𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿

305K posts

𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 banner
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿

𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿

@_zack255

Simba SC&Liverpool Fan | Mkulima | Kiboko ya wanaharakati East Africa | Alhamdulillah

Paris, France Katılım Haziran 2019
664 Takip Edilen93.2K Takipçiler
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 retweetledi
𝗠𝗪𝗔𝗠𝗕𝗔™🇹🇿
MASOKO 44 NA VITUO 120 VYA UNUNUZI WA MADINI VYAANZISHWA Tanzania imepiga hatua kubwa katika kusimamia na kukuza sekta ya madini kwa kuanzisha masoko 44 pamoja na vituo 120 vya ununuzi wa madini nchini. Hatua hii imelenga kurahisisha biashara ya madini, kuongeza uwazi kwa ⤵️
𝗠𝗪𝗔𝗠𝗕𝗔™🇹🇿 tweet media
Indonesia
0
5
4
15
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 retweetledi
𝗠𝗪𝗔𝗠𝗕𝗔™🇹🇿
MAPINDUZI YA MTANDAO: MINARA 304 YABORESHWA KUONGEZA UPATIKANAJI WA INTANETI Serikali imeendelea kuboresha sekta ya mawasiliano kwa kufanya maboresho kwenye minara 304 ya mawasiliano, hatua iliyoongeza kwa kiasi kikubwa upatikanaji na ubora wa huduma za intaneti.⤵️
𝗠𝗪𝗔𝗠𝗕𝗔™🇹🇿 tweet media
Filipino
1
4
4
21
Mbishi ⚖
Mbishi ⚖@bizy94·
🔥#BreakingNews : SHOCKING EXPOSE @SuluhuSamia DESPERATE BRIBE TO TUNDU LISSU! @TunduALissu NDULI Idd Amin mama, dispatched her emissaries to Ukonga Prison to meet. Tundu Lissu. They delivered her filthy offer: pardon, money, and power, but only on one condition: he drags @ChademaTZ2 into fake "maridhiano" (reconciliation) and sells out the opposition! Lissu fired back heroically: "Anisamehe kwa kosa gani? Yeye ndiye aliyenibambika kesi hii ya uwongo!" "Sihitaji msamaha wake wala masharti yake! Nataka afute kesi hii – ni ya uongo, yeye anajua, dunia inajua mimi sio mhalifu!" This is classic dictatorship: weaponizing a fabricated treason charge to blackmail and break the iron-willed Lissu. The Court of Appeal @judiciarytz still hasn't scheduled his appeal, deliberately delayed to keep him caged! Tanzanians, this is your moment: Is this "reconciliation" or outright extortion? Will you let Samia buy silence with blood money while Lissu rots for demanding real democracy? Tundu Lissu is NO traitor – he is Tanzania's conscience! Free Tundu Lissu NOW! Abolish the fake treason case! No justice, no peace! What do YOU say, Tanzania? Speak up or forever bow to this tyranny! 🔥🇹🇿 #FreeTunduLissu #SamiaMustGo
Mbishi ⚖ tweet media
English
10
59
187
15.1K
𝗠𝗪𝗔𝗠𝗕𝗔™🇹🇿
Dkt Samia Suluhu Hassan anaendelea kuthibitisha uongozi wa vitendo kwa kuharakisha ajira, uwekezaji na maendeleo ya viwanda, hatua zinazowapa vijana fursa halisi ya kujikwamua kiuchumi #KaziNaUtu #TunasongaMbele
kichefuchefuu@kichefuchefuu

𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗗𝗛𝗜𝗛𝗜𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 -Akoleza kasi ya ajira, uwekezaji viwanda -Atekeleza mkakati kuwakomboa vijana #kazinautu #Tunasongambele

Indonesia
1
1
2
38
asmer de unique
asmer de unique@unique_asmer·
Hivi ni kwanini WALIMU huwa hawazeeki….!?🤷🏻‍♀️
Filipino
4
0
11
446
Nipashe Tanzania
Nipashe Tanzania@Nipashetz·
Mwanariadha wa mbio ndefu, Alphonce Simbu, anatarajiwa kuongoza wanariadha katika uzinduzi wa kampeni ya “Vya Kwetu Vizuri” utakaofanyika Machi 21 hadi 22, mwaka huu mkoani Kilimanjaro. Akizungumza kuhusu maandalizi yake kuelekea tukio hilo, Simbu amesema amejipanga kikamilifu kuhakikisha uzinduzi huo unafanikiwa kwa kiwango cha juu. Aidha, amewahimiza wanariadha kutokata tamaa bali kuendelea kuwa na matumaini ya kutimiza ndoto zao. “Nimepitia changamoto nyingi lakini sikuwahi kukata tamaa. Ukiwa na nia, unapata njia,” amesema Simbu. Kwa upande wake, Khensani Mkhombo, amesema kampeni hiyo inalenga kuenzi utamaduni wa maisha ya kila siku ya Mtanzania. Mkhombo amebainisha kuwa mbio hizo zimekua zaidi ya mashindano ya riadha na sasa ni tukio kubwa la kijamii na kiutamaduni linalowakutanisha wanariadha pamoja na wageni kutoka ndani na nje ya nchi. Aidha, amesema uzinduzi huo utaambatana na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wakubwa watakaochangamsha kampeni hiyo. Imeandikwa| Shufaa Lyimo Tembelea epaper.ippmedia.com kusoma gazeti lako au wasiliana nasi 📞+255 745 -700 710 au 0677- 020 701 kwa maelezo zaidi. #NipasheDigital #NipasheMwangaWaJamii #miaka30yakupashahabari
Nipashe Tanzania tweet media
Indonesia
1
2
24
1.2K
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
MAPENDEKEZO 284 YA MABORESHO YA MFUMO WA KODI YAWASILISHWA KWA RAIS 1.⁠ ⁠Sera na Sheria: 146 2.⁠ ⁠Mifumo ya TEHAMA: 41 3.⁠ ⁠Utawala: 30 4.⁠ ⁠Urasimishaji: 25 5.⁠ ⁠Mazingira ya Uwekezaji na Biashara: 15 6.⁠ ⁠Utatuzi wa Migogoro ya Kodi: 14 7.⁠ ⁠Muundo na Mfumo wa Usimamizi wa Kodi: 13
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media
Indonesia
1
7
9
219
millardayo
millardayo@millardayo·
Ofisi ya Mufti Nchini Uganda imetangaza kuwa baada ya mwezi kuandama Sikukuu ya Eid Al Fitr inafanyika leo March 20,2026 Nchini Uganda ambapo pia Serikali ya Uganda tayari imetangaza kuwa leo ni mapumziko ya Eid Al Fitr na imewatakia Waganda wote Sikukuu njema yenye amani na utulivu. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
26
32
334
12.9K
Paul Meda
Paul Meda@Paulmeda1·
compare and constract hapa tu huwa ndipo nachokaga kabisa
Paul Meda tweet mediaPaul Meda tweet media
Filipino
1
1
1
133
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 retweetledi
Mr Visit Zanzibar Tanzania 🇹🇿
Eid Mubarak brothers and sisters Uganda 💖🙏 *Katika siku Ya Leo Ukumbusho Wangu kweni ni Surah Al-Baqarah (2:177): Inasema kuwa wema ni kumpa maskini na kuishi kwa ibada. Allahmdullih Allahkubar Allahkubar Allahkubar 🙏
Mr Visit Zanzibar Tanzania 🇹🇿 tweet media
Indonesia
1
1
3
108
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Sisi ndo tuliofunga na sisi ndio tutakao sherehekea idd. Sasa wewe unakasirika nini?
Indonesia
4
5
36
1.2K
JAGUAR.
JAGUAR.@Jaguar_455·
Nendeni mkalichukue sasa jeshini hilo kombe😂
JAGUAR. tweet media
Indonesia
9
13
161
3.6K
MKEMIA MKUU👑🇹🇿
MKEMIA MKUU👑🇹🇿@mkemia_mkuu68·
Ambaye Huwa Anakunyoa Hayuko Lakini Naweza ….😂😂🙌🏾 Good morning
MKEMIA MKUU👑🇹🇿 tweet media
Filipino
13
17
55
724
Kilwafinest 🦈
Kilwafinest 🦈@Kilwafinest·
𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗗𝗛𝗜𝗛𝗜𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 🔶 Akoleza kasi ya ajira, uwekezaji viwanda 🔶 Atekeleza mkakati kuwakomboa vijana
Kilwafinest 🦈 tweet media
Indonesia
1
11
10
205
Cyancute ⭐
Cyancute ⭐@Cyancute·
are you ready for thread's 😋
Cyancute ⭐ tweet media
English
222
10
290
23.9K