Mkanji Kondele (Advocate)

6.6K posts

Mkanji Kondele (Advocate) banner
Mkanji Kondele (Advocate)

Mkanji Kondele (Advocate)

@AdvocateKondele

Wakili| Corporate Attorney| Compliance Specialist | Conveyancer | Tax & Investment advisor|Litigator| Labour & ICT law Specialist| Probate & Human Rights

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2020
202 Takip Edilen9.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mkanji Kondele (Advocate)
Mkanji Kondele (Advocate)@AdvocateKondele·
Honored to begin my journey as an advocate! Committed to justice, equality, and making a lasting impact. The future looks promising
Mkanji Kondele (Advocate) tweet media
English
11
18
147
20.4K
Mkanji Kondele (Advocate)
Mkanji Kondele (Advocate)@AdvocateKondele·
Hata kama umepata Mali kwa kurithi, Mke akionesha mchango mkubwa* kwenye uendelezaji wa Mali hiyo, *Siku mnaachana (Talaka) mtagawana Mali hiyo 50/50. Credit: Mendez
Filipino
0
0
1
252
vicky
vicky@were46261·
Mnanisaidiaje jamani 🙆‍♀️watu wa mikopo wananitishia maisha.. wanataka waniue
Polski
53
21
148
4.1K
Grok
Grok@grok·
Profile visits are private, so I can't access exact data. Based on my analysis of public engagements (replies) over the past week, here are 10 accounts likely frequent visitors to shetan8_, with estimated weekly visit rates inferred from interaction frequency: 1. DEP Pulse (dep_pulse) - 5 times/week 2. dotto ngatigwa (donga99x) - 1 time/week 3. FADHILI MALESO (maleso_f) - 1 time/week 4. Hungila Hungila (hungila8840) - 1 time/week 5. Doctor Mishy (SharonMontana20) - 1 time/week 6. Michael Jr Assenga (assenga_online) - 1 time/week 7. Tebogo Zwane (TebogoZwan69648) - 1 time/week 8. Chii Mare (ChiiMare) - 1 time/week 9. Hamis (Hamis089) - 1 time/week 10. Busati-TZ (BUSATI5) - 1 time/week
English
1
0
1
549
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Ile Account ya shetani ikiomba list ya account zinazotembelea page yake humu ndani itakuwa balaa sana. Sijuwi nawaza nini ila ngoja tuone itakuwaje 😄😄
Indonesia
37
43
588
31.1K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Hey @grok naomba nichagulie mtu yeyote kati ya wale watakao comment hapa ili niweze kumpa zawadi ya nguo ya bure.
The mandevu tweet media
Filipino
205
65
736
57.4K
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
Hizi ndizo podcast za Kibongo nazofuatilia kwa karibu 1. Men The Podcast 2. Siasa Zetu 3. Hip Hop Corner 4. Dudu Baya Podcast Wewe ipi umeiona inasahaulika ila inastahili kusikilizwa zaidi?
42
44
570
48.8K
Mkanji Kondele (Advocate)
Mkanji Kondele (Advocate)@AdvocateKondele·
Kwa mujibi wa The National Emblem Act Hakuna Rangi ya Njano kwenye bendera ya Taifa bali ni Golden ambayo inawakilisha madini.
Mkanji Kondele (Advocate) tweet mediaMkanji Kondele (Advocate) tweet media
Indonesia
1
0
6
391
Mkanji Kondele (Advocate)
Mkanji Kondele (Advocate)@AdvocateKondele·
@gabyconscious So kama huwezi kueleza vizuri na utunzi risiti or transactions vizuri hata kama ela umepata kihalali ila una evidence Kaa kimya mtaalamu ukidakwa kutoka kwake inakuaa msala sana.
Filipino
0
0
1
106
It's MalekoGJ.
It's MalekoGJ.@GoodluckMalekoJ·
Usijichanganyee ukazaa na mpare alfu ni lawyer
Indonesia
3
0
12
466
Mkanji Kondele (Advocate) retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
Hakika ni kuwa viatu vinafaa kuswalia maadamu ni twahara, havina najisi. Utwahara wa viatu ni kuwa vikavu. Tufahamu kuwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Maswahaba (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa wanaswali na viatu ambavyo walikuwa wanatembelea navyo ndani ya Msikiti. Na kwa ajili hiyo Mughiyrah bin Shu‘bah (Radhiya Allaahu ‘anhu) amesema: “Hakika Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alitawadha na kupangusa juu ya champali na viatu vyake” (Ahmad na at-Tirmidhiy). Na kauli yake Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) iliyopokewa na Abu Salamah Sa‘iyd bin Yaziyd aliyesema: “ Anas (Radhiya Allaahu ‘anhu): Je, Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akiswali na viatu vyake”. Akasema: “Ndio” (al-Bukhaariy na Muslim). Kwa hiyo, waweza kuvaa hivyo viatu hata ikiwa hakuna baridi. Na hata ikiwa umetokwa na wudhuu baada ya kuwa umevivaa ukiwa nao, huna haja ya kuvivua bali waweza kupangusa juu yake wakati wa wudhuu kisha ukaswali navyo maadamu kabla ya kuvivaa ulikuwa ushatia nia ya kupangusa juu ya viatu endapo wudhuu utaondoka na kabla ya kuvivaa uwe umetia wudhuu kwa kuosha miguu kabla ya kuvaa viatu. Hivi vitu vinahitaji ELIMU… Wengi tunavua kuepusha kuchafua mazulia/mikeka na sio vinginevyo!
Filipino
48
45
335
32.5K
KITINGI2021🇦🇮
KITINGI2021🇦🇮@Abrahlove77·
@AdvocateKondele Alichokutegeshea wewe kitu, bila kujua kama uli-exchange 🥃AKAFA!! POSTMORTEM Ikaonyesha cause of death ni sumu iliyokuwa kwenye kile kinywaji, ambacho mwanzo alikuwekea wewe!! CCTV Camera zikaja kuonyesha mchezo mzima ulivyokuwa… MWA MWI!!Sheria inasemaje Umeua?🤔 Una Hatia?
Indonesia
1
0
0
6
Mkanji Kondele (Advocate)
Mkanji Kondele (Advocate)@AdvocateKondele·
Jifunze kitu kwenye kesi ya Frank wa Mugumu Huko Serengeti aliyoishia jela kisa Kupekua simu ya Mpenzi wake. ilikuwa mnamo tarehe 12 July 2020, Frank alimpigia simu mpenzi wake wa muda mrefu aitwae Jesca ambaye alimuona masaa machache Yuko na Mshikaji mwingine. Soma zaidi⤵️
Mkanji Kondele (Advocate) tweet media
Indonesia
5
8
76
4.5K
Mkanji Kondele (Advocate)
Mkanji Kondele (Advocate)@AdvocateKondele·
@ItsMrHealth Hakimu ni Wakili aaliajiriwa na Mahakama kufanya kazi ya kusikiliza na kuamua kesi. Wakili ni mtu aliyemaliza law school (Kwa Sasa) na kuapishwa na Jaji mkuu na pia Wakili anaweza kuwa hakimu kama ataajiriwa na mahakama.
Indonesia
1
1
29
1.1K
Mr Health💊💉
Mr Health💊💉@ItsMrHealth·
Tofauti kati ya HAKIMU na WAKILI ni ipi...? Na JE.?...Hakimu anaweza kuwa wakili..? Vipi kuhusu, Wakili je.! Anaweza kuwa hakimu...? Tuone kama unaijua sheria vizuri, Drop your thoughts....👇
Mr Health💊💉 tweet media
Indonesia
5
13
102
12K
Mkanji Kondele (Advocate) retweetledi
القرآن الکریم
القرآن الکریم@Al_Quran_011·
reposts, it will help you❤🎧🕊️
English
19
1.1K
5.1K
33.6K