zee la jumuiya
2.9K posts


Taarifa ya ajali ya kusombwa na maji kwa Ndg. Yusuph Mwandami aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Singida , ajali hiyo ilitokea imetokea Jana tarehe 26/03/2026 saa 1 usiku.
Gari alilokuwa amepanda yeye Mke wake mtoto na Dereva, ilitumbukia Mtoni na kusombwa na maji eneo la Mang'onyi wakitokea Sambaru. Mpakasasa hakuna alieokolewa.
Tutaendelea kujuzana kadiri taarifa zitakapokuwa zikitufikia.
Indonesia

@DanyeMufasa @RevocatusMagum1 Ukiwatafuta kwenye ndoa utawapata.
Indonesia

@BlackSingapore2 Hapo unakuta mwana awambia watu ana sister wake yupo Bangkok ni mjasiriamali😄😄
Indonesia

@AmRosalinee Kwanza unaepukana na majirani wale wachawi wasiopenda mafanikio ya watoto wa wenzao
Indonesia

@Therealngassa Ukifika job usingizi mzito wakati ukiwa home usingizi hauji mpaka ukalewe😃😃😃
Indonesia

@Agnesskanje Kama ni kweli basi watu wasiokunywa pombe wangekuwa wote wamejenga😃
Filipino

Nitakua wamwisho kuamin kuwa hii soda inae gesi
Doctor Mishy🇷🇺@SharonMontana20
Mungu akulinde wangu mwana 💚 @Noedson_tz
Indonesia

@mTusiOriginal Unamjaza kichwani mtoto vitu ambayo hamvisaidii chochote Kwa wakati huo😃😃

@Mikumifinest Mbona zumaridi hamkumuamini alivyosema alienda mbinguni😃😃
Indonesia
zee la jumuiya retweetledi

@Mikumifinest Au kutumia mitandao ya kijamii inayomilikiwa na makafiri😂😂
Indonesia

@incrediboss Na watu walishasema mwanaume atakiwi kujipost mara Kwa mara lakini Kwa mwamba unaona noma kumfundisha maisha mtu ambaye hata ukoo watu ukikusanya pesa hatukuti hata robo ya robo ya mali zake🤣🤣🤣🤣 tutafute pesa standard ni kwaajili yetu makapuku
Indonesia

@FaradayMtz01 Unaona wivu😂😂,kubali wamekuzi, huna kitu mkuu maisha yaendelee.unachowazidi wewe ni matusi tu
Eesti

@kasesco_tz Mimi YUDA aniambie vile vipande 30 alienda kulewa bar Gani enzi hizo🤣🤣
Español

@Watu_Mikeka Kama unapesa kaanze tu kujenga maswala ya gharama utajua juu Kwa juu
Indonesia

@Mwasakujonga @PapiiKhan98 Ngoja slay queen waje waruke na wewe🤣🤣🤣 hawependi kusikia comment kama hizi
Indonesia

@Iamkido07 @PolycarpMDM Ni kama tu kufunga earth rod kwenye nyumba za ibada kuzuia radi 🤣🤣🤣
Indonesia

@PolycarpMDM Ila hizi dini zetu yetu yaani sehemu zetu za ibada zinalindwa na military defense badala ya Mungu😀
Indonesia

HAPA NI MAKKAH SEHEMU TAKATIFU.
Huu ni mfumo wa ulinzi wa anga wa MIM-104 Patriot uliotengenezwa na kampuni ya Marekani Raytheon.
Saudi Arabia imekuwa ikitumia mfumo huu tangu mwaka 1991 kwa ajili ya kuhakikisha usalama wakati wa ibada ya Hajj, mfumo huu wa sasa umewekwa katika eneo hili tangu mwaka 2018.
Picha hii ilitolewa na Ministry of Defense of Saudi Arabia wakati wa msimu wa Hajj wa mwaka 2025.

Indonesia
























