Lovechild

295 posts

Lovechild banner
Lovechild

Lovechild

@Alhulkitabi

Mbeya, Tanzania Katılım Nisan 2012
890 Takip Edilen894 Takipçiler
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@okinawari @Cowwbama @mkuuJr5 Onesmo bana! Mbona hii ni kitu simple sana.Yanga ana wadhamini wengi.hapa inaweza kutengenezwa figisu,mmoja wa wadhamini akatangaza kujitoa kudhamini kwa hizo tuhuma.hlf watu wakapitia hapo.then mkiwasafisha,kesho watu wanarudi.mbona simple tu sheikh
Indonesia
1
0
1
27
Kinawari,Esquire
Kinawari,Esquire@okinawari·
@Cowwbama @mkuuJr5 Nimepima kupitia Barua ( demand) ni wapi wesema wamepoteza mdhamini Huyu na huyu kutokana na kauli hiyo..?
Indonesia
3
0
0
69
Dunia🌍
Dunia🌍@DuniaSlaveDunia·
Ney Wa Mitego,NIFFER, @Roma_Mkatoliki @Wakazi Hawa Ndio Wasanii wanaojitambua .. TANZANIA Hao wengine waliobaki ni Mikundu ya Bata 🥴
Indonesia
9
8
141
77.8K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@Wakazi Ney wa mitego mtoa hapo.allikuwa mwenzetu zamani.ila alishachukua hela ya maccm akaenda kukaa zake pembeni kimya.
Indonesia
0
0
7
1.8K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@Thereal_taivina Imeisha hiyo bloody..na akirudi,ishi nae kimaster. Na umuwashie taa za full. Ni bora ya Yuda aliposnitch,akajiamulia kujitia kitanzi.hakuomba msamaha.
Indonesia
0
0
0
29
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Mtu akisema tufanye dili flani nikimwambia tusifanye litatuharibia, Akazunguka akalifanya akalipwa halafu baadae akaja kuomba msamaha. Naona kama amekuja ku flex mafanikio ya dili kukamilika.
viola julius@VwalaViola

Nimekuwa humu kwa muda mrefu na kuishi na nyote kama ndugu , Nikawasaliti na kufanya reli na kazi za Ccm . Leo naomba radhi kwa wote . Naungana na Watanzania wenzangu kudai haki na uponyaji wa taifa letu. Poleni kwa wote mliofiwa na kujeruhiwa. 1/3

Indonesia
7
11
127
8.1K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@Thereal_taivina Mim huyu fala alinifanya nichome moto hadi kitabu chake kwakweli.naijutia sana ile pesa niliyolipia kitabu.bora ningemwekea yote Man u.hata kama mkeka ungechanika,isingeniuma.
Indonesia
0
0
0
92
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Lissu Mungu ambariki huko alipo ujio wake umetoa nduki Mamluki wengi sana pale CDM bila yule mwamba mpaka leo tungeamini huyu jamaa ana akili na angekuja kupata jimbo kwa Ticket ya CDM.
Taivina James tweet media
Indonesia
82
57
469
27.2K
KIDUKU
KIDUKU@TanzaniaOneJezi·
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
KIDUKU tweet media
QME
12
26
694
24.5K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@amdully Asilimia kubwa walikuwa wanajaza sahihi taharifa zile zinazotokea kwenye kadi.lkn vitu vingine,wanajaza hayo madudu.sasa ww ukija kujaza wakat unaulizwa.ndio unakutana na hicho kisanga.jibu ni sinza.mwenzio alijaza bbbb.unadhan utatoboa
Indonesia
1
0
0
24
amdully
amdully@amdully·
@Alhulkitabi Mwaka wa kumaliza darasa la saba, jina la shule na jina la mwisho la mama yote nimekosa. Jina la KATA niliyojiandikisha pia nimekosa. Jamani khaa hata kama ni kusahau siwezi kuwa kilaza namna hiyo 🤣🤣🤣
Filipino
2
0
0
11
amdully
amdully@amdully·
Yaani NIDA wanakuuliza maswali kuverify taarifa zako online unawajibu wanasema taarifa sio sahihi. Jina la mama yangu na shule ya msingi niliyosoma na mwaka wa kumaliza darasa la saba hayo ni maswali ya mtu kutojua kweli?
Filipino
1
0
0
60
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@amdully Kuna time bro hawa wanaojaza taharifa kwenye mifumo wakat wa kujisajir.huwa wanajaza vitu vya ajabu kinoma kwenye taharifa za watu.ukitoa taharifa za majina yako kamili.kuna wengine huwa wanajaza hata 'aaaaaa' kwenye kata uliyozaliwa na kwengineko.ili ameet target ya malipo.
Indonesia
1
0
0
13
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kumbe watu wanamfahamu mpaka kijijini kwa Wazazi. Sasa nyie ambao mnamjua kazini kwa Mama ake Mwambieni Mama amkanye kijana wake aache huu ujinga maana ukiwa unashabikia Dhuluma huwezi kuwa na mwisho mzuri.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
14
17
127
7.3K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@Thereal_taivina 😆😆😆😆😆 @Sativa255 analeta ugai gai..hapo tunaita both teams to score.kaa macho mwaisa na muashie taa za full.sema hii code anaweza kuifungua @fbuyobe
Suomi
0
0
2
3.1K
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Wanangu nisaidieni kuunganisha Dot hapa isije ikawa nachekelea malipo. Saa saba usiku mtu anapata wazo ghafla tu la kukuchukulia Dundo? Ni mwanangu ila kumuweka kabatini sioni issue.
Taivina James tweet mediaTaivina James tweet media
Indonesia
28
19
380
35.7K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@Thereal_taivina Dah! Sio poa.huu ujumbe hata km Onana hajahama golini.ila hii msg ikija kukutwa na mkeo.basi lazima kikao cha ukoo kiitwe ASAP.jamaa anaonyesha yupo romantic kupita maelezo kwa mchizi..hii ni msg ya manzi kwenye kwa mchiz,na sio vinginevyo.
Indonesia
0
0
0
250
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Nimeamka now ndo nakutana na hii Post ya kwanza tu, You know what Big Man bado una chance ya Kubadilika binafsi nakuombea kwa Mungu hii Dhambi asiiandike. Hii sio safe kwenye jiji la Chalamila.
Indonesia
18
5
76
6.6K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Uongo wa kijinga wanajitengenezea wenyewe.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
182
136
1.2K
76.9K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@lutherakyoo Kuna time hadi unajiuliza,wamerukwa na akili au vipi? Na kitu kinachonishangaza,mwamba kwann amekaa kimya.haongei chochote.wala kukemea haya yanayoendelea? Ila unajua nin kaka @lutherakyoo aliyegundua #pesa,alaaniwe.
Filipino
0
0
3
218
Dr. Dorothy Gwajima
Dr. Dorothy Gwajima@Dr_DGwajima·
Ndugu zangu salaam. Nawaaga kuwa, nasafiri kwenda kutekeleza jukumu nje ya nchi, New York, Marekani ambapo, kuna muda huenda sitakuwa online. Hivyo, tuendelee kushirikiana kupitia mifumo yetu yote ya huduma kama ambavyo nimekuwa nikielimisha jamii. Na nikiwa online nikaona jambo, nami kama kawaida, nitaungana nanyi kuongezea nguvu. Nawatakia kila la heri kwenye shughuli zote za maendeleo na ustawi wa jamii, tuendelee kuwalinda watoto na wote wenye mahitaji maalum dhidi ya ukatili na sisi tuzidi kuepuka ukatili wa kijinsia. Nawapenda sana katika Jina la JMT🇹🇿🥰🙌 @maendeleoyajami
Dr. Dorothy Gwajima tweet media
Filipino
383
114
1.1K
75K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@DonMdada65452 @Sativa255 Endelea tu kujidanganya na uendelee kuombea tuwe tunabeba hivi hiv kwenye mavituo ya polisi na mahakamani.lkn siku sheria ikiweza kusimamiwa vizur.ndio.utajua hujui vizur sheria za nchi.
Indonesia
0
0
0
70
Don mdada
Don mdada@DonMdada65452·
@Sativa255 Mtu kaingia kwako unaruhusiwa kumfny kitu chochote kama kujihami tu ss utaingiaj kwa mtu bila ruhusa yk
Indonesia
6
0
6
2.4K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
NAZI 6 ndio unamfanyia hivi mwanadamu mwenzio?
111
70
745
52.3K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@IamSimbuJr Kwahy maoni ya king yaheshimiwe?😁😁😁
हिन्दी
1
0
2
30
Baba G ⛓️‍💥
Baba G ⛓️‍💥@IamSimbuJr·
Sema Alikiba ametumia fimbo ya kikatili sana, sisi wasukuma tunasema kampiga na mkoma 😂😂
Indonesia
3
4
14
2.2K
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@bonifacejoseph_ Bro! Vipi km master jay ni upinde kwel? Km master ameona madhaifu ya kiba ni kubana pua.na alishindwa kuyaficha.kwann kiba afiche madhaifu ya upinde ya master jay? Tuishi humo.huyu mbana pua,huyu mtu wa upinde.
Filipino
0
0
0
94
Lovechild
Lovechild@Alhulkitabi·
@Thereal_taivina Katika wasanii ambao huwa wanafunga midomo wakisemwa,ni kiba aisee. Mondi huwa anamajibu ya hovyo sana akiambiwa jambo ambalo halipendi.ila kiba mpaka amejibu,ameona kbs master amezingua.ndio maana akaona amjibu.kunyamaza kimya smtmz,ni unyonge
Indonesia
0
0
0
57