AG24SEVEN
33.9K posts

AG24SEVEN
@Ag24seven
AG24SEVEN SERVICES is a diversified Busness that deals with Medical Tourism,hardware stores ,E commerce,Travelling agents 🇹🇿 🇪🇹 🇮🇳 🇦🇪 🇨🇭🇩🇪
Worldwide Katılım Ağustos 2013
5.1K Takip Edilen8.8K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet

@gabyconscious Mzigo hata kama wakitapeli huwa hauna tabia kama za jamaa
Filipino

@Ag24seven 😂matapeli wana mzigo jamaa
Suala la utapeli ni lingine na kuwa na mzigo lingine
Suomi


Nchi hii wewe jiamini tuu 😀
Uncle Fafi@Tanganyikan
Kwa hii kauli ya "umama" usishangae Kisarawe wakipata DC mpya kabla jogoo hajawika mara 3.
Indonesia

Mbunge kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Simai Mohammed Said, ameshauri kuanzishwa kwa club maalum ambayo Wabunge watakuwa wanakutana lakini pia kuanzisha Band ya Bunge ambayo Wabunge Wasanii kama Mwana FA watakuwa wanaimba na Meneja wa Band hiyo awe Babu Tale.
Mbunge Simai amesema hayo wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2026/2021, iliyowasilishwa jana na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba.
“Ningependa kuona tuna club ya Wabunge ambayo tunaweza kwenda tukapata stara zetu, kama kupigana vijembe au shoti tunapigana hukohuko tunamalizana hakuna haja ya kuingia Mtaani lakini pia kwanini tusiwe na Band yetu ya Mbunge, Mwana FA anakuwa Mwimbaji, Babu Tale Meneja tuanzisheni band yetu na sisi”
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@gabyconscious @Ngattaboe99 Panga likishatolewa mambo huwa ni mawili adui azime au lichafuke na Damu
Indonesia

Kuna yule jamaa alidesign logo ya @crownfmtz mwenye contact zake naomba
Filipino










