya familia zao. Kama huwezi kuwasaidia, basi usiinue silaha kupigana nao.”
#ElimikaWikiendi
Indonesia

@Happie_Thom Hasara zingine ni darasa ya kukuonyesha thamani ya kile unakiendea
Indonesia

Sio kila hasara ni mbaya. Wakati mwingine Mungu anakutoa kwenye kitu kidogo ili akupeleke kwenye kikubwa.
#ElimikaWikiendi
Filipino

@EdwinMjeru Hatua ndogo kwa mwelekeo sahihi zinaleta matokeo
Filipino

@Simon_peter_jr Inahitaji neno la Mungu kukumbusha unapotaka kufanya mambo kwa hisia
Indonesia

@JumaIbrahi75232 Kabisa, Yeye ni chanzo kikuu cha kutufanya tukarejea upya kwenye ubora.
Filipino

@SamsonErnest_ Sahihi kaka hata pale tunapohisi kila kitu kimekufa ndani yetu mungu atupe subira ya kuendelea tusikate tamaa
Indonesia

@Simon_peter_jr Tumtegemee Mungu asilimia zote, wanadamu wenzetu tuwaheshimu kwa nafasi zao na kuwashukuru pale wanapotumiwa na Mungu kufanya mema kwetu.
Indonesia

Unapopunguza matarajio kwa watu, unaongeza uhuru wa moyo wako.
#Elimikawikiendi
Filipino

@fintanjr_ Duh! Watu hawajali utu wa wengine, wanajali mambo yao.
Indonesia

Hapo Makumbusho binti aliachiwa nyumba zile za kizamani na wazazi wake ikiwa na vyumba kama 10 hivi,. Since, Baba mdogo kaachiwa amuangalie binti, hata shule hakumsomesha , Since then, kapangisha nyumba nzima analumbua tu kodi, miaka imeenda binti kakua, kapata mtu kamshauri kuuza nyumba, bhasi ni sehem potential kabisa akapata mteja ,. akafanya process zote za kutransfer property,. then wakawapa wapangaji notes ya kutoka, Bhas wapangaji wakarudi kwa aliyewapangisha yule Ba mdogo , yeye anawaambia lipeni kodi hakuna mtu mwenye hii nyumba zaidi yangu,.. Siku zimekata,.. usiku mmoja watu wamelala wanashangaa nyumba inagongwa nyundo,.. usiku mzima familia zaidi ya kumi wanahangaika kuokoa vitu,.. huu mji kuna watu wana tamaa sana na hawajali utaumia vipi mradi yao yanaenda🙌💔.
Indonesia

@INFLUENCERjr Elimu inasaidia kuona jambo gumu kuwa jepesi, elimu inarahisisha utendaji wa kazi.
Indonesia

Elimu hii hii ya Bongo ambayo wengi wanasema ni ya mchongo hakikisha unaipata au watoto wako wanaipata. Elimu ni muhimu asikudanganye mtu. #ElimikaWikiendi
Indonesia









