𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
305K posts

𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
@_zack255
Simba SC&Liverpool Fan | Mkulima | Kiboko ya wanaharakati East Africa | Alhamdulillah
Paris, France Katılım Haziran 2019
664 Takip Edilen93.2K Takipçiler
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 retweetledi
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 retweetledi

Sasa itakuaje 😂😂😂
millardayo@millardayo
Ofisi ya Mufti Nchini Uganda imetangaza kuwa baada ya mwezi kuandama Sikukuu ya Eid Al Fitr inafanyika leo March 20,2026 Nchini Uganda ambapo pia Serikali ya Uganda tayari imetangaza kuwa leo ni mapumziko ya Eid Al Fitr na imewatakia Waganda wote Sikukuu njema yenye amani na utulivu. #MillardAyoUPDATES
Indonesia

@bizy94 @SusannaN2 @SuluhuSamia @TunduALissu @MariaSTsehai @rose_mayemba @HecheJohn @HildaNewton21 @lifeofmshaba @JohnNgutiCDM @ChademaTZ2 UPOTOSHAJI...
Slovenščina

🔥#BreakingNews : SHOCKING EXPOSE @SuluhuSamia DESPERATE BRIBE TO TUNDU LISSU! @TunduALissu
NDULI Idd Amin mama, dispatched her emissaries to Ukonga Prison to meet. Tundu Lissu. They delivered her filthy offer: pardon, money, and power, but only on one condition: he drags @ChademaTZ2 into fake "maridhiano" (reconciliation) and sells out the opposition!
Lissu fired back heroically:
"Anisamehe kwa kosa gani? Yeye ndiye aliyenibambika kesi hii ya uwongo!"
"Sihitaji msamaha wake wala masharti yake! Nataka afute kesi hii – ni ya uongo, yeye anajua, dunia inajua mimi sio mhalifu!"
This is classic dictatorship: weaponizing a fabricated treason charge to blackmail and break the iron-willed Lissu. The Court of Appeal @judiciarytz still hasn't scheduled his appeal, deliberately delayed to keep him caged!
Tanzanians, this is your moment:
Is this "reconciliation" or outright extortion?
Will you let Samia buy silence with blood money while Lissu rots for demanding real democracy?
Tundu Lissu is NO traitor – he is Tanzania's conscience!
Free Tundu Lissu NOW!
Abolish the fake treason case!
No justice, no peace!
What do YOU say, Tanzania? Speak up or forever bow to this tyranny! 🔥🇹🇿 #FreeTunduLissu #SamiaMustGo

English

Dkt Samia Suluhu Hassan anaendelea kuthibitisha uongozi wa vitendo kwa kuharakisha ajira, uwekezaji na maendeleo ya viwanda, hatua zinazowapa vijana fursa halisi ya kujikwamua kiuchumi #KaziNaUtu #TunasongaMbele
kichefuchefuu@kichefuchefuu
𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗗𝗛𝗜𝗛𝗜𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 -Akoleza kasi ya ajira, uwekezaji viwanda -Atekeleza mkakati kuwakomboa vijana #kazinautu #Tunasongambele
Indonesia


Mwanariadha wa mbio ndefu, Alphonce Simbu, anatarajiwa kuongoza wanariadha katika uzinduzi wa kampeni ya “Vya Kwetu Vizuri” utakaofanyika Machi 21 hadi 22, mwaka huu mkoani Kilimanjaro.
Akizungumza kuhusu maandalizi yake kuelekea tukio hilo, Simbu amesema amejipanga kikamilifu kuhakikisha uzinduzi huo unafanikiwa kwa kiwango cha juu. Aidha, amewahimiza wanariadha kutokata tamaa bali kuendelea kuwa na matumaini ya kutimiza ndoto zao.
“Nimepitia changamoto nyingi lakini sikuwahi kukata tamaa. Ukiwa na nia, unapata njia,” amesema Simbu.
Kwa upande wake, Khensani Mkhombo, amesema kampeni hiyo inalenga kuenzi utamaduni wa maisha ya kila siku ya Mtanzania.
Mkhombo amebainisha kuwa mbio hizo zimekua zaidi ya mashindano ya riadha na sasa ni tukio kubwa la kijamii na kiutamaduni linalowakutanisha wanariadha pamoja na wageni kutoka ndani na nje ya nchi.
Aidha, amesema uzinduzi huo utaambatana na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wakubwa watakaochangamsha kampeni hiyo.
Imeandikwa| Shufaa Lyimo
Tembelea epaper.ippmedia.com kusoma gazeti lako au wasiliana nasi 📞+255 745 -700 710 au 0677- 020 701 kwa maelezo zaidi.
#NipasheDigital #NipasheMwangaWaJamii #miaka30yakupashahabari

Indonesia

Ofisi ya Mufti Nchini Uganda imetangaza kuwa baada ya mwezi kuandama Sikukuu ya Eid Al Fitr inafanyika leo March 20,2026 Nchini Uganda ambapo pia Serikali ya Uganda tayari imetangaza kuwa leo ni mapumziko ya Eid Al Fitr na imewatakia Waganda wote Sikukuu njema yenye amani na utulivu.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 retweetledi


























