ALLONZO
6K posts

ALLONZO
@Allonzo23
excavator operator professional and operating wheel loader
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2021
422 Takip Edilen390 Takipçiler

@BlackSingapore2 😌😂 Wameshaakuambia wame left wewe una taka nini kingine??
Indonesia

@gratian_barbosa Kwani hukuzingatia hata last game yao tu mkuu?
Indonesia

@__Masstown Wewe ni mwamba sana acha nikupongeze kwa hichi kidogo kumanyoko
Filipino

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, amesema hana hofu yoyote kumkosoa Rais wa Marekani Donald Trump, akisisitiza kuwa jukumu lake si siasa bali kuhubiri amani.
Akizungumza akiwa ndani ya Ndege kuelekea Nchini Algeria, Papa Leo amesema wazi kuwa hataki kuingia kwenye mijadala ya kisiasa na Trump, licha ya mashambulizi ya maneno kutoka kwa rais huyo.
“Mimi si Mwanasiasa, na sitaki kubishana naye, niko hapa kuzungumzia Injili,” amesema, huku akisisitiza kuwa ataendelea kupaza sauti dhidi ya vita, akieleza kuwa dunia imejaa mateso na vifo vya Watu wasio na hatia, na kutoa wito kwa Viongozi wote wa dunia kumaliza migogoro na kuweka mbele maridhiano, ameongeza kuwa hana hofu ya utawala wa Trump, akisema kuwa atasimama imara kutetea ujumbe wa Injili kwani ndicho alichoitiwa.
Wakati huo huo, Viongozi wa Kanisa Katoliki Nchini Marekani wamelaani kauli za Trump, wakisema Papa si mpinzani wake wa kisiasa bali ni Kiongozi wa kiroho anayesimama kwa ukweli, hata hivyo ziara ya Papa Nchini Algeria inalenga kuimarisha ujumbe wa amani, maridhiano na mazungumzo kati ya Mataifa na Dini mbalimbali.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@ridhiwankikwete Nipate ubodigadi niwenabeba pochi zake huyo mgeni wako lizi
Filipino

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kama yeye asingekuwa Rais wa Marekani, Papa Leo XIV asingekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani akisema Kanisa hilo lilimchagua Leo kuwa Papa sio kwasababu ana sifa kuliko wengine bali ni kwakuwa ni Mmarekani na walidhani watamtumia yeye kumshughulikia Trump.
Rais Trump amesema ““Simtaki sitaki Papa ambaye anamkosoa Rais wa Marekani kwa sababu mimi ninafanya haswa kile nilichochaguliwa, kwa kishindo kikubwa, kufanya kuweka rekodi ya chini kabisa ya uhalifu na kuunda soko la hisa Kubwa zaidi katika Historia, Papa Leo anapaswa kushukuru kwa sababu kama kila Mtu anavyojua, yeye alifanya kila Mtu akapigwa na mshangao hakuwepo kwenye orodha yoyote ya kuwa Papa, na aliwekwa huko na Kanisa kwa sababu yeye ni Mmarekani na walidhani hiyo ndiyo njia bora ya kushughulika na Rais Donald J. Trump”
“Kama mimi nisingekuwa Ikulu, Leo asingekuwa Vatican, kwa bahati mbaya udhaifu wa Leo katika uhalifu, udhaifu katika sila za Nyuklia mimi haunifai na ipo wazi na haiondoi ukweli kuwa yeye Papa Leo hukutana na wanaomuunga mkono Obama kama David Axelrod, Loser kutoka Mrengo wa kushoto, ambaye ni mmoja wa wale waliotaka Waumini wa Kanisa na Maofisa wa Kidini wakamatwe, Leo anapaswa kujirekebisha kama Papa, atumie akili ya kawaida aache kuwahurumia Watu wazito wa Mrengo wa kushoto na ajikite kuwa Papa mkubwa, sio Mwanasiasa, hii inamuumiza sana yeye, na muhimu zaidi, inaumiza Kanisa Katoliki”
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@millardayo Nasikia yule papa mweusi ndo aliyepataga kula nying sana! Uyo mwingine mweupe alipachikwa tu!
Filipino

@british77boe We msenge umeamua kuniweka hadharani kmmk😂
Indonesia

#PICHA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Baba Mtakatifu Leo XIV baada ya Ibada ya Hija iliyofanyika katika Uwanja wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro – Vatican, leo tarehe 01 April 2026. #MilardAyoUPDATES


Indonesia

@Sativa255 @paulbaita Hapo wameanza na mameya soon tutafika nyadhifa za juu 🙏🙏🙏🙏
Eesti







































