๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ

7K posts

๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ banner
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ

๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ

@Andrew_Emanuel1

Medical Doctor| @ManCity fan|๐Ÿฉต| Ultimately Love is everything |โค๏ธ|

Tanzania Katฤฑlฤฑm Mart 2020
1.6K Takip Edilen1.8K Takipรงiler
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
Mpale Mpoki
Mpale Mpoki@MpaleMpokiยท
Ushahidi wowote unaotolewa bila madodoso (cross examination) hauna thamani ya kiushahidi (of no probative value) Hao watu wanaotuhumiwa hawakuitwa kujieleza mbele ya tume (right to hearing) Nashangaa tume yenye Majaji Wakuu wawili iliwezaje kuendelea pasi kuzingatia hayo
millardayo@millardayo

Mwenyekiti wa Tume iliyoundwa na Rais Dkt. Samia kuchunguza matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu October 29,2025, Jaji Mstaafu Mohamed Chande Othman amesema kwa mujibu wa ushahidi uliowasilishwa kwenye Tume matukio ya ghasia za October 29, yalikuwa na lengo la kuzuia na kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa October 29 ambapo lengo hili linadhihirishwa kupitia vitendo vya Wafanya ghasia ikiwemo kuharibu vituo vya kura. Jaji Mstaafu Chande amesema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume hiyo mbele ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo April 23,2026 Ikulu Jijini Dar es salaam. โ€œKwa mujibu wa ushahidi uliowasilishwa kwenye Tume matukio ya ghasia za October 29 yalikuwa na lengo la kuzuia na kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa October 29, lengo hili linadhihirishwa kupitia vitendo vya Wafanya ghasia ikiwemo kuharibu vituo vya kura, kuwashambulia Polisi na Wasimamizi na Wananchi, kupora mali, na waliopiga kura wakawa na alama za wino walikatwa vidole na wengi walilipwa fedha ili wajinusuru kufanyiwa hivyoโ€ โ€œPili ghasia hizo zilifanywa ili kufikisha ujumbe kwa Serikali kuwa Vijana wanataka kusikilizwa na kutatuliwa changamoto zao, ilibainika kuwa Waratibu wa ghasia walitumia malalamiko ya Wananchi dhidi ya Serikali wakati wanawashawishi kufanya ghasiaโ€ #MillardAyoUPDATES

Indonesia
18
95
340
20.8K
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
Harry Kane
Harry Kane@HKaneยท
๐Ÿ†
ART
3.3K
16.6K
237.8K
4.4M
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
#NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’
#NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’@Roma_Mkatolikiยท
1. CDM imeruhusiwa kufanya siasa 2. TAL atatoka soon!! 3. Then watakaa mezani 4. Tume ya J.Chande itakabidhi report. 5. Report itakuwa iko balanced, Itaipiga gavoo kimtindo(Kwa mbali) 6. Mchakato wa katiba mpya utatangazwa kuanza rasmi!! Lengo kuu ni ๐Ÿ‘‡๐Ÿป Letโ€™s buy time till 2030!! Miaka mitano ni mingi sana lazima tuwe na activities za kuwaonyesha matumaini hawa raia hadi tufike 2030!! Sasa unajua mchawi ni nani? Mchawi ni ile namba 3 pale juu ๐Ÿ‘† Pale kwenye kukaa mezani pale ndio panaenda either kusupport au kuvuruga hii plan!!
Indonesia
111
312
2.2K
175.7K
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
Ugochukwu Ugwoke, ISch
Ugochukwu Ugwoke, ISch@FrUgochukwuยท
A photo that speaks volumes without a word.
Ugochukwu Ugwoke, ISch tweet media
English
964
5.8K
59K
737.6K
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasiniยท
Hii hesabu ngumu sana. Wataalam naomba msaada wenu.
Indonesia
144
123
660
116.1K
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lemaยท
Tundu LISSU.
Eesti
10
219
722
10.3K
#NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’
#NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’@Roma_Mkatolikiยท
Gallon 1 ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ = 3.79 Liters So 1Liter = 0.26 Gallons. Kama Gallons 6๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ =22.7 Liters = 30$=Tsh.77,500/= Then Gallon 1 ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ = 3.79 Liters =5$ = Tsh. 12,900/= Gallon 0.26 = 1.3$ = 1Liter = Tsh. 3,360/= Hence ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Wese lita 1 = 3800 ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Wese Lita 1 = 3,360 HII DOLA 800 Imetoka wapi?๐Ÿค” 800$ Lita 1?๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜ณ Ujue 800$ = Milioni 2 Na Elfu 70
#NIPENI_MAUA_YANGU๐Ÿ’ tweet media
English
116
260
1.2K
102.6K
Nipashe Tanzania
Nipashe Tanzania@Nipashetzยท
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, akimpongeza Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kupokea taarifa ya uteuzi akiwa ndani ya treni ya SGR walipokutana wakielekea Dar es Salaam kwa shughuli za kikazi jana usiku. Jana Aprili 2,2026 Rais Samia Suluhu Hassan, alifanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri kwa kumteua Prof. Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu. Imeandikwa| Mwandishi Wetu Tembelea epaper.ippmedia.com kusoma gazeti lako au wasiliana nasi ๐Ÿ“ž+255 745 -700 710 au 0677- 020 701 kwa maelezo zaidi. #NipasheDigital #NipasheMwangaWaJamii #miaka30yakupashahabari
Indonesia
66
13
160
86.3K
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzoยท
Askofu Musomba Akemea Uchawa, Asisitiza Ukweliโ€”Azungumzia Watu Kushangilia Vifo: 'Tumepotea Sehemu' Akizungumza katika katika Ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika leo Aprili 03, 2026, katika Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli Bunju, Askofu Stephano Musomba wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, ametahadharisha juu ya uelekeo wa jamii ya Tanzania akigusia mambo kama uchawa, utengano na dhuluma katika jamii. "Mila zetu za kiafrika si kawaida mtu anakufa leo unashangilia, si kawaida," Musomba ameeleza akizungumzia matukio ya hivi karibuni "Tukae chini tujadili pamoja tumekosea wapi,tuelimishane tueleweshane. Pengine anashangilia kwa sababu hakuna anayeniangalia, pengine haki yangu haijatendeka, ndio maana anashangilia. Kwahiyo tuangalie nini chanzo kinachotufanya tuwe tulivyo kwa nini tumefika katika hali hiyo," amesesisitiza Musomba. Askofu Musomba pia amekemea utengano wa kisiasa, ambapo ameonesha kushangazwa na watu wanaotenga binadamu wenzao kwa sababu ya tofauti ya vyama vya siasa. "Tulitendee haki taifa letu, tulikotoka na tunakoelekea siyo kuzuri.Tulikotoka kuzuri sana lakini tumepotea sehemu," alionya Askofu Musomba. Katika mahubiri hayo ambayo amesisitiza suala la ukweli, Askofu Musomba amechambua pia nadharia ya viongozi wa dini kuambiwa wanaingilia siasa, ambapo ameeleza siasa haifuti uumini wa mtu katika dini, na viongozi wa dini wana nafasi ya kuonya. Musomba ametumia muda katika mahubiri yake kukemea kasumba ya uchawa katika jamii โ€œSasa ukimweka mwanadamu ni Mungu kosa kubwa sana,na ndio maana tunao wajibu kama viongozi wa dini kufufua dhamiri za waumini wetu,โ€ anaeleza zaidi katika mahubiri yake. โ€œZamani tulikuwa tunaogopa sana chawa, tena ukionekana we una chawa unakimbiwa usije ukaniambukiza. Lakini saa hizi ukiwa na chawa wewe ndiyo wewe.Mijamaa inakunyonya mpaka unakiona cha moto, wanasema we ni mzuri katika dunia hii kumbe huna lolote.โ€ โ€œKumbe huna lolote,kwa sababu hii michawa inanyonya tu uchafu wako. Hakuna uzuri wowote hapo ndiyo maana tunasema ukweli, unaleta maendeleoโ€ฆ.na ndio maana tunahitaji watu kusikiliza watu wanapokuambia we umekosea. Usiwashambulie, lakini mwanadamu wa leo ni mgumu sana anapenda kusikia yale anayotaka kusikia."
Indonesia
2
56
134
4.5K
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
Manchester City
Manchester City@ManCityยท
A stunning triple save! ๐Ÿคฏ๐Ÿคฏ๐Ÿคฏ
English
108
1.4K
16.8K
387.4K
Mr. Arsenal
Mr. Arsenal@AzengaMosesยท
One doneโœ…๏ธ 3 to goโณ๏ธ
Mr. Arsenal tweet media
English
4K
2.5K
21.3K
2M
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
Jeremy Doku
Jeremy Doku@JeremyDokuยท
I want to thank my Lord and Savior Jesus Christ for the opportunity to represent Him on the highest stage ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ Thank you to the fans for your support, we will be back.
Jeremy Doku tweet media
English
1.1K
6.3K
73.4K
1.1M
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
Mami Amah ๐ŸŽ€
Mami Amah ๐ŸŽ€@ItsAmahAdomaยท
Doctors are amazing. The baby was in the wrong position and they shifted it to the right spot.๐Ÿฅบ๐Ÿ˜ฎ
English
25
51
113
9.5K
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasiniยท
Unapofanya ishara ya msalaba kwenye paji la uso, mdomoni na kifuani kabla ya Injili kusomwa ktk Misa maana yake ni:- - Kwenye paji la uso omba Neno la Mungu libaki katika akili/ mawazo yako. -Mdomoni weka nia ya kulitangaza. - Kifuani omba Neno la Mungu likae moyoni mwako.
joseph_selasini tweet media
Indonesia
1
12
62
1.3K
๐ผ๐‘š๐‘š๐‘Ž๐‘› ๐‘†๐‘–๐‘™๐‘Ž๐‘Ž ๐Ÿฉบ retweetledi
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madengeยท
Ukiachana na PhD ya Sheria aliyonayo hasa ya Sheria za Kanisa na Master ya Divinity, Papa Leo XIV pia alisoma Bachelor of Science in Mathematics. Tena aliwahi kufundisha Mathematics na Physics huko Marekani. Jana Papa Leo XIV alituma ujumbe kwenye siku ya Kimataifa ya Mathematics
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
13
51
840
14.9K