Pure head Damage (PhD) 🤓
2.1K posts

Pure head Damage (PhD) 🤓
@Am_Kipeja
MUNGU hakupi unachotaka anakupa unacho stahili.
popote nipo Katılım Temmuz 2019
197 Takip Edilen171 Takipçiler

Jamaa kamkuta mwanamke mmoja pale Ferry analia….
JAMAA: Nini shida mama angu?
MDADA:Heri nife, maisha yamenishinda
MJAMAA: Huna haja ya kufa, sikiliza mimi ni baharia na meli yetu inaenda Ulaya leo, kama unataka ingia kwenye boksi nikakufiche stoo, meli ikitia nanga Ugiriki, nakutoa ukatafute maisha huko. Bibie akaona heri hilo akaingia kwenye boksi, jamaa akambeba na mdada akajikuta yuko kwenye stoo moja wapo katika meli, jamaa akawa anamletea chakula kila siku na mara nyingine yeye mwenyewe analala huko kwenye hako kastoo kama binadamu wengine walio kamilika walikuwa wanafanya na ya kwao huko huko kwahyo safari ilikuwa nzuri hasa kwa jamaa, kila mara akimhakikishia mdada kuwa wameshapita visiwa vya Komoro, siku nyingine akimwambia wako India. Zilipita wiki mbili ndipo yule mdada akagundulika na nahodha wa chombo hicho.
NAHODHA:We unafanya nini humu?
MDADA:Chonde naomba msinitupe baharini, nilindeni mkifika Ugiriki mnishushe
NAHODHA: Unajua mbona sikuelewi? Mdada akalazimika kumueleza nahodha ishu nzima.
NAHODHA:Dah wala usipate taabu sikutupi popote, ila jamaa yako kakudanganya hii si meli ya kwenda Ulaya ni pantoni ya kwenda Kigamboni, umekuwa unazunguka hapa hapa Dar siku zote hizo, haya tukifika Kigamboni shuka...
Ila nyie🫵🫵

Indonesia

@_zack255 Mtaji wa ccm ni watu wapumbavu na vilaza kama wewe.

Bodi ya Wadhamini CHADEMA Yavunja Katiba ya Chama, Msajili Awachukulie Hatua Kali
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imevuka rasmi muda wake wa kikatiba bila kufanyiwa uteuzi upya, kinyume na matakwa ya katiba ya chama hicho. Kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa, bodi hiyo inapaswa kuhudumu kwa kipindi cha miaka mitano tu kabla ya Baraza Kuu kuitishwa kwa ajili ya kuteua wajumbe wapya.
Hali ilivyo sasa inaonesha wazi kuwa bodi hiyo ipo katika mwaka wa sita bila kufanyika kwa mchakato huo muhimu wa kikatiba. Kutokuitishwa kwa Baraza Kuu kwa muda uliopangwa kunamaanisha kuwa uongozi wa bodi unaendelea nje ya uhalali uliowekwa na katiba ya chama.
Katiba ya CHADEMA, kupitia ibara ya 18(a), inaeleza bayana wajibu wa kuitisha Baraza Kuu kila baada ya miaka mitano kwa ajili ya uteuzi wa Bodi ya Wadhamini. Kushindwa kutekeleza matakwa haya ni ukiukwaji wa moja kwa moja wa katiba hiyo na kunadhoofisha misingi ya utawala wa sheria ndani ya chama.
Ni muhimu sasa kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuchukua hatua za haraka za kuiwajibisha CHADEMA kwa kukiuka Katiba yao.

Indonesia

@MankindUwezo Nilishawahi kukukaza weweeee nimekumbuka 😀
Indonesia

@MankindUwezo Najua ww ni msenge kwa sababu jana umetoka kufirwa na Huyo Mafwele @MankindUwezo ndio maana unamsifia Basha ako
Indonesia

Mahakama ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela Zainabu Fulko Elias mwenye umri wa miaka 35 Mkazi wa Kijiji cha Nambawala Kata ya Lukuledi baada ya kupatikana na hatia ya kuhifadhi dawa za kulevya aina ya bangi zenye uzito wa gramu 93 katika Nyumba yake kwa lengo la kujipatia kipato.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Issa Suleiman amesema hayo leo February 19, 2026 wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya Jeshi la Polisi kupitia ofisi za mashtataka na Mahakama za kisheria ya kushughulika na Watuhumiwa mbalimbali katika kesi zilizofikishwa kwenye Mamlaka hizo "Zainab alikamatwa tarehe 08.09.2025 na hukumu hiyo imetolewa tarehe 09.02.2026”
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu itaaendelea leo Jumatatu ya Februari 16, 2026 katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.
Kesi hiyo ambayo ipo mbele ya jopo la Majaji watatu wakiongozwa na na Jaji Dunstan Ndunguru, inatarajiwa shahidi wa saba kuanza kutoa ushahidi kama ilivyoagizwa kuanzia saa tatu kamili.
Siku ya ijumaa walitoa ushahidi watu wawili, ikiwa shahidi wa kwanza ni anayelindwa ambae ni P6(24) ambae ni dereva bodaboda na ‘Mwanachadema’. Shahidi wa pili alikuwa askari mpelelezi H.3923 Koplo Michael(36) mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro.
Shahidi P6 aliieleza mahakama namna alivyoshawishiwa na Lissu na kutaka kukinukisha na kuzuia uchaguzi (soma zaidi kwenye website yetu ya jambo.co.tz au sikiliza simulizi yake YouTube yetu).
Shahidi H.3923 Koplo Michael aliieleza mahakama walivyomkamata kijana P8 mkoani Kilimanjaro eneo la Njoro kwa kuhamasisha vurugu kisha wakamhoji na baadae akaachiwa kwa dhamana na baadae akaitwa kwenda kuandika maelezo upya kama shahidi katika kesi ya Lissu.
Sehemu ya hoja zilizobishaniwa Mahakamani siku hiyo ni hasa juu ya kupishana kwa maelezo

Indonesia

@Skinny36479503 @TheRealJongwe Najuta Mama yako kubeba mimba yangu kmmkeeee amezaaa toto sengeeeeeeeee
Indonesia

@TheRealJongwe umeshawahi kumsoma John Grisham?,,mambo ya sheria hayajabase kwenye emotions,,acheni kucheza na hii case,,mwenyekiti wenu atanyongwa kimzaha mzaha,kuweni serious
Indonesia

Yaani AIBU naona mimi Mtanganyika kwa kinachoendelea mahakamani kwenye kesi ya kubumba ya Lissu, na hawa mashahidi wa kificho wa kubumba…Ni kama wameokota vichaa barabarani , ni AIBU TUPU!
NB: Aliyewapa huu mchongo wa hii kesi kawaingiza chaka bovu, na pamoja na mashtaka mengine atashitakiwa kwa UHUJUMU UCHUMI, kesi hii ni ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma. MATAKO YAKE!
Indonesia

@kabigwa_78 Atopic dermatitis 😎, lakini kikubwa usisahau na PITC kama majibu yatakuwa NR basi Erythromycin ni muhim kwake mtafutie na antibiotic ya kupata na ikiwezekana predi ni muhim pia sabun akiweza kupata ketokonazole shampoo n nzuri pia na kikubw zaid usisahau kumshaur kuhus hygiene

Indonesia

@godbless_lema Alafu itokee siku mmeshika dola msilipe kisasi aseeeeee binafsi hatuta kubali lazima kilipwe..

Indonesia

Magereza wako sahihi kabisa kwa mtazamo wao kutompa Lissu access ya chakula, wanaona Lissu anastahili aina hii ya treatment. Walisikia na kuona alivyopigwa risasi, lakini hadi leo uchunguzi haujafanyika. Wanajua baada ya shambulio la risasi alikuwa mahututi, lakini hakupatiwa matibabu stahiki kupitia Bunge.
Sasa hivi yuko Magereza na haruhusiwi kutembelewa hata na viongozi wenzake. Kwa hiyo, wanafanya wanavyoona kutoka juu wanafuata mwelekeo wanaouona. Hata majaji kushangaa ni kama sanaa tu. Kama kweli wangekuwa serious na haki za binadamu, kesi yenyewe wangeshaifuta siku nyingi. Imagine una Majaji ambao walikubali Mashahidi wahojiwe bila hata wao wenyewe kuwaona ?

Indonesia

































