
@AnnaTibaijuka Kwa kumbukumbu zangu lissu ni mwenyekiti wa chadema ? Analiponyaje taifa ? Au taifa ni chadema ? Au ni pamoja na chandema ? Ukiinza hizi nyingi za nani aachiewe nani afanyeweje .... ilibidi magereza zote zifungwe kila mtu arudi nyumbani na CPA ifutwe.
Indonesia






























