๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ
329.8K posts

๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ
@_zack255
Simba SC&Liverpool Fan | Mkulima | Kiboko ya wanaharakati East Africa | Alhamdulillah
Paris, France Katฤฑlฤฑm Haziran 2019
692 Takip Edilen94.1K Takipรงiler
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ retweetledi

Picha ya kwanza ndiyo picha halisi,Picha ya pili imehaririwa na kubadilishwa kwa makusudi na wanaharakati uchwara @TitoMagoti na mpumbavu mwenzake @ThatBoyKhalifax ili kutengeneza uzushi dhidi ya @DavidHundeyin
Nyie watu wa hovyo kama siasa imewashinda kuna shughuli zingine za kufanya kuna mashamba ya parachichi na viazi huko njombe mnaweza kujikita huko


Indonesia
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ retweetledi

Hello @rollymsouth,
Your tweet has made it on to the What Happened On October 29 documentary.
We thank you for the courage to expose paid commercial activists for their role in the election and post election violence.
We know they attacked you because you revealed the truth, that they have donors behind them and those donors have an agenda.
I know they ran a smear campaign against you here. Stand tall because your tweet exposed a bitter but necessary truth.
But this is a lesson to you as well. You cossied up to the paid activists believing that they were your friends. They threw you to the dogs as soon as you became an inconvenient truth for them.
I urge you to man up. Come out of your X (Twitter) exile and expose the demonic activist cult.
Amandla brother โ๐พ

English

Huyu dada anakukaribisha tu. Ukishaingia tu unahudumiwa na @Thommunkondya na bichwa lake ๐.
lapexproperties@lapexproperties
Kazi yangu ilikuwa kupost tuโฆ mengine endeleeni wenyewe
Indonesia
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ retweetledi

Mwanahabari wa Nigeria Atengeneza Filamu Kuhusu Vurugu za Uchaguzi Tanzania
Mwanahabari mchunguzi kutoka Nigeria, @DavidHundeyin, ametangaza kutengeneza filamu maalum ya uchunguzi kuhusu vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025.
Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na Graphic Online๏ฟผ, filamu hiyo inaitwa What Happened on October 29? na inalenga kueleza kile mwandishi huyo anachodai kuwa ni ukweli uliojificha nyuma ya matukio ya vurugu yaliyotikisa Tanzania baada ya uchaguzi huo.
Hundeyin alisema amefanya uchunguzi wa muda mrefu uliodumu kwa miezi kadhaa, ukihusisha mahojiano na mashahidi, uchambuzi wa taarifa mbalimbali za vyombo vya habari pamoja na kupitia ripoti ya tume ya uchunguzi iliyoongozwa na Jaji Mkuu mstaafu Mohamed Chande Othman.
Akizungumza kuhusu filamu hiyo, Hundeyin alisema:
โKilichotokea Tanzania tarehe 29 Oktoba 2025 si kile ambacho dunia iliambiwa.โ
Alidai kuwa simulizi nyingi zilizosambazwa kimataifa kuhusu vurugu hizo hazikuonesha picha kamili ya tukio hilo. Kwa mujibu wake, vurugu hizo zilikuwa zimepangwa na kuratibiwa mapema, zikihusisha watu wa ndani pamoja na nguvu kutoka nje ya nchi.
โFilamu hii ni jaribio la kuwasilisha mtazamo wa Kiafrika kuhusu simulizi la Kiafrika,โ alisema Hundeyin.
Kupitia ukurasa wake wa X (Twitter)๏ฟผ, Hundeyin pia alitangaza ratiba ya uzinduzi wa filamu hiyo katika miji mbalimbali barani Afrika kabla ya kutolewa rasmi mtandaoni.
Katika ujumbe wake aliandika:
โFilamu hiyo itaanza kuonyeshwa rasmi Mei 26 mjini Accra, Mei 29 mjini Dar es Salaam na Mei 31 mjini Nairobi kabla ya kutolewa rasmi duniani kupitia YouTube Juni 1.โ
Hata hivyo, matukio ya uchaguzi wa Tanzania wa 2025 bado yanaendelea kuzua mjadala mkubwa kimataifa. Wakati baadhi ya ripoti zilidai kuwa kulikuwa na matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya waandamanaji na ukiukwaji wa haki za binadamu, upande mwingine ulidai kuwa baadhi ya taarifa na picha zilizosambazwa mtandaoni zilikuwa za kupotosha au zilizotengenezwa kwa teknolojia ya AI.
Indonesia
๐๐ซ.๐๐๐๐คโข๐น๐ฟ retweetledi

#FactCheck ๐จ๐จ๐จ๐จ
Frame one is the original image. Frame two is clearly manipulated and edited to manufacture a narrative around @DavidHundeyin.
If your narrative is strong enough, you shouldn't need fake photos to sell it.
@TitoMagoti and @ThatBoyKhalifax, shame on you for your false narrative and editing. Let's wait for @DavidHundeyin to finish his work. Why panic by editing photos?
@grok @CommunityNotes, commercial activists at panic level to sell a manipulative narrative.


English

Nafasi 10 zenye mishahara mikubwa serikalini;
1. Rais ni. Tsh. 98,287,560/=
2. Gavana Benk Kuu Tsh. 65,630,000/=
3. Makamu wa Rais Tsh. 43,000,000/=
4. Spika wa Bunge Tsh. 31,000,000/=
6. Waziri mkuu. Tsh. 30,430,000/=
7. Jaji Mkuu . Tsh. 30,430,000/=
8. Mkuu wa Majeshi. Tsh. 29,350,000/=
9. Naibu Spika. Tsh. 27,500,000/=
10.K/Mkuu Kiongozi. Tsh. 25,000,000/=
Taarifa hizi ni Siri na zimepatikana kwa Siri, Ni mishahara na posho kwa jumla kwa mwezi.
Cc. Tanzania Abroad
Indonesia

๐๐โ| #NBCPremierLeague
Young Africans SC 1๐1 Namungo FC
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko

English


Serikali Kuimarisha Mawasiliano Katika Maeneo ya Kimkakati Nchini
Na Mwandishi Wetu, WMTH
Bungeni, Dodoma
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), amesema Serikali imeendelea kutoa kipaumbele katika maeneo yote ya kimkakati nchini ili kuimarisha huduma za mawasiliano, ikiwemo maeneo ya hifadhi za wanyama, reli ya kisasa ya SGR, reli ya TAZARA pamoja na barabara kuu.
Mhe. Kairuki ameyasema hayo leo Mei 25, 2026 Bungeni jijini Dodoma wakati akitoa ufafanuzi katika kipindi cha maswali na majibu kuhusu upatikanaji wa huduma za mawasiliano, kufuatia maswali yaliyoulizwa na Waheshimiwa Wabunge kuhusu sekta hiyo.
Amesema Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa minara ya mawasiliano nchini kwa lengo la kupunguza changamoto za huduma hiyo, hususan katika maeneo muhimu ya kiuchumi na kijamii.
โTunatekeleza miradi minne ya ujenzi wa minara ya mawasiliano ambapo mradi wa minara 758 tayari umekamilika. Mkoa wa Tanga umefanikiwa kupata zaidi ya minara 43. Aidha, kuna miradi mingine ya minara 636 na 201 inayotarajiwa kukamilika mwaka ujao,โ amesema Waziri Kairuki.
Ameongeza kuwa kukamilika kwa miradi hiyo kutasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza changamoto za mawasiliano katika Mkoa wa Tanga na maeneo mengine nchini, huku akisisitiza kuwa Mkoa wa Tanga una umuhimu mkubwa kiuchumi na kimkakati kutokana na shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na kuwa mkoa wa mpakani.

Indonesia










