6bert retweetledi
6bert
1.4K posts

6bert
@6Sixbert
BSC. ANIMAL SCIENCE . Activist, maniu & simba fan.
Katılım Mayıs 2021
1.1K Takip Edilen587 Takipçiler

Bus linapata ajali wanakufa abiria 50, ila Gavoo ikija kutoa habari lazima wapunguze idadi ya vifo, watasema wamekufa abiria 7 na majeruhi 12 tu!!
Na hiyo ni ajali ya Bus tu ambalo hata hawajahusika nalo.
Sasa ndio ije kuwa haya mauaji ya halaiki ambayo wamehusika kwa asilimia 💯
Lazima tu wapunguze numbers kupunguza chaos!!
Indonesia

@kapeto98 Uhalisia ni kwamba thamani ya shiling inashuka sio kwamba eti ukiweka pesa leo baada ya miaka kadhaa inaongezeka,swali jepesi kilo moja ya maharage ilikua 1200 2018, halafu angalia leo kilo hiyo ni 3800, apo utasema maharage yameongezeka thamani?? Au nazingua 🥸🥸 niache bange
Indonesia

Ukipata 10M Now Ukisema Uwekeze Kwenye MIFUKO YA UWEKEZAJI After 10 years ndio unauwezekano wa Kupata 10M nyengine Ambacho Kiasi hicho lazima Ukipate.
Lakini Kiasi hikii Ukiingia nacho Kariakoo kwenye Uwinga au Ukiingia Kyela kwenye Kilimo cha Mpunga Kuna Uwezekano wa Kurudisha 10M within Six Months.
Cha Kuzingatia Ni Kwamba Kwenye High Risk ya Kupoteza Kuna Faida Kubwa na Kwenye Risk Ndogo UWEZEKANO WA Kupoteza ni Mdogo.
Wewe Unaenda Na Ipii..?
Tanzania 🇹🇿 Indonesia

@AbroadTanzania Wauze tu hiso dhahabu ila pesa tugawane wote. Kila mtu afe na chake
Filipino

Hapa kuna orodha ya nchi zilizo na akiba kubwa ya dhahabu:
1. *Marekani (🇺🇸)*: tani 8,133
2. *Ujerumani (🇩🇪)*: tani 3,350
3. *Italia (🇮🇹)*: tani 2,452
4. *Ufaransa (🇫🇷)*: tani 2,437
5. *Urusi (🇷🇺)*: tani 2,330
6. *Uchina (🇨🇳)*: tani 2,304
7. *Uswisi (🇨🇭)*: tani 1,040
8. *India (🇮🇳)*: tani 880
9. *Japani (🇯🇵)*: tani 846
10. *Uholanzi (🇳🇱)*: tani 612
11. *Uturuki (🇹🇷)*: tani ~595-641
12. *Polandi (🇵🇱)*: tani ~448-515
13. *Ureno (🇵🇹)*: tani 383
14. *Uzbekistan (🇺🇿)*: tani ~361-362
15. *Kazakhstan (🇰🇿)*: tani ~324
Chanzo: World Gold Council / IMF IFS (Q3 2025 data, latest updates January 2026)
Hiyo orodha ina nchi zilizo na akiba kubwa ya dhahabu duniani. Marekani inaongoza kwa tani 8,133, ikifuatiwa na Ujerumani (tani 3,350) na Italia (tani 2,452). Urusi na Uchina pia zina akiba kubwa ya dhahabu, tani 2,330 na 2,304 mtawalia.
Kwa upande wa Afrika, nchi zenye akiba kubwa ya dhahabu ni:
- *Algeria*: tani 174
- *Afrika Kusini*: tani 125
- *Libya*: tani 117
- *Misri*: tani 80.73
- *Moroko*: tani 22.12
Tanzania ina akiba ya dhahabu ya takarira tani 2.2, na serikali ina mpango wa kuuza akiba hiyo
Kwako @godbless_lema @MariaSTsehai @TitoMagoti @IAMartin_ @MabalaMakengeza @HecheJohn @comanchechiefIV


Indonesia
6bert retweetledi

Top 100 Survival Movies of All Time 🛟
1. Apocalypto (2006)
2. Cast Away (2000)
3. The Grey (2011)
4. 127 Hours (2010)
5. The Martian (2015)
6. Life of Pi (2012)
7. All Is Lost (2013)
8. Into the Wild (2007)
9. The Road (2009)
10. Gravity (2013)
11. The Impossible (2012)
12. Everest (2015)
13. Alive (1993)
14. The Revenant (2015)
15. The Edge (1997)
16. The Book of Eli (2010)
17. The Shallows (2016)
18. The Way Back (2010)
19. Children of Men (2006)
20. The Flight of the Phoenix (1965)
21. The Flight of the Phoenix (2004 remake)
22. I Am Legend (2007)
23. Rescue Dawn (2006)
24. The Thin Red Line (1998)
25. The Perfect Storm (2000)
26. The Poseidon Adventure (1972)
27. Contagion (2011)
28. The Hunger Games (2012)
29. The Patriot (2000)
30. The 33 (2015)
31. Defiance (2008)
32. Jungle (2017)
33. Hacksaw Ridge (2016)
34. Captain Phillips (2013)
35. World War Z (2013)
36. A Quiet Place (2018)
37. The Lighthouse (2019)
38. The North Water (2021)
39. Kon-Tiki (2012)
40. The Naked Prey (1965)
41. Arctic (2018)
42. The Mountain Between Us (2017)
43. Beasts of No Nation (2015)
44. Blue Lagoon (1980)
45. Swiss Family Robinson (1960)
46. The Road Back (1937)
47. The Black Stallion (1979)
48. Beckett (2021)
49. Adrift (2018)
50. Sanctum (2011)
51. The Cave (2005)
52. The Descent (2005)
53. The Abyss (1989)
54. Open Water (2003)
55. A Lonely Place to Die (2011)
56. The Last of the Mohicans (1992)
57. The Hunted (2003)
58. The Survivalist (2015)
59. The Postman (1997)
60. Mad Max: Fury Road (2015)
61. Mad Max 2: The Road Warrior (1981)
62. The Terminator (1984)
63. War for the Planet of the Apes (2017)
64. Apocalypse Now (1979)
65. The Deer Hunter (1978)
66. Cold Mountain (2003)
67. The Painted Bird (2019)
68. The Patriot (2000)
69. Enemy at the Gates (2001)
70. Black Hawk Down (2001)
71. Platoon (1986)
72. Unbroken (2014)
73. Jeremiah Johnson (1972)
74. The Killing Fields (1984)
75. The Outpost (2020)
76. Hostiles (2017)
77. The Beast of War (1988)
78. Lone Survivor (2013)
79. Red Dawn (1984)
80. Snowpiercer (2013)
81. The Day After Tomorrow (2004)
82. The Divide (2011)
83. Cloverfield (2008)
84. 10 Cloverfield Lane (2016)
85. Moon (2009)
86. The Fugitives (1993)
87. The Host (2006)
88. The Blair Witch Project (1999)
89. The Outlaw Josey Wales (1976)
90. Alpha (2018)
91. The Summit (2012)
92. Touching the Void (2003)
93. Ravenous (1999)
94. Cold Prey (2006)
95. As Above, So Below (2014)
96. The Wild (2007)
97. The China Syndrome (1979)
98. Carriers (2009)
99. Black Sea (2014)
100. The Ritual (2017)

English
6bert retweetledi
6bert retweetledi

Ninaungana na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuipongeza timu ya Taifa ya mpira wa miguu, Taifa Stars kwa kufikia mafanikio ya kihistoria ya kufuzu hatua ya 16 bora katika michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025).
Tunawatakia kila la kheri katika michezo inayofuata.
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Indonesia
6bert retweetledi

HAWA NDUGU ZETU WANAHITAJI MSAADA WETU ILI WAWEZE KUPATA MATIBABU.
Hawa mnaowaona hapa ni Watanzania wenzetu ambao wamepata madhira mbalimbali.
Picha ya Kwanza anaitwa Kuringe Sawere huyu alitekwa na Maofisa wa Polisi Disemba 4, 2025 baada ya wiki mbili kupita kuna msamalia mwema alitujulisha kwamba Kuringe kafichwa kituo cha Polisi Chang’ombe Dar es salaam lakin alikuwa ameteswa sana kiasi kwamba alikuwa anatembelea tumbo maana alipigwa sana maeneo ya kwenye nyayo, magoti na mgongo.
Disemba 22 aliachiwa kwa dhamana ya Polisi lakin hali yake kiafya sio nzuri bado anapata maumivu makali ya miguu na mgogo hivyo anahitaji kufanya vipimo ili aweze kupata tiba.
Picha namba 2 ni Musa Ndile huyu alitekwa November 27, 2025 na maofisa wa Jeshi la Polisi, walimpiga sana na kumuumiza miguu yote miwili, Disemba 17 aliachiwa kwa dhamana lakin bado hawezi kutembea vizuri, anachechemea hivyo anahitaji matibabu zaidi ili aweze kuwa sawa.
Picha no. 3 ni Alex Mutembei yeye alipigwa risasi ya kwenye paja Oktoba 29 lakin mpaka Leo hawezi kunyoosha mguu wake lakin pia mguu huo umeanza kuwa mwembamba hivyo anahitaji matibabu zaidi.
Picha namba 4 anaitwa Martin Elia huyu alipigwa risasi Oktoba 29 hali ya mguu wake inazidi kuwa mbaya kwasababu anajiuguzia nyumbani, anahitaji msaada ili aweze kupelekwa Hospital kwa ajili ya matibabu ili aweze kupona.
Hivyo basi tunaomba mchango wako kiasi chochote ulichojaliwa na Mungu ili tuweze kuokoa maisha ya hawa ndugu zetu
Michango itumwe kwenye namba
Mpesa: 0744719187
Jina: Musa Ndile

Indonesia
6bert retweetledi
6bert retweetledi

Jichagulie hapa👇🏽
Footem
Rbtv77
Mazespin
Yalla TV
808Score
StreamEast
EpicSports
Pelota Libre
SportsFeed24
Kooralive
Fútbol Libre
Vipleague
Buffstreams
TotalSportek
YallaLive
100SoccerStreams
𝐓𝐡𝐞 𝐇𝐢𝐦.@Gaspinho15
Site nzuri ya kuangalia mechi za Afcon kwenye PC ni zipi wakuu??
English














