
@Roma_Mkatoliki Sema mungu sio mwameja huo mchele wanapiga malimbikizo tu hawaufaid chochote zinatumikaga kwenye matibabu tu mara sukar nying , mara stroke ya shingo, mara shinikizo ,mara Kila mwezi tubadilishe damu
Indonesia
Adam Vunge
2.8K posts






Baadhi ya Wabunge wakiwa msibani nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, Marehemu William Vangimembe Lukuvi (Mb) Area D jijini Dodoma.Mhe. Lukuvi amefariki asubuhi leo Machi 25, 2026

























