Shandumbwe

925 posts

Shandumbwe

Shandumbwe

@110587

A very normal human being....Nothing elevates me above others

+255 Katılım Eylül 2009
380 Takip Edilen287 Takipçiler
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
📍Mwanza #D9 Hatumtaki Samia ✊🏽🇹🇿 Jamani wanajeshi hawana ishu wao wapo tu wapiteni nendeni zenu 💪🏽 Kama anakuzuia askari piga picha nitumie tunaandaa ripoti Freedom of movement is key! There is no curfew just ILLEGAL LOCKDOWN that is not justified #D9Tunatoka
Filipino
81
743
3.2K
223K
Johnny
Johnny@johnnash255·
@MariaSTsehai Check, you are out of moves pawns are surrounded tumia knights, bishops na rooks au hampo pamoja. Kila mtu anajilinda kivyake only pawns are expendable?
English
1
1
10
3.5K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Naombeni updates za road block tuweke ramani
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
65
256
1.7K
81.6K
Felician GR
Felician GR@FelicianGr360·
@lifeofmshaba Sema ukifuatilia marais wote waliokuwa waislam waliowahi kutawala tz ndo wamefanya madudu zaidi kwenye uongozi wao , sina udini ila ukweli ndo huo
Filipino
5
0
4
2.5K
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Kwenye kesi ya Tundu Lissu, Samia ametuonyesha ujinga gani unaoweza fanyika kwenye uchaguzi. Amekamata aliyekuwa waziri wa sheria wa Kenya Martha Karua, Amekamata CJ wa Kenya Willy Mutungi Amekamata Wakenya wanaoingia nchini leo na kuwasumbua sana bila sababu Huyu ni raisi wa aina gani ? Katili na muoga
Think Different tweet media
Indonesia
156
160
991
151.9K
Jo
Jo@JKulwijila·
@Rydx_017 huyu tale anaijua ligi ya Italy au anaongea tu
Indonesia
1
0
0
123
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Msukuma anakwambiaje, Unatangazaje Tarehe ya Mechi while bado kesi ya Yanga na Simba haijaamuliwa? Tale tale anasema mmeingiza siasa kwenye Mpira.!! Bunge la leo Tamu aisee.. Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Indonesia
59
47
1.3K
200.1K
Ahmed Ally
Ahmed Ally@ahmed__ally·
Asante Mungu Ni matokeo mabaya lakini yenye kutupa maono wapi tunaelekea kwenye ujenzi wa kikosi chetu bora msimu huu Tunakila sababu ya kujivunia maendeleo ya Project yetu ya muda mrefu iliyohusisha wachezaji wengi wapya wenye vipaji vikubwa na umri mdogo Wana Simba matokeo ya leo yasiwatie unyonge kwani tupo katika njia sahihi sana na punde tutaanza kuogelea kwenye mito ya asali Hii ni tofauti na msimu uliopita tulichukua ngao ya jamii lakini hatukua na timu imara ndio maana tukakosa Makombe yote, Msimu huu tumekosa Ngao lakini tunayo timu imara ya kutupa heshima hapo baadae Ubaya Ubwela
Ahmed Ally tweet media
Indonesia
938
351
5.2K
224.3K
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
@Elisafi_Fadhili Diamond Jubilee Hall na pia ukienda ardhi utakuta ana viwanja vingi katika miji mikubwa vinamilikiwa na Agha Khan Foundation…anavinunua katika harakati za kuanzisha Huduma za Kijamii
Indonesia
1
0
2
232
ELLY JR
ELLY JR@Elisafi_Fadhili·
Hotels Zote za Kifahari za Serena Afrika Mashariki, Kusini na Asia,Televisheni ya NTV na Easy FM Radio vya Kenya, Hospitals na Vyuo Vikuu Vyote vya Aga Khan Afrika Mashariki, Benki Zote za DTB Afrika Mashariki. Hivi Vyote Vinamilikiwa na Bilionea Raia wa Uswiss Aga Khan IV (85).
ELLY JR tweet media
Indonesia
57
101
1.3K
108.3K
Habiib Yahya🇵🇸
Habiib Yahya🇵🇸@HabiibYahya6·
@mshambuliaji Michuano ya shirikisho ina timu dhaifu sana. Simba angekuwepo msimu huu angebeba kombe. Goal 2 za kombe la shirikisho ni sawa sawa na shot on target 1 ya klabu bingwa.
Indonesia
23
0
13
3.6K
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Hiyo ndo Yanga. ✍️Yanga wakiwa hawana mpira shape ya ilikuwa 5-3-2 ,lengo la kwanza lilikuwa ni kuwa na vitendo vingi vya kiulinzi(defensive actions) kwenye idara ya kiungo na ulinzi(zone A na B). ✍️Ile pembetatu ya Mudathir,Bangala,na Farid Musa ilikuwa muhimu sana kwenye kipindi cha kujilinda na kushambulia.Shape hiyo ya pembetatu ilikuwa haipotei kabisa kwenye vipindi vyote.(attacking & defending). ✍️Licha ya kipindi cha kwanza Yanga kupata baadhi ya nafasi lakini hawakuwa na namba kubwa ya wachezaji ambao wangeweza kui overloads idara ya ulinzi ya Rivers United. Kipindi Cha pili ✍️Nabi aliamua kubadili system,akaamua kuweka wacheza ambao ni runners (Kisinda na Moloko) kwa ajili ya kuupanua uwanja kwenye upande wa kulia na kushoto ( left channel & light channel). ✍️ Mabadiliko haya yalikuwa ya kiufundi kwasababu Yanga kwenye zone ya ushambuliaji wakatengeneza shape ya 3-2(Mayele,Aziz,Kisinda,Moloko,na Mudathiri),plan hii ilifanikiwa kwasababu Yanga waliongeza namba ya Wachezaji na kuongeza vitendo vya kiushambuliaji (offensive actions). ✍️Kitendo cha Rivers United kuwa more offensive kikasababisha kuacha space nyingi kwenye mistari yao miwili.(fisrt & second line).Hapa ndio ile threat ya Yanga kuwa na runners ikazaa matunda na kupata magoli. Note. ✍️ Mwamnyeto anapiga pasi anakaba na anafanya joining kwenye build up ya Yanga.What a player 🙌🙌🙌. ✍️Moloko ni pressing machine kweli kweli,what a counter attacks creator🙌🙌🙌. ✍️Aziz Ki passing vision yake daah hatari✅ ✍️Man of the Match |Mwamnyeto ✅✅ @omarrkombo12
Maulid Kitenge tweet media
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Filipino
92
90
3K
167.1K
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
one person followed me // automatically checked by fllwrs.com
English
0
0
0
14
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
one person followed me // automatically checked by fllwrs.com
English
0
0
0
21
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
one person followed me // automatically checked by fllwrs.com
English
0
0
0
10
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
one person followed me // automatically checked by fllwrs.com
English
0
0
0
12
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
one person followed me // automatically checked by fllwrs.com
English
0
0
0
18
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
one person unfollowed me // automatically checked by fllwrs.com
English
0
0
0
0
Shandumbwe retweetledi
MAK Mringo (PhD)
MAK Mringo (PhD)@SnrDirector·
Namtafuta huyu mwalimu; mshahara na marupurupu apange yeye. Afike Paradigms Kimara Dsm kuanza kazi mwezi november. Retweet mpaka imfikie
Indonesia
247
1.1K
3.2K
0
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
one person unfollowed me // automatically checked by fllwrs.com
English
0
0
0
0
Shandumbwe
Shandumbwe@110587·
one person unfollowed me // automatically checked by fllwrs.com
English
0
0
0
0